Ijumaa, 29 Agosti 2025

OMBENI / OMBA BILA KUKOMA

 OMBA BILA KUKOMA

1Thesalonioke 5:17 - 18

Maombi ni - Mahitaji yako, Haja za Moyo wako 

Kuomba ni - Njia ya kupeleka yale maombi yako mbele za Mungu

Ni muhimu kufahamu kwamba , Yesu Kristo maisha yake yalikuwa ya maombi wakati wote: 

i. Kabla ya huduma alikuwa mwombaji ; 

soma,  Luka 2:41 - 49 https://www.bible.com/bible/74/LUK.2.BHN

ii. Alipokuwa anaelekea kuanza huduma aliomba, 

Soma Mathayo 4:1-17 na Luka 4:1-12 bofya Viunganishi hivi kusoma mistari hii

https://www.bible.com/sw/bible/164/MAT.4.1-17.SUV

https://www.bible.com/sw/bible/164/LUK.4.1-12.SUV

iii. Akiwa kwenye huduma aliomba 

Soma Mathayo 14:23

https://www.bible.com/sw/bible/1627/MAT.14.23.NENO

iv.  Akiwa anamaliza kazi yake msalabani aliomba

Soma Luka 23:34 

 https://www.bible.com/sw/bible/1627/LUK.23.34.NENO

v. Alipokuwa anarejea kwa Baba aliomba

Soma Yohana 17:21

https://www.bible.com/sw/bible/1627/JHN.17.21.NENO

vi. YUPO MBINGUNI ANATUOMBEA HATA SASA 

Soma  Warumi 8:18 - 39

https://www.bible.com/sw/bible/74/ROM.8.18-39.BHN

https://www.bible.com/sw/bible/1627/JHN.17.21.NENO

Jumapili, 23 Machi 2025

JUA KUTOFAUTISHA MBEGU NA MKATE ILI UWEZE KUPATA MAONGEZEKO KIMWILI NA KIROHO PIA Vol.1

CHAKULA /MKATE - USILE MBEGU KULA CHAKULA




 

Isaya 37:30

``[30]Na kwako wewe dalili ndiyo hii; mwaka huu mtakula vitu vimeavyo vyenyewe; na mwaka wa pili mtakula mazao ya mbegu za vitu hivyo; na mwaka wa tatu pandeni mbegu, kavuneni; mkapande mizabibu katika mashamba, mkale matunda yake``

MUNGU NDIYE MPAJI WA MBEGU NA CHAKULA.

  • Tunapata mbegu na chakula kutoka kwa Mungu:Mungu ndiye mpaji wa Mbegu+chakula (mavuno)


  • Mbegu na chakula ni kanuni ya kimbingu huwezi enda nje na mfumo huo wa kimbingu

Mwanzo 1:12

[12]Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.

Isaya 55:10

[10]Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;

2Kor 9:10 SUV

[10] Na yeye ampaye mbegu mwenye kupanda, na mkate uwe chakula, atawapa mbegu za kupanda na kuzizidisha, naye atayaongeza mazao ya haki yenu

  • Ili matokeo yaje humwitaji mpandaji na Mungu atoae mvua

Mwanzo 2:5 

[5]hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana BWANA Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi; 

Mwanzo 1:12

[12]Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.

 

Mwanzo 5:3

[3]Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi. 

-seth ni Mbegu toka kwa Mungu

-Nuhu ni Mbegu.

Mwanzo 7:3

[3]Tena katika ndege wa angani saba saba, mume na mke; ili kuhifadhi hai mbegu juu ya uso wa nchi yote. 



Fuatilia mwendelezo wa somo........

Mwandishi

Rev. Johnson Pokeaeli 

PASIPO MAONO WATU HUACHA KUJIZUIA




https://youtu.be/Bv0a73sDjdg?si=UlKZUhBrAaDQMoG9

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KATIKA NYAKATI ZA MAONGEZEKO

 


https://youtu.be/LAbWpthtU9E?si=DzCanz4jrCWhhVrd