Jumatatu, 28 Machi 2022

IF GOD SAYS YES NOBODY CAN SAY NO

 πŸŒ…πŸ™πŸ’’ *JOYFUL HOUSE IN CHRIST*πŸ™πŸ’’πŸŒ„πŸŒ…

*SHALOM JHC*

________________________________

*IN CHRIST JESUS ALL GOD'S PROMISES ARE YES AND AMEN*

________________________

*2 Corinthians 1:20*

New King James Version (NKJV)


*_“For all the promises of God in Him are Yes, and in Him Amen, to the glory of God through us.”_*


What a great promise of God we have today in *2 Corinthians 1:20.* We see that for no matter how many promises God has made, they are “Yes” in Christ. And so through him the “Amen” is spoken by us to the glory of God.


In *Revelation 3:14,* the Lord Jesus is called the “Amen.”  We know that a promise is an oral or written agreement to do or not to do something, and in today’s promise, God tells us that He is dedicated to fulfill ALL His promises, by a Yes and Amen!


What to do from our part? You just need to make sure that your situation is in line with God’s Word, then believe and receive in Jesus name! Can you imagine that there are over 3000 promises of God for us to claim over our life in God’s Word, and to already know each of them is already a “Yes”, and a “Amen”


We serve and worship a faithful God! His word is limitless and all-powerful. We can find a perfect example of the faithfulness of the Word of God. Sarah did not believe for a second the promise of a son, but did God still fulfill it? Yes, Sarah bore Isaac despite of her age! And I just love the way God responded to Sarah in Genesis 18, when she had an unbelief laugh hearing God’s promise of a son, and the Lord answered her: ” Is there anything too hard for THE LORD?” We need to recognize that God is faithful and all-powerful.


All the Abigail, I invite you today to take a look at your life and ask yourself this:


Do I believe God when He said that the plans that He has for me are plans for welfare and not for calamity to give me a future and a hope? (Jeremiah 29:11), and that when He promises, He inevitably executes (2 Corinthians 1:20) or do I just choose to ignore His promise and voluntary live a sinful situation just because I am not able to wait and believe His promise?

I pray for all of us that Jesus who is the Master of our faith to fill us with unwavering faith in Him so we can embrace the life of the new creature that we are as daughters of God.


QUESTION: If you haven’t stand still in God’s promises, what are your plans to do so?


Until then, all the Abigails of God, remember that you are the Joy of God, stay blessed in Christ.


©2022 JHC

Ijumaa, 9 Julai 2021

MAHUSIANO NA MUNGU

 πŸ’’JOYFUL HOUSE IN CHRISTπŸ’’


πŸŒ…MAHUSIANO NA MUNGUπŸŒ…


Ni ajabu Ila Ni kweli, hatuwezi kusema tunampenda Mungu Kama tunashindwa kuwapenda wenzetu tunaowaona.


Kristo anatufundisha ,tukitaka kumpenda Mungu hakika tunawajibu wa kuwapenda wenzetu Kama tunavyojipenda wenyewe *Mathayo 22:39* na kuwatendea wengine Kama tunavyopenda kutendewa sisi *Mathayo 7:12*


*Tunawezaje kuwapenda wenzetu?*


1. Kwa kuwahurumia. Katika maisha wenzetu wanapitia shida, mahangaiko kwenye mahusiano, familia ,ndoa. Mm nilie jiran natakiwa kumhurumia na kumsaidia kwa sala, mawazo, faraja na kampani. *Luka 6:36*. Tusiseme muache na akome maana anajidai, hapana. Tunatakiwa tuonyeshe huruma .


2. Kristo anatufundisha tukitaka kuwapenda wenzetu Basi tuwe tunawasamehe. Tuwe na mioyo ya kuwasamehe wenzetu wanapotukosea, na tusiwahukumu au kuwanyima Jambo fulani kisa walitukusea siku fulani. Kristo pamoja na kutendewa mabaya hakika aliendelea kusamehe *Luka 23:34*


3. Tukitaka kuwapenda wenzetu Basi tuwe tunawaombea, sala Ina nguvu. Sala inafika pale ambapo sisi wenyewe kimwili hatuwez fika  . Tuwaombee wenzetu wenye shida, wasio mjua Mungu bado, wanaoishi kwenye dhambi ili Neema ya Mungu iwaguse na wapate kuong'oka na kuishi kadiri ya mapenz ya Mungu.


