Naomba kujazia ktk mengi mazuri yaliyozungumzwa
=>jinsi gani au njia gani kwa vijana Wa Kike/ au Wa kiume kumpata mwenza Wa maisha?
Nimerudia swali makusudi ili niweze kueleweka zaidi.
1. WAKATI WA BWANA.
2. USIMPATE MWENZA NJE YA UWEPO WA MUNGU ILA KTK UWEPO WA MUNGU
3. NDOA NI MPANGO WA MUNGU NA MUNGU NDIYE MHUSIKA MKUU KATIKA KUTUUNGANISHA
1. *WAKATI WA BWANA* Mwanzo 2:18
Bwana akaona si vyema HUYU mtu awe peke yake akamfamyia msaidizi.
KUMBUKA kabla ya Mungu kusema Maneno haya, tayari Adamu aliumbwa Na alikuwa tayari amekwisha anza kuitenda kazi aliyopewa Na Mungu. (Hapa pia tunaona mke haikuwa sababu ya Adamu kuumbwa Adamu aliumbwa ili aitende kazi ya Mungu. Hivyo mwenza alikuja kama msaidizi katika kutimiza malengo Na makusudi Ya Mungu yeye kuumbwa hapa ulimwenguni.)
π embu kidogo turudi kwenye point hiihii ya kwanza. WAKATIπ€
Wakati ukifika Wa wewe kuolewa au kuoa hakika utaoa.
Tambua _"Mambo yote yamefungwa katika wakati''_
Mfalme sulemani anasema. _"Enyi Binti za Yerusalemu msiyachochee mapenzi hata yatakapokuja yenyewe''_π♂
=>Kutokea kuumbwa kwa Adamu hadi Eva kuumbwa kuna wakati mrefu kidogo. Ambao wakati wote huo Adamu alikuwa _"Anailima Na Kuitunza Bustani''_ mwanzo 2:15
Hivyo kitu chakwanza
*jiulize je huu ndiyo wakati sahihi Wa Mimi kuoa/kuolewa?*
2.Usimpate Mwenza nje ya UWEPO Wa Mungu.
Mazingira mliyokutana yanachangia kuwa Na ndoa iliyojaa majuto. Kama mmekutana kwenye uzinzi,ulevi, nk. Haya ni maxingira magumu mno ktk ndoa nyingi. Na ndoa hizi huishia kuvunjika au magomvi yasiyoisha.
Mfano Wa mazingira mazuri ya kukutana Na mwenza wako tunayaona kwa baba yetu Adamu. Mbele ya Mungu anakutana Na Mwenzi wake. Mungu anamletea (Mke mwema Toka kwa Bwana). Adamu anaamka usingizini Na kusema HUYU ni nyama katika nyama zangu mfupa ktk mifupa yangu (Mwanamke).
Aminaaa.
Hakika inapendeza wewe uliyedumu ktk kujitunza na unayehitaji kumpata mwenza wako Wa Maisha ukampata huyo mwenza kanisani. Au popote mkijishughulisha Na hbr au kazi iliyo halali mbele za Mungu.
Nimesema kazi iliyo halali kwa makusudi kabisa wala sijakosea
Maana kukutana Na mwenza wako ktk UWEPO WA MUNGU sio tu Kanisani au Kwe kwaya nk. Ila hata pengine mkiwa mnafanya shughuli za kila siku ambazo zampendeza Mungu.
MF.Rebecca alimpata mwenza kisimani alipoenda kuchota maji.π€
Sio eti mpo kilabuni mnakunywa pombe, au kwenye madangulo π€❗✖
3. Ndoa ni mpango Wa Mungu naye ndiye anayehusika kutuunganisha.
Ktk maeneo ambayo Mungu anahusika mwenyewe mojawapo ni hili.
Sio kwaakili zetu tunaweza kumpata mke/ Mme mwema Na anayestahili kuwa mwenzi wako Wa maisha.
Mungu NDIYE aliye husika kuona uhitaji Wa Adamu.
Hata kabla Adamu hajaona kwamba anauhitaji Mungu alimwona. Na Mara moja akaingia kazini kumfanyia msaidizi Wa kufanana naye....soma *Mwanzo 2:18*
Uhitaji Wa kupata msaidizi Bosi NDIYE ajuaye. Kwamba kazi Na jukumu alilokupa unahitaji msaidizi au LA!!!
Ndiyo
Narudia tena *Uhitaji Wa kupata msaidizi Bosi NDIYE ajuaye. Kwamba kazi Na jukumu alilokupa unahitaji msaidizi au LA!!!*
Tutambue hakika ya kwamba tumekuja Duniani tukiwa tumebeba kusudi la Mungu ndani yetu.
Na ikimpendeza Mungu hatuondoki hadi tulitimize.
Sasa hilo kusudi ndilo litaamua wewe uwe Na msaidizi au usiwe nae.
Na kama ni kuwa Na msaidizi awe Wa namna gani.
Mungu akasema natumfanyie msaidizi Wa *kufanana naye*
Maana yake atakayeeweza kuendana nawe Na kukusaidia kulibeba hilo kusudi la Mungu lililopo ndani yako.
Na hapa tunaona wengine wanaishia maisha yao yote bila kuwa Na mwenza hata aombeje hawezi pata.
Mfano Mkubwa ni kwa Yesu Kristo Na Yohana Mbatizaji.
Hawa wote wawili walibeba kusudi maalumu Na kwa wakati Maalumu. Na ilipofika muda Wa kazi umekamilika waliondoka zao.
Bado naona hujanielewa vizuri.
Embu hujawahi kutana Na mstari huu usemao
_"" Mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa''_
Pia _"Sisi sote tuu bibi arusi Wa Bwana Yesu Kristo''_
Hapo sasa unaanza kuelewa.
Ni hivi kuoa au kuolewa ni neema Na mpango kamili Wa Mungu.
Kama umepangiwa kuoa au kuolewa haina haja ya kukimbilia au kukata tamaa utafika wakati alioupanga Bwana nawe utakuwa Na mwenza.
Pia kwa wewe ambae huna mwenza sio kwamba Mungu amekuacha au wewe ni mwenye dhambi sana kuliko mwengine la. Wewe ni Wa dhamani sana mbele za Mungu.
Na kwa wewe unayetafuta tambua kwamba unapaswa kutenga muda mwingi kuutafuta USO Wa Mungu Na kumwomba juu ya suala hilo.
Mungu awabariki mno.
Imeandaliwa Na Mtumishi Johnson Pokeaeli
Alhamisi, 29 Novemba 2018
Jumapili, 25 Novemba 2018
Jumapili, 11 Novemba 2018
SABATO
[11/10, 21:22] JHC: Tafuta Habari Njema Maswali muhimu sana Maswali yanayo ulizwa zaidi kila mara
Ni siku gani ya sabato, Jumamosi au Jumapili? Wakristo wastahili kuitunza hii siku?
Swali: "Ni siku gani ya sabato, Jumamosi au Jumapili? Wakristo wastahili kuitunza hii siku?"
Jibu: Kila mara husemwa kuwa “Mungu ndiye alianzisha sabato katika shamba la Edeni” kwa sababu ya uhusiano kati ya Sabato na uumbaji katika Kutoka 20:11. ingawa starehe ya Mungu siku ya Sabato (Mwanzo 2:3) iliangazia sheria ya Sabato iliyokua inakuja, hakuna maelezo yoyote ya Bibilia juu ya Sabato kwa watoto wa Israeli kabla watoke Misri. Hakuna maandiko katika Bibilia au dondoo lolote linaloonyesha kuwa Adamu na Musa waliitunza Sabato.
Neno la Mungu laiweka wazi kuwa kuitunza Sabato ilikua ishara maalumu kati ya Mungu na Waisraeli: “Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli watishika sabato, kuiangalia sana hiyo sabato katika vizazi vyao vyote, ni agano la milele. Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; kwani kwa siku sita BWANA alifanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya saba na kupumzika” (Kutoka 31: 16-16).
Katika Kumbukumbu La Torati 5, Musa anazirudia amri kumi kwa kizazi kingine cha Israeli. Hapa baada ya kuamrisha jinsi ya kuitunza sabato katika aya ya 12-14, Musa anatoa sababu ya sabato ambayo sabato ilipewa kwa taifa la Israeli: “Nawe utakumbuka ya kuwa wewe ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri, na akuwa BWANA, Mungu wako, alikutoa huko kwa mkono wenye nguvu, na mkono ulionyoshwa; kwa sababu hiyo BWANA Mungu wako, alikuamuru uishike sabato” (Kumbukumbu La Torati 5:15).
Lengo la Mungu kupeana sabato kwa Waisraeli haikuwa kukumbuka uumbaji, bali waukumbuke utumwa wa Wamisri na kule kuokolewa na Bwana. Kumbuka yanayohitajika kwa kuitunza sabato: mtu aliyewekwa chini ya hiyo sheria hangeweza kutoka kwa boma yake (Kutoka 16:29), hangewakisha moto (Kutoka 35:3), angeruhusu mtu yeyote kufanya kazi (Kumbukumbu La Torati 5:14). Mtu mwenye angivunja shreria ya sabato angeuwawa (Kutoka 31:15; Hesabu 15:32-35).
Uchunganusi wa ukurasa wa Agano Jipya watuonyesha mambo mane muimu: 1) Popote Kristo alionekena baada ya kufufuka kwake na siku zimetajwa, kila wakati ni siku ya kwanza ya Juma (Mathayo 28:1,9, 10; Mariko 16:9; Luka 24:1,13,15; Yohana 20:19, 26). 2) Wakati pekee sabato imetajwa kutoka kwa kitabu cha Matendo ya Mitume hadi ufunuo ni kwa sababu ya lengo la uinjilisti kwa Wayahudi kwenye Masinagogi (Matendo Ya Mitume 13-18). Paulo aliandika, “Nilikuwa kama Myahudi kwa Wayahudi, ili niwapate Wayahudi” (1 Wakorintho 9:20). Paulo hakuenda kaitka Masinagogi kuwa na ushirika na kuwajenga waumini, bali alienda ili awathibitishie injili na kuwaokoa walikuwa wamepotea. 3) Mara moja Paulo anasema, “tangu sasa nitakwenda kwa watu wa Mataifa” (Matendo Ya Mitume 18:6), sabato tena haitajwi kamwe. Na 4) Badala ya kupendekeza kuwa waitunze siku ya sabato, sehemu nyingine ya Agano Jipya iliyobaki yasema kinyume ( ikijumulisha sehemu ya tatu ilioachwa nche hapo juu, inapatika katika Wakolosai 2:16).
Kwa kuingalia hoja ya nne kwa makini, tutafumbua kwamba, hakuna jukumu lolote la kuitunza sabato kwa waumini wa Agano Jipya. Pia tutaonyesha kuwa dhana ya Jumapili “Sabato ya Wakristo” si ya kibibilia. Vile imejadiliwa hapo juu, hakuna wakati sabato imetajwa baada ya Paulo kuanza kuangazia Mataifa, “Basi mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo” (Wakolosai 2:16-17). Sabato ya Kiyahudi ilifutiliwa msalabani hamali ambapo Kristo “Akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki” (Wakolosai 2:14).
