Jumanne, 15 Septemba 2020

UWAKILI WETU KWA BWANA

 💒💒🙏 *JOYFUL HOUSE IN CHRIST*🙏💒 *Morning Glory*🌄🌄🌄🌄

_16th Sept 2020_

_________________________________


*Somo la Wiki:* UWAKILI WETU KWA BWANA


*MK.12:41-44*

_41 Naye akaketi kulielekea sanduku la hazina, akatazama jinsi mkutano watiavyo mapesa katika sanduku. Matajiri wengi wakatia mengi. 42 Akaja mwanamke mmoja, mjane, maskini, akatia senti mbili, kiasi cha nusu pesa. 43 Akawaita wanafunzi wake, akawaambia, Amin, nawaambia, Huyu mjane maskini ametia zaidi kuliko wote wanaotia katika sanduku la hazina;44 maana hao wote walitia baadhi ya mali iliyowazidi; bali huyu katika umaskini wake ametia vyote alivyokuwa navyo, ndiyo riziki yake yote pia."_


*Mambo ya Kujifunza:*

Utoaji wenye baraka Ni ule unaogusa moyo wa Mungu. Kwa kutoa Katika kweli Yote .

🙏🌄

_Rev.J. Pokeaeli_

💒

©Sep.2020 Joyful House in Christ

Alhamisi, 16 Januari 2020

PASTORAL ORDINATION (UBARIKIO WA WACHUNGAJI)

Tarehe 1/12/2019 Mchungaji Johnson Paul Pokeaeli Mwanga. Alibarikiwa rasmi kua Mchungaji. Akiwa pamoja na wenzake 23. Siku hiyo walibarikiwa Wachungaji 24 wote wote wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki - Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania.
Ibada hiyo ilifanyikia Usharika wa Kanisa kuu Lushoto Tanga Tanzania(Cathedral)

Mchungaji Johnson ndiye mwanzilishi na mwendeshaji wa Blog hii. Mungu amtunze na kumlinda katika huduma yake na utume huu alioitiwa Amen.