4. Kristo anatufundisha tukitaka kumfuata lazima tujenge tabia ya kuwa wamisionary, watu wa kuwapelekea Habar Njema wengine. Kwa Karne hii ,njia ya kupeleka Habar Njema imezidi kurahishwa maana Kuna vyombo mbalimbali tunavyoweza kuvitumia kuwafikia wengine hasa mitandao ya kijamii. Tutumie mitandao hii kupeleka Ujumbe wa matumaini, Imani, huruma ,upendo kwa wengine. Tusiishie tu kuweka picha, katuni, bali tuweke ujumbe wa Mungu ili wengi wapate kumjua Mungu.


5. Tukitaka kuwapenda wenzetu basi tuwe tunawasaidia wenzetu wasionacho. Tuweke hata malengo ya kila siku,wiki ,mwezi . Mfano, kila siku nitoe 100, 200, 500 , 1000, chochote nilichobarikiwa nacho kumsaidia asie nacho. Basi hata Kama huna kitu, Basi Neno lako la Faraja latosha kwa mhitaji. 


Mungu atubariki Sana.

@Deusdedith Msungo

©JHC 2021.

EVENING GLORY

 ⛪ *JOYFUL HOUSE IN CHRIST*⛪


*EVENING GLORY*

09/07/2021.

-------------------------

 *Mithali 16:9*

*9 Moyo wa mtu huifikiri njia yake;  Bali Bwana huziongoza hatua zake.*


*TAFAKARI FUPI*

Sasa tuko MUHULA wa pili kukamilisha mwaka nikimaanisha tuko mwezi wa Saba sasa. *Unaendeleaje na mabadiliko hayo na ahadi ulizotoa kwa mwaka 2021?*

*Ni kwa viwango gani hiyo mipango yako imekamilika.?*

Ila  Usikate tamaa au kuyaacha  hayo malengo... hata ikiwa kuna shida na changamoto ya kukaa kwenye mstari kutimiza malengo yako . Lakini, hebu  tukumbuke kwamba BWANA ndiye Aziongozae njia zetu, mwisho wa mawazo yetu ndio mwanzo wa njia zake, na Biblia inatueleza kuwa *Yeye anautangaza mwisho tokea mwanzo* hivyo yeye alishajua hatima ya malengo yako tokea Mwanzoni mwa mwaka huu,hivyo 

Nishauku yangu kuona  tunabaki ndani ya kusudi la Mungu, na kumuuliza Bwana Ni wapi anataka tuende na kile anataka tufanye, kisha tuende huko na tufanye.


Then *utakusudia Jambo nalo litathibitika kwako* 


*TUOMBE*

Mungu Mtakatifu, Bwana Mwenyezi, Abba yaan Baba, asante kwa kuwa Ni wa  kushangaza, mtakatifu, na mwenye nguvu. Asante pia kwa kujali kutujali , maisha yetu, maamuzi yetu, na mapambano yetu. Tunaomba tuongoze kwa Roho wako ili tuweze kuelewa Neno lako na kutambua mapenzi yako kwa maisha yetu.ili tukazidi kukuelekezea kikamilifu hatua zetu. Kwa jina la Yesu Kristo ninaomba na kuamini . AMINA


*Nikutakie jioni njema na usiku mwema mpendwa*


*@Dr Mwanga*


*Thus far as God helped us*


*@2021 Joyful house in Christ*

Alhamisi, 8 Julai 2021

MORNING GLORY

 ⛪⛪ *JOYFUL HOUSE IN CHRIST* ⛪

   *MORNING GLORY*

Tar. 09/07/2021.