Wazo hili limerudiwa zaidi ya mara moja katika Agano Jipya: “Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku; mwinginie aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe. Yeye aadhimishaye siku huiadhimisha kwa Bwana” (Warumi 14:5-6a). “Bali sasa mkiisha kumjua Mungu, au zaidi kujulikana na Mungu, kwa nini kuyarejea tena mafundisho ya kwanza yaliyo manyonge, yenye upungufu, ambayo mnataka kuyatumikia tena? Mnashika siku, na miezi, na nyaktati, na miaka” (Wagalatia 4:9-10).
Bali wengine wanadai kuwa agizo la Constantino katika mwaka wa 321 A.D (Baada ya Yesu kuzaliwa) ilibadilisha sabato kutoka Jumamosi hadi Jumapili. Ni siku gani kanisa la kwanza lilikutana kwa ibada? Bibilia haitaji mkusanyiko wowote wa sabato (Jumamosi) kwa waumini kwa minajili ya ushirika au ibada. Ingawa, kuna kurasa wazi zinazoitaja siku ya kwanza ya juma. Kwa mfano Matendo Ya Mitume 20:7 ambayo yasema, “Hata siku ya kwanza ya juma, tulipokutana ili kumega mkate.” Katika 1 Wakorintho 16:2 Paulo anawasihi Wakristo wa Korintho, “Siku ya kwanza ya juma kila mtu kwenu na aweke akiba kwake, kwa kadri ya kufanikiwa kwake.” Jinsi Paulo anayataja haya matoleo kuwa “huduma” katika 2 Wakorintho 9:12, haya matoleo lazima yamehuzishwa na ibada ya siku ya Jumapili ya Wakristo. Kiistoria siku ya Jumapili, bali si Jumamosi ilikuwa siku iliyokubalika kwa Wakristo katika kanisa na matukio yao yaweza kufuatwa hadi wakati wa kanisa la kwanza.
Sabato ilipeanwa kwa Waisraeli, si kanisa. Sabato bado ingali siku ya Jumamosi si Jumapili na haijawai badilishwa. Bali sabato ni sehemu ya sheria ya Agano La Kale na Wakristo wako huru kutoka kwa mkono wa sheria (Wagalatia 4:1-26; Warumi 6:14). Wakristo hawitakiwi kuitunza sabato hata kama iko siku ya Jumamosi au Jumapili. Siku ya kwanza ya juma, siku ya Bwana (Ufunuo 1:10) za sherekea kiumbe kipya Kristo aliyefufuka akiwa kiongozi wetu. Hatujaamrishwa kiufuata sheria ya Musa ya sabato ya kustarehe, bali tuko huru kumfuata Kristo aliyefufuka. Mtume Paulo alisema kwamba kila mkristo amue mweneyewe kama ataifuata sabato, “Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku; mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe” (Warumi 14:5). Twastahili kumwabudu Mungu kila siku, si Jumamosi pekee or Jumapili pekee.
English
Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili
Ni siku gani ya sabato, Jumamosi au Jumapili? Wakristo wastahili kuitunza hii siku?
Jua jinsi ya ...
kutumia milele na Mungu
Jifunze zaidi
Pata msamaha kutoka kwa Mungu
Jifunze zaidi
Ubaharia
Tafuta
Habari Njema
Maswali muhimu sana
Maswali yanayo ulizwa zaidi kila mara
Tafuta
Habari Njema
Maswali muhimu sana
Maswali yanayo ulizwa zaidi kila mara
© Copyright 2002-2018 Got Questions Ministries. Haki zote zimehifadhiwa.
[11/10, 21:31] Melchizedek Pokeaeli (TANGA ADMIN_JHC): Yesu mdhamini wa agano jipya, ndiye aliyekuwa kielelezo cha kuivunja sabato na kutoa ufafanuzi kuwa "Mwanadamu hakuumbwa kwa ajili ya sabato (Marko 2:27:28). Kama ambavyo Ibrahim hakuagizwa kushika sabato, ndivyo nasi leo hatukuagizwa kushika sabato. Katika Yoh. 19:16-19 kuna mtu aliyemuuliza Yesu afanye jambo gani ema ili apate uzima wa milele, lakini alielezwa ashike sheria zingine tu lakini siyo sabato. Watu wanaong’ang’ania kushika sabato leo wameitwa wanafunzi wa Musa siyo wa Kristo (Yoh. 9:28).
Sasa baada ya sabato kukomeshwa ni siku gani inayofaa kuabudu? Biblia inatoa jibu kuwa ni siku yoyote (Rumi 14:5, Gal. 4:9-10). Ni siku yoyote kama ilivyokuwa kwa Adam, Nuhu na Ibrahim. Hivyo anayeabudu Ijumaa au Jumamosi ni sawa, isipokuwa asiwe na dhana kuwa siku anayoabudu ndiyo Mwenyezi Mungu anayotaka aabudiwe siku zote sasa ni sawa (Kolosai 2:16).
Baada ya Mwenyezi Mungu kutuweka huru kuabudu siku yoyote kama ilivyokuwa kwa Ibrahim, Jumapili imechaguliwa na Wakristo kuwa ya kuabudu kutokana na umuhimu wake. Jumapili ni siku ya kumtolea Mungu malimbuko ya mavuno (Law. 23:10). Jumapili ni siku ya Bwana Yesu kushinda mauti (Yoh. 20:1-18). Jumapili ni siku Yesu kuwatokea wanafunzi wake kwa mara ya kwanza toka afufuke (Yoh. 20:19-20). Jumapili ni siku Roho Mtakatifu alipowatokea wanafunzi wa Yesu (Matendo 2:1). Jumapili ni siku ya Kanisa la kwanza lilipoanza mahubiri (Matendo 2:14-41). Jumapili ni siku ya waumini kukutana na kumega mkate (Matendo 20:7).
Hizi ndizo sababu za Jumapili kuwa siku ya kuabudu, lakini pia siku zingine zafaa kuabudu lakini hazina uzito sana ikilinganishwa na Jumapili hasa baada ya Mwenyezi Mungu kukomesha sabato na sikukuu za kuangalia mwezi kama wafanyavyo Waislamu ambazo zimekomeshwa hazipo.
Ni siku gani ya sabato, Jumamosi au Jumapili? Wakristo wastahili kuitunza hii siku?
Swali: "Ni siku gani ya sabato, Jumamosi au Jumapili? Wakristo wastahili kuitunza hii siku?"
Jibu: Kila mara husemwa kuwa “Mungu ndiye alianzisha sabato katika shamba la Edeni” kwa sababu ya uhusiano kati ya Sabato na uumbaji katika Kutoka 20:11. ingawa starehe ya Mungu siku ya Sabato (Mwanzo 2:3) iliangazia sheria ya Sabato iliyokua inakuja, hakuna maelezo yoyote ya Bibilia juu ya Sabato kwa watoto wa Israeli kabla watoke Misri. Hakuna maandiko katika Bibilia au dondoo lolote linaloonyesha kuwa Adamu na Musa waliitunza Sabato.
Neno la Mungu laiweka wazi kuwa kuitunza Sabato ilikua ishara maalumu kati ya Mungu na Waisraeli: “Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli watishika sabato, kuiangalia sana hiyo sabato katika vizazi vyao vyote, ni agano la milele. Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; kwani kwa siku sita BWANA alifanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya saba na kupumzika” (Kutoka 31: 16-16).
Katika Kumbukumbu La Torati 5, Musa anazirudia amri kumi kwa kizazi kingine cha Israeli. Hapa baada ya kuamrisha jinsi ya kuitunza sabato katika aya ya 12-14, Musa anatoa sababu ya sabato ambayo sabato ilipewa kwa taifa la Israeli: “Nawe utakumbuka ya kuwa wewe ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri, na akuwa BWANA, Mungu wako, alikutoa huko kwa mkono wenye nguvu, na mkono ulionyoshwa; kwa sababu hiyo BWANA Mungu wako, alikuamuru uishike sabato” (Kumbukumbu La Torati 5:15).
Lengo la Mungu kupeana sabato kwa Waisraeli haikuwa kukumbuka uumbaji, bali waukumbuke utumwa wa Wamisri na kule kuokolewa na Bwana. Kumbuka yanayohitajika kwa kuitunza sabato: mtu aliyewekwa chini ya hiyo sheria hangeweza kutoka kwa boma yake (Kutoka 16:29), hangewakisha moto (Kutoka 35:3), angeruhusu mtu yeyote kufanya kazi (Kumbukumbu La Torati 5:14). Mtu mwenye angivunja shreria ya sabato angeuwawa (Kutoka 31:15; Hesabu 15:32-35).
Uchunganusi wa ukurasa wa Agano Jipya watuonyesha mambo mane muimu: 1) Popote Kristo alionekena baada ya kufufuka kwake na siku zimetajwa, kila wakati ni siku ya kwanza ya Juma (Mathayo 28:1,9, 10; Mariko 16:9; Luka 24:1,13,15; Yohana 20:19, 26). 2) Wakati pekee sabato imetajwa kutoka kwa kitabu cha Matendo ya Mitume hadi ufunuo ni kwa sababu ya lengo la uinjilisti kwa Wayahudi kwenye Masinagogi (Matendo Ya Mitume 13-18). Paulo aliandika, “Nilikuwa kama Myahudi kwa Wayahudi, ili niwapate Wayahudi” (1 Wakorintho 9:20). Paulo hakuenda kaitka Masinagogi kuwa na ushirika na kuwajenga waumini, bali alienda ili awathibitishie injili na kuwaokoa walikuwa wamepotea. 3) Mara moja Paulo anasema, “tangu sasa nitakwenda kwa watu wa Mataifa” (Matendo Ya Mitume 18:6), sabato tena haitajwi kamwe. Na 4) Badala ya kupendekeza kuwa waitunze siku ya sabato, sehemu nyingine ya Agano Jipya iliyobaki yasema kinyume ( ikijumulisha sehemu ya tatu ilioachwa nche hapo juu, inapatika katika Wakolosai 2:16).
Kwa kuingalia hoja ya nne kwa makini, tutafumbua kwamba, hakuna jukumu lolote la kuitunza sabato kwa waumini wa Agano Jipya. Pia tutaonyesha kuwa dhana ya Jumapili “Sabato ya Wakristo” si ya kibibilia. Vile imejadiliwa hapo juu, hakuna wakati sabato imetajwa baada ya Paulo kuanza kuangazia Mataifa, “Basi mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo” (Wakolosai 2:16-17). Sabato ya Kiyahudi ilifutiliwa msalabani hamali ambapo Kristo “Akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki” (Wakolosai 2:14).
Wazo hili limerudiwa zaidi ya mara moja katika Agano Jipya: “Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku; mwinginie aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe. Yeye aadhimishaye siku huiadhimisha kwa Bwana” (Warumi 14:5-6a). “Bali sasa mkiisha kumjua Mungu, au zaidi kujulikana na Mungu, kwa nini kuyarejea tena mafundisho ya kwanza yaliyo manyonge, yenye upungufu, ambayo mnataka kuyatumikia tena? Mnashika siku, na miezi, na nyaktati, na miaka” (Wagalatia 4:9-10).
