Tarehe 1/12/2019 Mchungaji Johnson Paul Pokeaeli Mwanga. Alibarikiwa rasmi kua Mchungaji. Akiwa pamoja na wenzake 23. Siku hiyo walibarikiwa Wachungaji 24 wote wote wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki - Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania.
Ibada hiyo ilifanyikia Usharika wa Kanisa kuu Lushoto Tanga Tanzania(Cathedral)
Mchungaji Johnson ndiye mwanzilishi na mwendeshaji wa Blog hii. Mungu amtunze na kumlinda katika huduma yake na utume huu alioitiwa Amen.