--------------------------

*Mithali 10:11*

*11 Kinywa chake mwenye haki ni chemchemi ya uzima;  Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu,*

 

=>Ukitaka kujua tofauti kati ya mtu mwadilifu na mtu mwovu? Rahisi, angalia matunda ya maisha yao. Moja ya aina ya matunda inayoonekana katika maisha ya mtu ni *hotuba yake*. Mtu mwadilifu huongea maneno ya hekima, mazuri ambayo ndani yake Kuna *faraja*, uponyaji na Zaidi ya yote uzima 

 *Zekaria 1:13*

*"Naye BWANA akamjibu yule malaika aliyesema nami kwa maneno mazuri, maneno yenye* *faraja.* "

Biblia inasema Wafalme kutoka nchi mbalimbali walimuendea mfalme Sulemani ili kusikiliza Hekima yake. Hii inaonyesha ndani ya hekima ya *Sulemani* walipata suluhisho la changamoto wanazokutana nazo ,na pengine walipata hata miongozo kadhaa ya namna ya kuoongoza nchi zao, Nani anajua! 

Bali Waovu watajidhihirisha kila wakati kwa kile kinywa chake kinasema.kwa sababu ndicho kilichomjaza moyo wake. Mungu ana maana kubwa kutuonya tusikae barazani pa wenye mizaha, tafsiri yake Ni kwamba  hutapata hekima Bali mizaha tu na jeuri. Na mwisho utaishia KUTENDA dhambi.

Zaidi ya yote Mungu anatupenda Sana na ndio maana leo anatukumbusha *1Timotheo 4 :12*

 *Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi* 

=> Ni ombi langu Asubuhi ya Leo ukawe na usemi mzuri wenye Hekima ndani yake ili mtu awaye yote asikudharau daima.


*TUOMBE*

*Tunakushukuru Mungu kwa namna ulivyotuamsha wenye nguvu na afya tele  na kutupa tafakari hii fupi ya neno lako kwa Asubuhi hii  ya leo tunaomba  Maneno ya Vinywa vyetu na tafakari za mioyo yetu na zipendeze mbele zako, Ee Mungu Baba yetu,  mkombozi, na BWANA Wetu ili tukawe vielelezo Bora kwa wale watuzungukao  Sasa na hata milele. Kwa jina la Yesu Kristo Nimeomba na kuamini  Amina.*


Uwe na siku njema!!


@ *Dr Mwanga.*

*Thus far as God helped us*


*@2021 JOYFUL HOUSE IN CHRIST*

Jumanne, 15 Septemba 2020

UWAKILI WETU KWA BWANA

 πŸ’’πŸ’’πŸ™ *JOYFUL HOUSE IN CHRIST*πŸ™πŸ’’ *Morning Glory*πŸŒ„πŸŒ„πŸŒ„πŸŒ„

_16th Sept 2020_

_________________________________


*Somo la Wiki:* UWAKILI WETU KWA BWANA


*MK.12:41-44*

_41 Naye akaketi kulielekea sanduku la hazina, akatazama jinsi mkutano watiavyo mapesa katika sanduku. Matajiri wengi wakatia mengi. 42 Akaja mwanamke mmoja, mjane, maskini, akatia senti mbili, kiasi cha nusu pesa. 43 Akawaita wanafunzi wake, akawaambia, Amin, nawaambia, Huyu mjane maskini ametia zaidi kuliko wote wanaotia katika sanduku la hazina;44 maana hao wote walitia baadhi ya mali iliyowazidi; bali huyu katika umaskini wake ametia vyote alivyokuwa navyo, ndiyo riziki yake yote pia."_


*Mambo ya Kujifunza:*

Utoaji wenye baraka Ni ule unaogusa moyo wa Mungu. Kwa kutoa Katika kweli Yote .

πŸ™πŸŒ„

_Rev.J. Pokeaeli_

πŸ’’

©Sep.2020 Joyful House in Christ

Alhamisi, 16 Januari 2020

PASTORAL ORDINATION (UBARIKIO WA WACHUNGAJI)

Tarehe 1/12/2019 Mchungaji Johnson Paul Pokeaeli Mwanga. Alibarikiwa rasmi kua Mchungaji. Akiwa pamoja na wenzake 23. Siku hiyo walibarikiwa Wachungaji 24 wote wote wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki - Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania.
Ibada hiyo ilifanyikia Usharika wa Kanisa kuu Lushoto Tanga Tanzania(Cathedral)

Mchungaji Johnson ndiye mwanzilishi na mwendeshaji wa Blog hii. Mungu amtunze na kumlinda katika huduma yake na utume huu alioitiwa Amen.