Bali wengine wanadai kuwa agizo la Constantino katika mwaka wa 321 A.D (Baada ya Yesu kuzaliwa) ilibadilisha sabato kutoka Jumamosi hadi Jumapili. Ni siku gani kanisa la kwanza lilikutana kwa ibada? Bibilia haitaji mkusanyiko wowote wa sabato (Jumamosi) kwa waumini kwa minajili ya ushirika au ibada. Ingawa, kuna kurasa wazi zinazoitaja siku ya kwanza ya juma. Kwa mfano Matendo Ya Mitume 20:7 ambayo yasema, “Hata siku ya kwanza ya juma, tulipokutana ili kumega mkate.” Katika 1 Wakorintho 16:2 Paulo anawasihi Wakristo wa Korintho, “Siku ya kwanza ya juma kila mtu kwenu na aweke akiba kwake, kwa kadri ya kufanikiwa kwake.” Jinsi Paulo anayataja haya matoleo kuwa “huduma” katika 2 Wakorintho 9:12, haya matoleo lazima yamehuzishwa na ibada ya siku ya Jumapili ya Wakristo. Kiistoria siku ya Jumapili, bali si Jumamosi ilikuwa siku iliyokubalika kwa Wakristo katika kanisa na matukio yao yaweza kufuatwa hadi wakati wa kanisa la kwanza.
Sabato ilipeanwa kwa Waisraeli, si kanisa. Sabato bado ingali siku ya Jumamosi si Jumapili na haijawai badilishwa. Bali sabato ni sehemu ya sheria ya Agano La Kale na Wakristo wako huru kutoka kwa mkono wa sheria (Wagalatia 4:1-26; Warumi 6:14). Wakristo hawitakiwi kuitunza sabato hata kama iko siku ya Jumamosi au Jumapili. Siku ya kwanza ya juma, siku ya Bwana (Ufunuo 1:10) za sherekea kiumbe kipya Kristo aliyefufuka akiwa kiongozi wetu. Hatujaamrishwa kiufuata sheria ya Musa ya sabato ya kustarehe, bali tuko huru kumfuata Kristo aliyefufuka. Mtume Paulo alisema kwamba kila mkristo amue mweneyewe kama ataifuata sabato, “Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku; mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe” (Warumi 14:5). Twastahili kumwabudu Mungu kila siku, si Jumamosi pekee or Jumapili pekee.
English
Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili
Ni siku gani ya sabato, Jumamosi au Jumapili? Wakristo wastahili kuitunza hii siku?
Jua jinsi ya ...
kutumia milele na Mungu
Jifunze zaidi
Pata msamaha kutoka kwa Mungu
Jifunze zaidi
Ubaharia
Tafuta
Habari Njema
Maswali muhimu sana
Maswali yanayo ulizwa zaidi kila mara
Tafuta
Habari Njema
Maswali muhimu sana
Maswali yanayo ulizwa zaidi kila mara
© Copyright 2002-2018 Got Questions Ministries. Haki zote zimehifadhiwa.
[11/10, 21:31] Melchizedek Pokeaeli (TANGA ADMIN_JHC): Yesu mdhamini wa agano jipya, ndiye aliyekuwa kielelezo cha kuivunja sabato na kutoa ufafanuzi kuwa "Mwanadamu hakuumbwa kwa ajili ya sabato (Marko 2:27:28). Kama ambavyo Ibrahim hakuagizwa kushika sabato, ndivyo nasi leo hatukuagizwa kushika sabato. Katika Yoh. 19:16-19 kuna mtu aliyemuuliza Yesu afanye jambo gani ema ili apate uzima wa milele, lakini alielezwa ashike sheria zingine tu lakini siyo sabato. Watu wanaong’ang’ania kushika sabato leo wameitwa wanafunzi wa Musa siyo wa Kristo (Yoh. 9:28).
Sasa baada ya sabato kukomeshwa ni siku gani inayofaa kuabudu? Biblia inatoa jibu kuwa ni siku yoyote (Rumi 14:5, Gal. 4:9-10). Ni siku yoyote kama ilivyokuwa kwa Adam, Nuhu na Ibrahim. Hivyo anayeabudu Ijumaa au Jumamosi ni sawa, isipokuwa asiwe na dhana kuwa siku anayoabudu ndiyo Mwenyezi Mungu anayotaka aabudiwe siku zote sasa ni sawa (Kolosai 2:16).
Baada ya Mwenyezi Mungu kutuweka huru kuabudu siku yoyote kama ilivyokuwa kwa Ibrahim, Jumapili imechaguliwa na Wakristo kuwa ya kuabudu kutokana na umuhimu wake. Jumapili ni siku ya kumtolea Mungu malimbuko ya mavuno (Law. 23:10). Jumapili ni siku ya Bwana Yesu kushinda mauti (Yoh. 20:1-18). Jumapili ni siku Yesu kuwatokea wanafunzi wake kwa mara ya kwanza toka afufuke (Yoh. 20:19-20). Jumapili ni siku Roho Mtakatifu alipowatokea wanafunzi wa Yesu (Matendo 2:1). Jumapili ni siku ya Kanisa la kwanza lilipoanza mahubiri (Matendo 2:14-41). Jumapili ni siku ya waumini kukutana na kumega mkate (Matendo 20:7).
Hizi ndizo sababu za Jumapili kuwa siku ya kuabudu, lakini pia siku zingine zafaa kuabudu lakini hazina uzito sana ikilinganishwa na Jumapili hasa baada ya Mwenyezi Mungu kukomesha sabato na sikukuu za kuangalia mwezi kama wafanyavyo Waislamu ambazo zimekomeshwa hazipo.
TUNZA SANA UAMINIFU WAKO KWA MUNGU
Leo nimetoka na hiki ibadani.
✍πΌTUNZA HUDUMA YAKO NA KUWA MWAMINIFU
Luka 25:13-30
13 Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa..........
Huu ni mfano juu ya talanta(talents) zilizogawanywa kwa watumwa ambao ndio sisi.
Ni kweli kama tulivyo viungo kila mmoja kwa mwenziwe tunatakiwa tuuhifadhi utumishi wetu kwa jambo lolote usiharibiwe bali huduma na karama na vipawa vikazae mara dufu.
Ukisoma vizuri pale anasema mwenye tano alileta kumi na mwenye mbili alileta nne Bwana wao akafurahi na kuwaambia waingie rahani.
Je uko tayari kuingia rahani kwa kuwa mwaminifu ???
Yule aliyepewa moja akaifukia kilichomkuta akanyanganywa hata kile kidogo na akatupwa nje mateso makali kilio na kisaga meno ikawa mshahara wake kwa sababu hakuwa mwaminifu na aliona kama hakuna faida bora kuifukia huduma yake.
Chagua sasa kuwa mwaminifu hata kufa ili taji yako ukaipate isiwe ndoto na talanta hizo zina hesabu yake mwisho kuwa mwaminifu isionekane hasaraa bali faida.
Kuna watu wanahitaji hata kuona tu unashauri vizuri nao wakavutwa kwa Yesu mshauri wa ajabu.
Ameen.
Tarehe 11/11/2018 kutoka kanisani Na Mtumishi Dalton
✍πΌTUNZA HUDUMA YAKO NA KUWA MWAMINIFU
Luka 25:13-30
13 Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa..........
Huu ni mfano juu ya talanta(talents) zilizogawanywa kwa watumwa ambao ndio sisi.
Ni kweli kama tulivyo viungo kila mmoja kwa mwenziwe tunatakiwa tuuhifadhi utumishi wetu kwa jambo lolote usiharibiwe bali huduma na karama na vipawa vikazae mara dufu.
Ukisoma vizuri pale anasema mwenye tano alileta kumi na mwenye mbili alileta nne Bwana wao akafurahi na kuwaambia waingie rahani.
Je uko tayari kuingia rahani kwa kuwa mwaminifu ???
Yule aliyepewa moja akaifukia kilichomkuta akanyanganywa hata kile kidogo na akatupwa nje mateso makali kilio na kisaga meno ikawa mshahara wake kwa sababu hakuwa mwaminifu na aliona kama hakuna faida bora kuifukia huduma yake.
Chagua sasa kuwa mwaminifu hata kufa ili taji yako ukaipate isiwe ndoto na talanta hizo zina hesabu yake mwisho kuwa mwaminifu isionekane hasaraa bali faida.
Kuna watu wanahitaji hata kuona tu unashauri vizuri nao wakavutwa kwa Yesu mshauri wa ajabu.
Ameen.
Tarehe 11/11/2018 kutoka kanisani Na Mtumishi Dalton
SABATO MAANA YAKE
SABATO KATIKA AGANO LA KALE
Neno sabato lina maana ya mapumziko au siku ya mapumziko..Asili ys mapumziko (Sabato) hayo tunayapata ktk kitabu cha mwanzo,, Mungu alipomaliza kazi ya uumbaji soma (mwa 2:1-3)
Kwa Mujibu wa mistari huyo π Mungu mwenyewe alipumzika. Alihitaji siku moja ya kustarehe baada ya kazi yake ya uumbaji iliyochukua siku sita. Kutokana na umuhimu wa kupumzika kwake akaitakasa akaitakasa siku hiyo ya saba.....Neno "Takasa " linamaana ya kuweka wakfu au kutenga kwajili ya matumizi matakatifu, yaani matumizi maalumu yaliyokusudiwa na Mungu, au kutengwa kwaajili ya Mungu.
Kutoks 16 23-29. Watu wa Mungu waisrael, waliagizwa kwa mara ya kwanza kupumzika siku ya sabato wakupokuwa ktk bara la Sini, ilikuwa kati ya Elimu na Sinai. Kutokana na manung'uniko yao kwa Musa na kwa Haruni kwa sababu ya njaa, Mungu aliwapa chakula kutika mbinguni kilichoitwa Mana.
Aliwataka wakiokote chakula hicho kilichotoka Mbinguni, kila siku.
Akiwataka wasiwe wanaikota chakula cha zaidi ya siku moja. Aliwaonya wakifanya hivyo, chakula chao kingeoza.
Hapo ndipo pia aliwapa amri wasiokote chakula hicho siku ya Sabato kwa maana nisiku takatifu ya Bwana.
Baada ya muda mfupi baada ya hapo , juu ya mlima wa Sinai, Mungu akampa Musa Amri kumi kwaajili ya wana wa Israel, Ikiwemo Amri ya kuitakasa Sabato. "Ikumbuke siku ya Bwana(sabato) na kuitakasa"
SABATO ILIVYOADHIMISHWA KATIKA AGANO LA KALE.
Siku ya Sabato iliadhimishwa kwa njia mbili katika Agano la Kale
Njia ya kwanza :- ilikuwa kuacha kufanya kazi ili kupumzika (Kut 20:8-11) kazi zilizozuiliwa kufanywa zilikuwa zote , ilikuwa pamoja na kutowasha moto ktk nyumba zao (kut 35:3).
Kukusanya kuni (Hes 15:32). Kubeba mizigo (Yer 17:21) kusafiri (Kut 16:29).
nakufanya biashara(Amo 8:5) .Hii ndio sababu Nehamia aliagiza malango ya Yerusalem yafungwe siku ya Sabato ilikutoruhusu wafanya biashara wa nje kuingia ,wala wale wa ndani kutoka siku hiyo(Neh 10:31, 13:15, 19)
Kutoishika sabato lilikuwa kosa kubwa lililosababisha kuuawa kwa anayeasi soma (Kuto 31:14-15, kuto 35:2)
Njia ya pili:-
Njia ya pili ya kuiadhimisha siku ya sabato ilikuwa ya ibada. Kwakawaida waisrael waliagizwa kutoa sadaka ya kuteketezwa , ambayo ilikuwa mwana kondooo wa mwaka mmoja ,mmoja asubuhi na mwana kondoo mwengine jioni(Hes 28:4)
Aidha kwa siku hiyo waliweka mikate mipya ya mahali patakatifu hekaluni (Law 24:8) mikate hiyo ilikuwa kumi na miwili iliopangwa juu ya meza iloitwa meza ya onyesho. Mikate hiyo ililiwa na makuhani tu,, siku ya sabato, ,matendohayo yalikuwa ya Ibada mbele za Mungu
SABATO KATIKA AGANO JIPYA
π Yesu na Sabato:- Yesu alizaliwa chini ya sheria (Gal 4:4). Alizaliwa ktk kipindi ambacho watu wa Mungu walihusiana na Mungu kwa taratibu za Agano la Kale :- wazazi wake walitoa sadaka kama torati ilivyoagiza, alitahiriwa siku ya nane alihudhuria sikukuu zao za kiyahudi, ikiwemo sikukuu ya pasaka,aliabudu ktk sinagogi na ktk hekalu ,alishika Sabato
Leo hii hakuna anayehusiana na Mungu kwa kufuata desturi au taratibu za Agano la kale .Hata wasabato wa leo hawatahiri watoto wao siku ya nane,, hawaendi Yerusalem kuhudhuria sikukuu za kiyahudi ,hawaabudu ktk masinagogi, na hawatoi sadaka za kuteketezwa kama walivyofanya wayahudi, ambao ndio waliokuwa watu wa Mungu ktk Agano la Kale.. Swali ni kwa nini?
Ni kwasababu" Hata ulipowadia utimilifu wa wakati ,Mungu alimtuma mwanae ambaye alizaliwa na Mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupokee hali ya kuwa wana wa Mungu(Gal 4:4,5)
Hata hivyo yesu hakija kuitangua torati (Mt.5:17)
JUMAPILI:-SIKU YA IBADA KATIKA AGANO JIPYA
Nilini wakristo walipoanza kuabudu siku ya kwanza ya juma, yaani Jumapili badala ya jumamosi?
Unabii ktk zaburi 118:22-24 unafafanuliwa ktk mahubiri ya Petro ktk matendo ya mitume 4:10-11 kuhusu Yesu.
Kwa kufufuka kwake amekuwa jiwe kuu la pembeni ,siku ya kufufuka kwake ndio iliotajwa kuwa ni "siku aliyoifanya Bwana, tutaishangilia na kuifurahia ",
Siku ya Sabato yaani (jumamosi) baada ya Yesu kufa kwake , Yesu Kristo alikuwa kaburini. Siku ya kwanza ya juma (jumapili) Yesu alifufuka kutoka kwa wafu! Haleluyaaa !!!!!! . kila alipojidhihirisha kwa wanafunzi wake ilikuwa ni ktk siku hiyo (mt 28:1-9, Yn 20:19, Lk 24:13-45, Yh 20:14-17 , kuwatokea hivyo mara kwa mara ktk siku za jumapili , haikuwa inatokea kwa bahati. Ilikusudiwa kuwafundisha kwamba siku hiyo, ya kufufuka Bwana ,kwa wakristo ni muhimu mno kwetu.
Katika siku hiyo ya kwanza ya juma , Yesu aliwavuvia wanafunzi wake wapokee Roho mtakatifu(Yh 20:19-22) Na ktika siku hiyo , siku yapentekoste Roho mtakatifu akawajia kwa mara ya kwanza ili kukaa ndani yao hata milele (mdo2:1-4) asomaye na afahamu . By W. S
Neno sabato lina maana ya mapumziko au siku ya mapumziko..Asili ys mapumziko (Sabato) hayo tunayapata ktk kitabu cha mwanzo,, Mungu alipomaliza kazi ya uumbaji soma (mwa 2:1-3)
Kwa Mujibu wa mistari huyo π Mungu mwenyewe alipumzika. Alihitaji siku moja ya kustarehe baada ya kazi yake ya uumbaji iliyochukua siku sita. Kutokana na umuhimu wa kupumzika kwake akaitakasa akaitakasa siku hiyo ya saba.....Neno "Takasa " linamaana ya kuweka wakfu au kutenga kwajili ya matumizi matakatifu, yaani matumizi maalumu yaliyokusudiwa na Mungu, au kutengwa kwaajili ya Mungu.
Kutoks 16 23-29. Watu wa Mungu waisrael, waliagizwa kwa mara ya kwanza kupumzika siku ya sabato wakupokuwa ktk bara la Sini, ilikuwa kati ya Elimu na Sinai. Kutokana na manung'uniko yao kwa Musa na kwa Haruni kwa sababu ya njaa, Mungu aliwapa chakula kutika mbinguni kilichoitwa Mana.
Aliwataka wakiokote chakula hicho kilichotoka Mbinguni, kila siku.
Akiwataka wasiwe wanaikota chakula cha zaidi ya siku moja. Aliwaonya wakifanya hivyo, chakula chao kingeoza.
Hapo ndipo pia aliwapa amri wasiokote chakula hicho siku ya Sabato kwa maana nisiku takatifu ya Bwana.
Baada ya muda mfupi baada ya hapo , juu ya mlima wa Sinai, Mungu akampa Musa Amri kumi kwaajili ya wana wa Israel, Ikiwemo Amri ya kuitakasa Sabato. "Ikumbuke siku ya Bwana(sabato) na kuitakasa"
SABATO ILIVYOADHIMISHWA KATIKA AGANO LA KALE.
Siku ya Sabato iliadhimishwa kwa njia mbili katika Agano la Kale
Njia ya kwanza :- ilikuwa kuacha kufanya kazi ili kupumzika (Kut 20:8-11) kazi zilizozuiliwa kufanywa zilikuwa zote , ilikuwa pamoja na kutowasha moto ktk nyumba zao (kut 35:3).
Kukusanya kuni (Hes 15:32). Kubeba mizigo (Yer 17:21) kusafiri (Kut 16:29).
nakufanya biashara(Amo 8:5) .Hii ndio sababu Nehamia aliagiza malango ya Yerusalem yafungwe siku ya Sabato ilikutoruhusu wafanya biashara wa nje kuingia ,wala wale wa ndani kutoka siku hiyo(Neh 10:31, 13:15, 19)
Kutoishika sabato lilikuwa kosa kubwa lililosababisha kuuawa kwa anayeasi soma (Kuto 31:14-15, kuto 35:2)
Njia ya pili:-
Njia ya pili ya kuiadhimisha siku ya sabato ilikuwa ya ibada. Kwakawaida waisrael waliagizwa kutoa sadaka ya kuteketezwa , ambayo ilikuwa mwana kondooo wa mwaka mmoja ,mmoja asubuhi na mwana kondoo mwengine jioni(Hes 28:4)
Aidha kwa siku hiyo waliweka mikate mipya ya mahali patakatifu hekaluni (Law 24:8) mikate hiyo ilikuwa kumi na miwili iliopangwa juu ya meza iloitwa meza ya onyesho. Mikate hiyo ililiwa na makuhani tu,, siku ya sabato, ,matendohayo yalikuwa ya Ibada mbele za Mungu
SABATO KATIKA AGANO JIPYA
π Yesu na Sabato:- Yesu alizaliwa chini ya sheria (Gal 4:4). Alizaliwa ktk kipindi ambacho watu wa Mungu walihusiana na Mungu kwa taratibu za Agano la Kale :- wazazi wake walitoa sadaka kama torati ilivyoagiza, alitahiriwa siku ya nane alihudhuria sikukuu zao za kiyahudi, ikiwemo sikukuu ya pasaka,aliabudu ktk sinagogi na ktk hekalu ,alishika Sabato
Leo hii hakuna anayehusiana na Mungu kwa kufuata desturi au taratibu za Agano la kale .Hata wasabato wa leo hawatahiri watoto wao siku ya nane,, hawaendi Yerusalem kuhudhuria sikukuu za kiyahudi ,hawaabudu ktk masinagogi, na hawatoi sadaka za kuteketezwa kama walivyofanya wayahudi, ambao ndio waliokuwa watu wa Mungu ktk Agano la Kale.. Swali ni kwa nini?
Ni kwasababu" Hata ulipowadia utimilifu wa wakati ,Mungu alimtuma mwanae ambaye alizaliwa na Mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupokee hali ya kuwa wana wa Mungu(Gal 4:4,5)
Hata hivyo yesu hakija kuitangua torati (Mt.5:17)
JUMAPILI:-SIKU YA IBADA KATIKA AGANO JIPYA
Nilini wakristo walipoanza kuabudu siku ya kwanza ya juma, yaani Jumapili badala ya jumamosi?
Unabii ktk zaburi 118:22-24 unafafanuliwa ktk mahubiri ya Petro ktk matendo ya mitume 4:10-11 kuhusu Yesu.
Kwa kufufuka kwake amekuwa jiwe kuu la pembeni ,siku ya kufufuka kwake ndio iliotajwa kuwa ni "siku aliyoifanya Bwana, tutaishangilia na kuifurahia ",
Siku ya Sabato yaani (jumamosi) baada ya Yesu kufa kwake , Yesu Kristo alikuwa kaburini. Siku ya kwanza ya juma (jumapili) Yesu alifufuka kutoka kwa wafu! Haleluyaaa !!!!!! . kila alipojidhihirisha kwa wanafunzi wake ilikuwa ni ktk siku hiyo (mt 28:1-9, Yn 20:19, Lk 24:13-45, Yh 20:14-17 , kuwatokea hivyo mara kwa mara ktk siku za jumapili , haikuwa inatokea kwa bahati. Ilikusudiwa kuwafundisha kwamba siku hiyo, ya kufufuka Bwana ,kwa wakristo ni muhimu mno kwetu.
Katika siku hiyo ya kwanza ya juma , Yesu aliwavuvia wanafunzi wake wapokee Roho mtakatifu(Yh 20:19-22) Na ktika siku hiyo , siku yapentekoste Roho mtakatifu akawajia kwa mara ya kwanza ili kukaa ndani yao hata milele (mdo2:1-4) asomaye na afahamu . By W. S
Jumanne, 6 Novemba 2018
SABABU ZINAZOFANYA KUTOJIBIWA MAOMBI YAKO
SABABU ZINAZOFANYA KUTOJIBIWA MAOMBI YAKO
Tuliangalia sababu tano kwa kuzipitia tu zilikuwa hizi,
1. *KUTOMSAMEHE MTU MOYONI MWAKO*
Marko 11:25,26
2. *KUTOKUWA NA UHAKIKA WA IMANI YAKO KWA MUNGU JUU YA UNACHOKIOMBA*
Yakobo 1:5-7
3. *KUKATA TAMAA NA KUKOSA MSUKUMO WA KUOMBA NDANI YAKO*
Luka 18:1,7,8
4. *MATUMIZI MABAYA YA VITU UPEWAVYO NA MUNGU*
Yakobo 4:3
5. *JIBU LA MAOMBI YAKO KUFUNGIWA NDANI YA WAKATI ULIOAMRIWA*
Danieli 9:24
Unaeza kupitia na maandiko hayo kwa maelezo zaidi.
Leo tunasonga mbele na sababu zingine tano zaidi zinazofanya usijibiwe maombi yako.
Semina hii ni kwaajii yako
Twende pamoja.
[11/3, 19:11] Humphrey Mrema Arusha JHC ADMIN: SABABU YA SITA
6⃣ *HALI YAKO YA KIROHO KUWA CHINI AU NDOGO KULINGANA NA HITAJI LAKO KWA MUNGU.*
Wagalatia 4:1
. Lakini nasema ya kuwa mrithi, wakati wote awapo mtoto, hana tofauti na mtumwa, angawa ni bwana wa yote;
Wagalatia 4:2
. bali yu chini ya mawakili na watunzaji, hata wakati uliokwisha kuamriwa na baba.
Je! Huwa unakimbilia nyama wakati maziwa hujanywa? (Ebrania 5:13)
Kiwango chako cha Kiroho kinaendana na unachokiomba kwa Mungu? Jitathmini.
[11/3, 19:15] Humphrey Mrema Arusha JHC ADMIN:
SABABU YA SABA
7⃣ *KUHITAJIKA KWA MAOMBI YA KUFUNGA KUOMBEA JAMBO HILO LAKINI HUKUFUNGA*
Matayo 17:21
. [Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.]
Kwa wakati mwingine maombi ya kufunga ni kama KUKATA RUFAA. Hivyo ili upokee baadhi ya majibu ya maombi yako lazima ufunge kwa maombi.
Tafakari hilo!
[11/3, 19:22] Humphrey Mrema Arusha JHC ADMIN: SABABU YA NANE.
8⃣ *KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU ZINAZOTENDA KAZI NDANI YAKO KUWA NDOGO KULINGANISHA NA JAMBO UNALOLIOMBEA.
Waefeso 3:20
. Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu;
Nifanyaje?? Omba Mungu akujaze nguvu zake za kutosha ili azitumie kujibu maombi yako
Kwasababu *"...... kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana akiomba kwa bidii."* Yakobo 5:16
Maombi yako yanaachilia Nguvu inayotenda kazi kufungua vifungo na kujibu maombi.
[11/3, 19:30] Humphrey Mrema Arusha JHC ADMIN:
SABABU YA TISA
9⃣ *KUTOPANGILIA VIZURI MFUMO WA VIPAUMBELE VYAKO KI-MAISHA KAMA. MUNGU ANAVYOTAKA NA UTEKELEZAJI MBOVU WA VIPAUMBELE VYA MUNGU MAISHANI MWAKO.*
Matayo 6:33
. Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
Matayo 6:31
. Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini?
Je! Una vipaumbele gani vya kimaisha? Ukimweka Mungu kuwa kipaumbele nae ataweka mahitaji yako kuwa kipaumbele.
Wakati mwingine anachelewa kujibu maombi yako kwasababu hujampa kipaumbele ndio sababu.
Tutafakari vyema
[11/3, 19:40] Humphrey Mrema Arusha JHC ADMIN: SABABU YA KUMI
1⃣0⃣ *KUTOMZALIA MUNGU MATUNDA ANAYOTAKA YA KUDUMU.*
Yohana 15:16
. Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lo lote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni
Matunda haya ni kama
--> _Tunda la Haki_ (Yakobo 3:18)
--> _Tunda la midomo_ (Ebr 13:15)
--> _Tunda la Roho_ (Galatia 5:22,23)
--> _Tunda la kazi_ (Wafilipi 1:22)
--> _Tunda la Toba_ (Mathayo 3:8)
Mzalie Mungu Matunda aone faida yako na kushawishika kukutendea makuu.
πππ
Follow us
*Instagram* joyfulhouseinchrist
*Facebook* Joyful House In Jesus Christ
*Blog* christiansforum1.blogspot.com
Tuliangalia sababu tano kwa kuzipitia tu zilikuwa hizi,
1. *KUTOMSAMEHE MTU MOYONI MWAKO*
Marko 11:25,26
2. *KUTOKUWA NA UHAKIKA WA IMANI YAKO KWA MUNGU JUU YA UNACHOKIOMBA*
Yakobo 1:5-7
3. *KUKATA TAMAA NA KUKOSA MSUKUMO WA KUOMBA NDANI YAKO*
Luka 18:1,7,8
4. *MATUMIZI MABAYA YA VITU UPEWAVYO NA MUNGU*
Yakobo 4:3
5. *JIBU LA MAOMBI YAKO KUFUNGIWA NDANI YA WAKATI ULIOAMRIWA*
Danieli 9:24
Unaeza kupitia na maandiko hayo kwa maelezo zaidi.
Leo tunasonga mbele na sababu zingine tano zaidi zinazofanya usijibiwe maombi yako.
Semina hii ni kwaajii yako
Twende pamoja.
[11/3, 19:11] Humphrey Mrema Arusha JHC ADMIN: SABABU YA SITA
6⃣ *HALI YAKO YA KIROHO KUWA CHINI AU NDOGO KULINGANA NA HITAJI LAKO KWA MUNGU.*
Wagalatia 4:1
. Lakini nasema ya kuwa mrithi, wakati wote awapo mtoto, hana tofauti na mtumwa, angawa ni bwana wa yote;
Wagalatia 4:2
. bali yu chini ya mawakili na watunzaji, hata wakati uliokwisha kuamriwa na baba.
Je! Huwa unakimbilia nyama wakati maziwa hujanywa? (Ebrania 5:13)
Kiwango chako cha Kiroho kinaendana na unachokiomba kwa Mungu? Jitathmini.
[11/3, 19:15] Humphrey Mrema Arusha JHC ADMIN:
SABABU YA SABA
7⃣ *KUHITAJIKA KWA MAOMBI YA KUFUNGA KUOMBEA JAMBO HILO LAKINI HUKUFUNGA*
Matayo 17:21
. [Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.]
Kwa wakati mwingine maombi ya kufunga ni kama KUKATA RUFAA. Hivyo ili upokee baadhi ya majibu ya maombi yako lazima ufunge kwa maombi.
Tafakari hilo!
[11/3, 19:22] Humphrey Mrema Arusha JHC ADMIN: SABABU YA NANE.
8⃣ *KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU ZINAZOTENDA KAZI NDANI YAKO KUWA NDOGO KULINGANISHA NA JAMBO UNALOLIOMBEA.
Waefeso 3:20
. Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu;
Nifanyaje?? Omba Mungu akujaze nguvu zake za kutosha ili azitumie kujibu maombi yako
Kwasababu *"...... kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana akiomba kwa bidii."* Yakobo 5:16
Maombi yako yanaachilia Nguvu inayotenda kazi kufungua vifungo na kujibu maombi.
[11/3, 19:30] Humphrey Mrema Arusha JHC ADMIN:
SABABU YA TISA
9⃣ *KUTOPANGILIA VIZURI MFUMO WA VIPAUMBELE VYAKO KI-MAISHA KAMA. MUNGU ANAVYOTAKA NA UTEKELEZAJI MBOVU WA VIPAUMBELE VYA MUNGU MAISHANI MWAKO.*
Matayo 6:33
. Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
Matayo 6:31
. Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini?
Je! Una vipaumbele gani vya kimaisha? Ukimweka Mungu kuwa kipaumbele nae ataweka mahitaji yako kuwa kipaumbele.
Wakati mwingine anachelewa kujibu maombi yako kwasababu hujampa kipaumbele ndio sababu.
Tutafakari vyema
[11/3, 19:40] Humphrey Mrema Arusha JHC ADMIN: SABABU YA KUMI
1⃣0⃣ *KUTOMZALIA MUNGU MATUNDA ANAYOTAKA YA KUDUMU.*
Yohana 15:16
. Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lo lote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni
Matunda haya ni kama
--> _Tunda la Haki_ (Yakobo 3:18)
--> _Tunda la midomo_ (Ebr 13:15)
--> _Tunda la Roho_ (Galatia 5:22,23)
--> _Tunda la kazi_ (Wafilipi 1:22)
--> _Tunda la Toba_ (Mathayo 3:8)
Mzalie Mungu Matunda aone faida yako na kushawishika kukutendea makuu.
πππ
Follow us
*Instagram* joyfulhouseinchrist
*Facebook* Joyful House In Jesus Christ
*Blog* christiansforum1.blogspot.com
π§Or send us Email on
joyfulhouseinchrist@gmail.com
joyfulhouseinchrist@gmail.com
πππΌπΏ
©Nov.2018 Joyful House In Christ
©Nov.2018 Joyful House In Christ
Ijumaa, 26 Oktoba 2018
DALILI ZA SIKU ZA MWISHO
Leo tarehe 26.10.2018 siku ya kwanza ya Semina tutaangalia vipengele viwili wa kwanza vya somo letu la *SIKU NA NYAKATI ZA MWISHO*
Tunaenda kutazama *``` DALILI ZA SIKU ZA MWISHO```* na kuhusu *``` MPINGA KRISTO NA KAZI ZAKE```*
Tuanze na kuhusu *DALILI ZA SIKU ZA MWISHO*
Zipo dalili nyingi sana zilizotabiriwa kwenye Biblia kuhusu siku za mwisho nazo ni hizi kulingana na zilivyoainishwa katika Biblia
Utapitia kwa karibu ukipata muda kitabu cha Mathayo 24, Marko 13, Daniel 12:1-5, 2 Timotheo 3:1-8
Tuziangalie kwa uchache dalili zenyewe
*KUWEPO KWA MAKRISTO WA UONGO:* Naamini wote tumewasikia watu wakijiita Yesu na hata kutenda miujiza na kudanganya wengi wametokea baadhi kule Brazil na Russia tena huyu wa Russia ameoa na ana watoto na bado anajiita Yesu na kujipatia wafuasi wengi kwa miujiza yake ya uongo _ Mathayo 24:5_
*KUWEPO KWA VITA NA MATETESI YA VITA NA MCHAFUKO WA AMANI:* Tumezisikia zote vita mbalimbali toka vita ya kwanza ya dunia, na itakuja kuzuka vita ya tatu ya dunia itaangamiza wengi ila Yesu amesema MSITISHWE ULE MWISHO BADO (Nitaelezea hapo mbele kwanini akasema hata vita zikitokea mwisho bado) _ Mathayo 24:6,7_
*MATETEMEKO YA ARDHI NA JUA KUTIWA GIZA (YAANI KUPATWA KWA JUA NA MWEZI__ Lunar & Solar Eclipse):* Ndio hii ni dalili mojawapo ya mwisho wa Dunia, tumeshuhudia matetemeko na matukio ya kupatwa kwa jua hili limetabiriwa pia kama dalili ya kuwa-alert watu kuwa kuja kwa Yesu kumekaribia _ Marko 13:8, Mhubiri 12:1,2_
*MANABII WA UONGO:* Sio tu hao bali hata mitume wa Uongo na waalimu wa uongo watawadanganya wengi sana YAMKINI HATA WALIO WATEULE, watawavuta watu kwa miujiza yao hata kuwageuza imani wasimtumikie Yesu wa kweli omba usiwe miongoni mwa wataodanganywa linda sana IMANI na MOYO wako. _Mathayo 24:12, Ufunuo 2:2_
*UNYAKUO:* Kwa kiingereza wanaiita RAPTURE, maandiko yanasema kuwa itafikia wakati watu wataanza kupotea kwasababu watachukuliwa na Mungu kwenda mbinguni kuepushwa na dhiki za dunia hii. Kama Eliya na Henoko walivyonyakuliwa itatokea hivyo kwa watu wa Mungu hivi punde. Watakaa watu wawili mmoja atatwaliwa na mmoja ataachwa. Omba usiachwe mpendwa. _Mathayo 24:40,41_
*KUHUBIRIWA INJILI YA KRISTO KWA ULIMWENGU WOTE:* Niwadokezee siri hapa, mpaka leo Yesu hajarudi SABABU kubwa ni kwakuwa _bado injili haijahubiriwa kwa mataifa yote_ Injili ikishafikia kila kiumbe ndipo na yeye atakapokuja. Hataki ukose mbingu kwa kisingizio kuwa hukuisikia Injili. Hivyo usishangae ukiona kasi ya Injili kusambaa ni kubwa ni kwasababu Yesu anataka kurudi. Na jinsi tunavoongeza spidi ya kusambaza Injili ndivyo tunavyoongeza spidi ya Yesu kurudi tena! _Mathayo 24: 14_
*KUJA KWA MPINGA KRISTO AMBAYE NI MTAWALA MKUBWA WA MWISHO DUNIANI ATAKAYEANGUSHWA NA YESU KRISTO ALIYE HAI:*
Kuhusu habari ya Mpinga Kristo ni pana ambayo nimeiandalia makala yake. Tuendelee kuwa pamoja. Nitawaletea hapa hapa.
*USICHOKE TWENDE PAMOJA, KWA MASWALI, MAONI NA USHAURI AU NYONGEZA KARIBU*
Mbarikiwe mno
*_ HUMPHREY MREMA_*
Tunaenda kutazama *``` DALILI ZA SIKU ZA MWISHO```* na kuhusu *``` MPINGA KRISTO NA KAZI ZAKE```*
Tuanze na kuhusu *DALILI ZA SIKU ZA MWISHO*
Zipo dalili nyingi sana zilizotabiriwa kwenye Biblia kuhusu siku za mwisho nazo ni hizi kulingana na zilivyoainishwa katika Biblia
Utapitia kwa karibu ukipata muda kitabu cha Mathayo 24, Marko 13, Daniel 12:1-5, 2 Timotheo 3:1-8
Tuziangalie kwa uchache dalili zenyewe
*KUWEPO KWA MAKRISTO WA UONGO:* Naamini wote tumewasikia watu wakijiita Yesu na hata kutenda miujiza na kudanganya wengi wametokea baadhi kule Brazil na Russia tena huyu wa Russia ameoa na ana watoto na bado anajiita Yesu na kujipatia wafuasi wengi kwa miujiza yake ya uongo _ Mathayo 24:5_
*KUWEPO KWA VITA NA MATETESI YA VITA NA MCHAFUKO WA AMANI:* Tumezisikia zote vita mbalimbali toka vita ya kwanza ya dunia, na itakuja kuzuka vita ya tatu ya dunia itaangamiza wengi ila Yesu amesema MSITISHWE ULE MWISHO BADO (Nitaelezea hapo mbele kwanini akasema hata vita zikitokea mwisho bado) _ Mathayo 24:6,7_
*MATETEMEKO YA ARDHI NA JUA KUTIWA GIZA (YAANI KUPATWA KWA JUA NA MWEZI__ Lunar & Solar Eclipse):* Ndio hii ni dalili mojawapo ya mwisho wa Dunia, tumeshuhudia matetemeko na matukio ya kupatwa kwa jua hili limetabiriwa pia kama dalili ya kuwa-alert watu kuwa kuja kwa Yesu kumekaribia _ Marko 13:8, Mhubiri 12:1,2_
*MANABII WA UONGO:* Sio tu hao bali hata mitume wa Uongo na waalimu wa uongo watawadanganya wengi sana YAMKINI HATA WALIO WATEULE, watawavuta watu kwa miujiza yao hata kuwageuza imani wasimtumikie Yesu wa kweli omba usiwe miongoni mwa wataodanganywa linda sana IMANI na MOYO wako. _Mathayo 24:12, Ufunuo 2:2_
*UNYAKUO:* Kwa kiingereza wanaiita RAPTURE, maandiko yanasema kuwa itafikia wakati watu wataanza kupotea kwasababu watachukuliwa na Mungu kwenda mbinguni kuepushwa na dhiki za dunia hii. Kama Eliya na Henoko walivyonyakuliwa itatokea hivyo kwa watu wa Mungu hivi punde. Watakaa watu wawili mmoja atatwaliwa na mmoja ataachwa. Omba usiachwe mpendwa. _Mathayo 24:40,41_
*KUHUBIRIWA INJILI YA KRISTO KWA ULIMWENGU WOTE:* Niwadokezee siri hapa, mpaka leo Yesu hajarudi SABABU kubwa ni kwakuwa _bado injili haijahubiriwa kwa mataifa yote_ Injili ikishafikia kila kiumbe ndipo na yeye atakapokuja. Hataki ukose mbingu kwa kisingizio kuwa hukuisikia Injili. Hivyo usishangae ukiona kasi ya Injili kusambaa ni kubwa ni kwasababu Yesu anataka kurudi. Na jinsi tunavoongeza spidi ya kusambaza Injili ndivyo tunavyoongeza spidi ya Yesu kurudi tena! _Mathayo 24: 14_
*KUJA KWA MPINGA KRISTO AMBAYE NI MTAWALA MKUBWA WA MWISHO DUNIANI ATAKAYEANGUSHWA NA YESU KRISTO ALIYE HAI:*
Kuhusu habari ya Mpinga Kristo ni pana ambayo nimeiandalia makala yake. Tuendelee kuwa pamoja. Nitawaletea hapa hapa.
*USICHOKE TWENDE PAMOJA, KWA MASWALI, MAONI NA USHAURI AU NYONGEZA KARIBU*
Mbarikiwe mno
*_ HUMPHREY MREMA_*
Jumanne, 11 Septemba 2018
KITABU: HUDUMA, KARAMA NA VIPAWA
ROHO
MTAKATIFU KATIKA MAOMBI:
Huduma,
Karama na Vipawa
.Na
Shemasi Ismael Salehe
ROHO
MTAKATIFU NA MAOMBI
Mwandishi:
Shemasi
Ismael Salehe


Mawasiliano: simu. +255782317895
+255754480661
+255752513159+255654012268
NB: Hizi ni sura
Nne tu; sura ya Tisa hadi ya Kumi na mbili wasiliana nasi kwaajili ya kupata
kitabu kizima namba hizo hapo juu.
Ili kupata
kitabu hicho itahitaji uchangie kidogo ili kuwezesha kazi hii.
MUNGU
AKUBARIKI!!
ROHO
MTAKATIFU NA MAOMBI
Hatimiliki
Kitabu
hiki ni mali halali ya Shemasi Ismael Salehe. Huruhusiwi kutoa nakala, hadi
upate idhini kutoka kwa wachapishaji au kwa mwandishi wa Kitabu hiki.
©2016
Shemasi Ismael Salehe
SHUKRANI
Namshukuru
Mungu kwa nguvu ya Roho Mtakatifu kwa kuniwezesha kufanya kazi hii. Pia
nawashukuru wote waliohusika katika kufanikisha uandaaji na uchapishaji wa
kitabu hiki. Kwa kipekee napenda niwashukuru hawa wafuatao:
Familia yangu:
wamekuwa wavumilivu wakati wa mahangaiko ya kuandaa kitabu hiki, pia kwa
ushauri waona maombi.
Mtheologia Johnson P. Pokeaeli: kwa
ukaribu wake kwangu, ushauri, muda na marekebisho ya kazi hii. Pia
amehusikakatika uchangiaji wa mawazo ya kuhakikisha kazi hii inafanikiwa. Ndiye
aliyetengeneza kava la mbele na la nyuma la kitabu hiki.
Mtheologia Yohana E. Kakoa, kwa
kushirikiana na Mtheologia Johnson katika marekebisho ya Kazi hii.
Mtheologia Mary Charamila, Kwa
mchango wake wa mawazo na maombi. Amekuwa mshauri wa karibu kufanikisha kazi
hii.
Jestina Mhando,kwa
ushauri, mapendekezo, maombi na kutia moyo mpaka kukamilika kwa kazi hii.
Profesa Bagandashwa,kwa
kuchangia, kushauri na kutoa marekebisho ya pendekezo la kitabu hiki. Na
kipekee kwa msaada wake wa kifedha kwaajili ya kuchapishwa kwa kitabu hiki.
Daktari, Idahya, kwa
kuchangia kushauri na kutoa marekebisho kwenye pendekezo la kitabu hiki.
Amekuwa mtu wa karibu sana na mwenye utayari wa kunitia moyo wakati wowote na
kunisaidia kimawazo pale nilipohitaji.
Daktari, M.Mbilu, Kwa
kukubali kupitia na kkutoa marekebisho kwenye mapendekezo ya awali ya Kitabu
hiki.
Daktari, E. Ngugi, Kwa
kukubali kupitia na ndiye aliyeandika utangulizi wa kitabu hiki
Mch. Alice Kopwe, kwa
mwaliko wake katika mkutano wa Paska wa wanafunzi wa Sekondari na vyuo,
uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu Korogwe. Kwa mwaliko huo
nilifanikiwa kuandaa somo hili.
Watheologia wenzangu katika
chuo cha SEKOMU. Kwa kunitia moyo na kuchangia baadhi ya
marekebisho katika kitabu hiki.
Mungu
awabariki wote wallioshiriki katika maandalizi na uchapishaji wa Kitabu hiki.
MATAZAMIO YA MWANDISHI WA
ANDIKO HILI KWA MSOMAJI
Naamini
andiko hili litakuwa jibu katika maswali ya watu wengi wanao jiuliza kuhusu
maombi. Wakristo wengi wameshindwa kujua ni kwa nini hawapati majibu ya maombi
yao. Wamefikia hatua ya kukata tamaa na kurudi nyuma katika Imani zao. Wanaomba
lakini hawajibiwi. Wengine wanajiuliza ni kwa nini katika maombi wengine wananena
kwa Lugha (Kuomba katika Roho Mtakatifu) lakini wao hawawezi? Pia kuna maswali
mengi kuhusu hatua za kufuata mtu awapo katika maombi? au Ni faida gani mtu
anayopata anapoomba katika Roho Mtakatifu? au Je! kuna kanuni za kuomba katika
Roho Mtakatifu? au Ni jinsi gani mtu anaweza kujazwa Roho Mtakatifu? Je ni
lazima kila Mkristo awe na ujazo wa Roho Mtakatifu? Na kuna hasara gani za
Mkristo asipokuwa na Roho Mtakatifu? Na
jambo kubwa lililopo katika dunia ya sasa ni Mkristo kukubalika kwa muda
mchache na badae kutokukubalika. Linalopelekea watu wengi kuwa na maswali mengi
kuhusiana na kukubalika au kutokukubalika (Kuwa na kibali) mbele za wanadamu na
mbele za Mungu. Kuna wanao jiuliza; Ni kwanini Mtu (mfanyakazi, au Mtumishi
nk.) anakuwa na kibali kwa muda mfupi tu na baadae kimepotea, mfano anakuwa na
mali badae zinaisha au anakuwa na anakuwa na wafuasi, marafiki wengi lakini
baada ya muda wanamwacha. Yote haya na mengine mengi tutayapata katika
mafundisho haya.
MUNGU AKUBARIKI. AMEN.
YALIYOMO
SURA YA
TISA
UMOJA WA KANISA
Waswahili wanasema “Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu” umoja ni mshikamano,
makubaliano na mapatano ya kundi la watu. Ni mshikamano wa watu wenye nia na
kusudi moja. Ni kufanya kwa pamoja mambo bila kutengana. “Kwa watu wengi umoja
wa Kanisa ni maamuzi ya wakristo kuujenga mwili wa Kristo kwa vipawa
mbalimbali. Hata hivyo tafsiri hii ya umoja wa kanisa, imekuwa ikikosewa na
watu wengine, kwamba haijumuishi uhusiano wa kanisa na Mungu kinagaubaga. Kwa watu kama hawa umoja wa kanisa pia
unajumuisha wakristo na kanisa kwa upande wa Mungu na pamoja na Mungu katika matendo na
dhamira.”(Bagandashwa, 2016)
Mwito wa Mungu
Hili neno mwito linatumika kwa maana ya
kupokea wajibu wa kumtumikia Mungu. Katika wajibu wa kumtumikia Mungu
tunalazimika kuwa na mienendo na tabia zinazompendeza Mungu kama Neno la Mungu
linanyosisitiza kwamba, “mwenende kama ulivyo wajibu wenu kwa Bwana,
mkimpendeza kabisa, mkizaa matunda kwa kila kazi njema, na kuzidi katika
maarifa ya Mungu, mkiwezeshwa kwa uwezo wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu
wake, mpate kuwa na saburi ya kila namna na uvumilivu pamoja na furaha.” (Kol
1:10_11) Tunahitajika kuzaa matunda ya imani yetu. Tukizaa matunda tutapata
maarifa kutoka kwa Mungu. Mwito wa Mungu unafuatana na uwezo na mamlaka ya
Mungu tukiwa na uvumilivu na kusubiri ahadi za Mungu. Tunapata furaha ya kudumu
wakati tunapomtumikia Mungu. Hebu tuone andiko hili la Biblia linavyosema
kwamba,“Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, awape ninyi roho ya
hekima naya ufunuo katika kumjua yeye.Macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, mjue
tumaini la mwito wake jinsi lilvyo na utajiriwa utukufu wa wa urithi wake katika
watakatifu jinsi ulivyo. Na ubora wa uweza wakendani yetu tuaminio jinsi
ulivyo, kwa kadiri ya utendaji wa nguvu za uweza wake.” (Efe 1:17_19)
Katika kumfuata na kumtumikia Mungu hakuna
kunia makuu, kufuata Mungu kunaambatana na kuwa na kiasi. Mungu kama apendavyo
amemgawia kila mtu kiasi cha imani “Kwa
hiyo nawasihi, mimi niliyemfungwa katika Bwana, mwenende kama ilivyoustahili
wito wenu mlioitiwa, kwa unyenyekevu na upole na uvumilivu, mkichukuliana na
katika upendo ‘(Efe 4:1-2)
Wito wa kweli unatokana na Mungu Baba wa
utukufu. Aliyeitwa na Mungu amepewa roho ya hekima. Mungu huwapa watumishi wake
roho ya Ufunuo ili waweze kumjua Mungu wa kweli. Ili tufahamu kwa wazi tumaini
letu lazima macho yetu ya ndani yatiwe nuru. Katika kumtumikia Mungu, tunapata
utajiri wa urithi wake. Utendaji wa nguvu za uwezo wake unadhihirisha mamlaka
tunayopata katika wito wa kumtumikia Mungu wetu. Wote wanaomtumikia ni mwili
mmoja katika Roho mmoja. Walioitwa na Mungu wanasaidiana na kusameheana 1The
2:12.
Mtume Paulo anasema, “Maana ufalme wa Mungu
si kula wala kunywa bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu kwa
kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena
hukubaliwa na wanadamu.” (Rum 14:17_18)
Ufalme wa Mungu ni haki amani na furaha
katika Roho Mtakatifu. Katika ushirika wa Roho Mtakatifu ni muhimu kujengana,
Watu wa Mungu ni hekalu la Mungu wakishirikiana ni ushirika wa watakatifu. Roho
Mtakatifu anakaa ndani ya hekalu ambalo ndiyo sisi. Tuthibishe katika Neno
lisemalo, “Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu, na ya kuwa Roho wa
Mungu anakaa ndani yenu? Kama mtu akiharibu hekalu la Mungu, Mungu atmharibu
mtu huyo.Kwa maana hekalu la Mungu ni takaatifu, ambalo ndilo ninyi.” (1kor
3:16_17) Tunapokea nguvu, uwezo na mamlaka ya Mungu katika kushirikiana
kumtumikia Mungu. Yesu amejitoa nafsi hata kufa ili atukomboe kutoka kwenye
mauti. Baada ya kukombolewa tumeingizwa kwenye milki na utawala wa Mungu. Hayo
yote ni kwa ajili ya upendo wa Mungu, yatathibitika tukiwa na juhudi katika
kutenda mema. Tunatimiza wajibu wetu wa kumtumikia Mungu duniani na baadaye
tupate kuurithi uzima wa milele.“Bali
ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme taifa takatifu, watu wa milki ya
Mungu, mpate kutangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie
katika nuru yake ya ajabu”(1Pet 2:9).“Ambaye
alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na
kujisafishia watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo
mema.” (Tit 2:14)Tumeitwa na Mungu ili atufanye kuwa mzao mteule. Ukuhani
wa kifalme. Taifa takatifu watu wa milki ya Mungu. Tumeitwa tutoke na tutoe
wengine gizani tuingie katika nuru ya kweli yake Yesu Kristo“Ili mwenende kama
ilivyo wajibu wenu kwa Mungu, mweenye kuwaita ninyi ili mwingie katika ufalme
wake na utukufu wake.” (1 The 2:12)
Viungo vya mwili wa Kristo.
“Kwa kuwa kama katika mwili mmoja tuna
viungo vingi, wala viungo vyote havitendi kazi moja. Vivyo hivyo sisi tulio
wengi tu mwili mmoja katika kristo, na viungo kila mmoja kwa mwenzake”(Rum 12: 4 _ 5)
Kutokana na utendaji wa Mungu kama viungo.
Kila mmoja ni tofauti na mwingine. Kwa kutumia vipawa vyetu mbalimbali roho
Mtakatifu huzitenda kazi hizo zote. Roho humgawia kila mmoja kipawa chake kama
apendavyo. Kiungo kimoja kikiumia iwe ni vyote vimeumia. Ndugu yetu wa rohoni
akipatwa na shida iwe ni shida yetu sisi sote. Kiungo kimoja kikitukuzwa viungo
vingine viungane kwa pamoja kufurahi. Siyo Mungu anapomuinua mwenzetu katika
huduma sisi tunachukia. Tufurahi pamoja naye tukimuombea, tukimtia moyo ili
Mungu atuinue na sisi tuliobakia. Bila kutengana tunahitaji kuishindania injili
kwa pamoja. Tupeane misaada tuhakikishe hakuna mwenzetu anayerudi nyuma au
kuanguka dhambini, kwa maana, sisi ni watu washirika lake Yesu Kristo.
Tunamfuata Mungu kwa maana sisi ni watoto wake wapendwa. Tukishirikiana sisi
watoto wake wapendwa. Tukishirikiana na Yesu anatupenda na kututhamini. Mungu
ametutoa dhambini kwa kukubali kumwaga damu yake iwe fidia ya watu wengi ili
waokolewe. Yesu anavyotupenda ni wajibu wetu sisi tulio viungo vya Kristo
kupendana. Sisi ni viungo tukipendana tutalijenga kanisa imara la Kristo
Umoja wa roho
“Basi
pana tofauti za kutenda kazi bali Mungu ni yeye yule azitendaye kazi zote
katika wote. Lakini kila mmoja hupewa Ufunuo wa Roho katika kufaidiana Lakini
kazi hizi zote huzzitenda Roho huyo mmoja, yeye Yule, akimgawia kila mtu peke
yake kama apendavyo yeye. Na kiungo kimoja kikiumiaviungo vyote huumia nacho,
na kiungo kimoja kikitukuzwa, viungo vyote hufurahi pamoja nacho.” (1Kor
12:6-7, 11, 26)
Tunatofautiana katika kuitenda kazi ya
Mungu vipawa na uwezo wa kila mmoja ni kiungo katika utendaji wa Ki-Mungu.
Tukimtumikia Mungu tunaunganishwa na Roho Mtakatifu azitendaye kazi hizo zote
tukiunganishwa kuwa kitu kimoja. Tunapewa kila mmoja vipawa kama Roho Mtakatifu
apendavyo. Katika kuunganika kwa vipawa hakuna upungufu katika mwili wa Kristo.
Tunahitajika kusimama pamoja katika kumtumikia Mungu. Tunatakiwa kuwa na roho
moja ili kusababishe mafanikio makubwa katika kushindania Injili. Kuwa na moyo
mmoja bila matengano ni mafanikio makubwa katika ulimwengu wa Roho. Mtume Paulo
anaeleza muhtasari umoja wa roho unavyopaswa uwe. Jambo kubwa ni unyenyekevu,
uvumilivu kuchukuliana katika upendo na kuuhifadhi umoja wa Roha katika kifungo
cha imani.
Mambo yafuatayo yanaimarisha umoja wa Roho
·
Bwana mmoja ambaye ni Yesu Kristo.
·
Imani moja.
·
Ubatizo mmoja.
·
Mungu mmoja, muumbaji wa vitu vyote.
·
Kiongozi mmoja.
Hatutahangaika na kitu chochote ikiwa
hatutalaumiana wala kulalamikiana. Tukishikana kwa umoja tutaimarishana pia
hatutampa Ibilisi nafasi ya utawala kwamaana sisi sote ni viungo kwa vipawa
katika mwili wa kristo.
SURA YA
KUMI
HUDUMA
TANO ZA ROHO MTAKATIFU
Mtu
yeyote anapomkubali Yesu awe Bwana na Mwokozi wake amepewa mojawapo.
“Naye
alitoa wengine kuwa mitume na wengine kuwa manabii, na wengine kuwa
wainjilisti, na wengine kuwa wachungaji na walimu” (Efe 4:11).“Lakini tuna
hazina hii katika vyombo vya udongo ili adhama kuu ya uwezo iwe ya Mungu, wala
si kutoka kwetu. Pande zote twadhikika bali hatusongwi twaona shaka, bali
hatukatitamaa. Twaudhiwa bali hatuachwi, twatupwa chini, bali hatuangamizwi.
Siku zote twachukua katika mwili kuuawa kwake Yesu, ili uzima wa Yesu nao,
udhihirishwe katika Miili yetu.” (2kor.4:7-10). Huduma
hizi zote Mungu kawapa wanadamu wadhaifu. Ila ameweka hazina kubwa kwa nguvu za
Roho Mtakatifu. Zipo changamoto nyingi zinazo kabilli huduma hizi lakini Roho
Mtakatifu anatutia nguvu. Nguvu inayopatikana katika huduma ni ya Mungu
mwenyewe kwa njia ya Roho Mtakatifu. Pia tutambue hakuna huduma isiyo na
makwazo na majaribu bali Roho Mtakatikfu anayaondoa ili watu waamini kuwa Mungu
yupo. Neno la Mungu linatia nguvu kwamba, “kwahiyo
hatulegei, bali japokuwa utu wetu wa Nje unachakaa,lakini utu wetu wa ndani
unafanywa upya siku kwa siku. Maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya muda kitambo
tu, yatufanyia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana.” (2kor.4:16-17).
Mungu anapotupatia huduma mojawapo kati ya hizo tano ni kwa neema sio kwa nguvu
au akili zetu. Kazi ya Mungu tusiifanye kwa ulegevu na woga. Udhaifu wetu wa
kibinadamu usitutishe, huu unachakaa na kuharibika, bali tuangalie mambo ya
Rohoni ili utu wetu wa ndani ufanywe upya. Tuzihesabu dhiki kwamba sio nzito na
hazidumu. Tunapo wahuduumia watu wa Mungu tunangalie utukufu wa Mungu uonekane,
maana yake katika kila tendo la huduma Mungu apewe utukufu. Tunapotumika kwa
uaminifu utukufu wa Mungu unatuzunguka pamoja na wale tunao wahudumia. Zipo
huduma tano ambazo nitazielezea moja moja kama Roho Mtakatifu atakavyo nijalia,
ambazo ni Utume, Unabii, Uinjilisti, Uchungaji na Ualimu.
Utume
Huduma
hii ilikuwa ikiendelea katika historia ya kanisa. Kwa wakati huu huduma hii
inafuatana na ile ya mitume wa kwanza. Huduma hii ni ya kipekee kwasababu
inasimamisha msingi wa mafundisho. Mitume wanaanzisha huduma ya Neno la Mungu
kwa watu ni waenezaji wa hekima ya Mungu. Mitume wanamsukumo wa kipekee wa
kuweka msingi thabiti wa Neno la Mungu .Ni watumishi wenye maono kwa ajili ya
kanisa kwa ujumla. Mitume lazima wawe na Roho Mtakatifu maana kuna magumu
watakayo kumbana nayo katika huduma yao. Mitume hufanya kazi pamoja na hizi
huduma nne zilizobakia. Wao ni wa kiutawala na kiushirika.
Unabii
Manabii
wa Agano la kale walikuwa na kazi ya kutoa unabii pamoja na kutangaza.
Wanapokea unabii kutoka kwa Mungu kuwatangazia wahusika. Nabii hunena akili na
mapenzi ya Mungu kwa ujumbe wa kutabiri, kuongoza hata wakati mwingine
kulisahihisha kanisa. Manabii wawe wakomavu na thabiti katika Neno la Mungu na
aghalabu ni wenye tabia njema. Manabii ni waonaji, watabiri na wanenaji wa
mambo ya Mungu kwa Ufunuo wa maono. Huduma hii ni ya kipekee sana, Mungu ndiye
aliyewapatia. Unabii unatokana na matakwa ya Mungu, wasikilizaji wanaupima kwa
kupitia Neno la Mungu. Mwenye huduma hii anaweza kuonyeshwa mambo mbalimbali
kwa picha au kwa sauti. Wakati mwingine watu wakiwa wanaomba kwa ujumla
unabii unaweza kutokea. Katika kundi la
watu wa Mungu, wapo manabii ambao wana
maono kuhusiana na kundi lakini pia kwa kazi ya Mungu.
Uinjilisti
“Kwa
kadili ilivyozoeleka Mwinjilisti ni Mtumishi ndani ya kanisa ambaye hubeba
dhamana katika kumsaidia Mchungaji wa Usharika.hata hivyo uzoefu unaonyesha
kwamba wapo watu wengine ambao kwa kujitolea kwa wito tu pia hufanya kazi ya
kuwaongoza washarika na wakristo kumwelekea Mungu. Kwa kufanya hivyo watu hawa
huwasaidia wachungaji na watumishi wengine wa kanisa katika kuwaleta kwa Mungu
wao. Kuwapo kwa watu wa aina hii kunaifanya dhana ya Mwinjilisti kuwa pana
zaidi. Ili kuwajumuisha wao na huduma zao” (Bagandashwa, 2016). Kwa maana
hiyo
Mwinjilisti
huduma yake ni kuhubiri injili au habari njema za Yesu Kristo. Anabeba ujumbe
wa Injili kwa ajili ya watu. Mwinjilisti ana mzigo maalumu kwa watu waliopotea.
Mwinjilisti akiwa amebeba mzigo huo hamfichi mtu anamuambia moja kwa moja juu ya
uovu wake. Licha ya watu kuokolewa huduma yao yaweza kuambatana na ishara,
miujiza na maajabu ili kuthibitisha Neno la Mungu. Wanjilisti wanapaswa kuwa
washarika waaminifu kwa kanisa. Kituo cha wanjilisti ni kwa watu waliopotea,
ili watubu waende mbinguni. Kwa ajili ya mzigo kwa waliopotea hatulii hadi watu
wametubu na kumpa Yesu maisha. Wanao wajibu mkubwa wa kuwaeleza wengine kuwa na
mzigo kwa watu waliopotea na kuwaandaa kwa Uinjilisti. Wainjilisti wanamsukumo
wa kuwaelekeza watu wengine kuhusu makosa yao bila kuwaficha, kwa msaada wa
Roho Mtakatifu. Mwinjilisti anakemea, anabomoa dhambi na ngome za shetani.
Anajenga watu kiroho ili wamfahamu Kristo. Mwinjilisti mwenye huduma hii anatoa
mahubiri yenye moto wa Roho Mtakatifu, na watu wanachomwa mioyo na kuamua
kutubu mbele za Mungu.
Uchungaji
Mchungaji
ni cheo cha Mchunga kondoo. Mchungaji ameitwa ili alishe na kutunza kundi la
watu wa Mungu. Mchungaji anahitaji eneo pana la kutolea huduma. Mchungaji ana
uwezo wa kulisha kundi la Mungu kwa Neno la Mungu. “Mchungaji ni mtu aliye
andaliwa maalum kwa kazi hiyo, akawekwa wakfu na akaajikriwa kuitenda kazi
hiyo” (Bagandashwa 2016).
Mtu
mwenye huduma hii ana msukumo toka ndani wa kushauri, kupatanisha,kukusanya na
kulinda kundi lililopo lisitawanyike. Anafahamu kuwa kundi likitawanyika
ataulizwa. Lazima kubeba gharama zinazojitokeza kwa ajili ya kundi la watu wa
Mungu. Mchungaji ni mtu ambaye hatakiwi kuwa na lawana. Ifahamike kuwa wapo
wachungaji wengine wanaoisaidia, na wengine wanaendelea kuitwa na Mungu. Wenye
huduma hii wawe wamekomaa katika Neno la Mungu kwa njia ya maombi.
“Mtu naatuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa
Kristo na mawakilli wa siri za Mungu. Hapo tena inayohitajiwa katika mawakili,
ndiyo mtu aonekane kuwa mwaminifu.” (1kor 4:1-2) wenye huduma hii wanatunza
siri za Mungu. Uaminifu unatakiwa uwe
sehemu ya maisha yao. Na watu watambue kabisa kwamba huyu ni mtunzaji wa
siri za Mungu na za watu wa Mungu. Ni jambo muhimu sana kwa mtumishi mwenye
huduma hii kuwa mwaminifu kwa Mungu na kundi analolichunga. Tuyaone maandiko
haya yanavyosema kwamba; “Kwasababu hiyo,
kwakuwa tunahuduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei. Lakini
tumekataa mambo ya aibu yaliyositirika wala hatuenendi kwa hila, wala
kulichanganya Neno la Mungu na uongo, bali kwa kuidhihiriisiha iliiyo
kweli twajionyesha kuwa na haki, dhamiri
za watu zikitushuhudia mbele za Mungu”(2kor.4:1-2). Lazima kuwa na uhakika
kwamba Mungu katika Roho Mtakatifu ndiye aliyewaweka Wachungaji katika huduma.
Kwa huruma na rehema Mungu anapenda kuwatumia, wanapaswa wasiwe walegevu katika
kutimiza wajibu wao mbele za Mungu. Ni muhimu kukataa mambo ya aibu kwasababu
yatalifanya Jina la Mungu litukanwe. Uongo unaoletwa na tamaa katika kundi hili
usiwepo ili kuepuka kulichanganya Neno la Mungu na uongo. Kuwa wenye haki kwa
wanao wachunga na mbele za Mungu. Kutenda haki sio jambo la hiyari bali ni
lazima. Dhamiri au nafsi za watu zikifanyiwa haki au udhalimu zinashtaki na
kushuhudia mbele za Mungu. Ni kundi linalotakiwa lifanye kazi ya Mungu kwa
umakini mkubwa.
Yesu
alimwuliza Petro mara tatu Je Simoni wa Yohana wanipenda kuliko hawa? Akajibu
wewe wajua kwamba nakupenda. Yesu akamwambia Petro chunga kondoo zangu. Wajibu
wa huduma ya Kichungaji ni kulisha kundi kwa Neno la Mungu ili liimarike,
liongezeke na kustawi. Kuchunga ni kuhakikisha kundi halisambaratiki na
halipotei bali linaendelea kuwepo.
Hebu
tuone kidogo ushauri wa Mtume Paulo kwa Timotheo akisema, “Uwakumbushe mambo hayo ukiwaonya machoni pa Mungu, wasiwe na
mashindano ya maneno ambayo hayana faida, bali kuwaharibu wasikiao. Jitahidi
kujionyesha kuwa umekubaliawa na Mungu, mtenda kazi asiye na sababu ya
kutahayari ukitumia kwa halali Neno la kweli. Jiepushe na maneno ya siyo na
maana, ambayo siyo ya dini, kwakuwa wataendelea zaidi katika maovu.”(2Tim.
2:14-16) Mchungaji akiongozwa na Roho Mtakatifu ataonya na kuwakumbusha
watu wadumu katika kumtegemea na kumtumaini Mungu. Wapo watu wanaopenda
mashindano na mabishano ambayo katika misingi ya Imani hayana faida. Mchungaji
hapaswi kuwa na tabia hiyo bali awasaidie watu hao wasiingie kwenye mshindano.
Mchungaji kwa nguvu za Roho Mtakatifu ni mtenda kazi pamoja na Mungu, hakuna
sababu ya kuona aibu. Maswali na mashindano huzaa magomvi, mwenye huduma ya
kichungaji asiwe mgomvi, bali awe mwanana kwa watu wote. Awezaye kulichukulia
kundi katika mafundisho. Ufuatao ni ushauri wa mtume Paulo kwa watu wenye
huduma hii, “Lihubiri Neno, uwe tayari,
wakati ukufaao na wakati usio kufaa, karipia,kemea na kuonya kwa uvumilivu wote
na mafundisho. Bali wewe uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya
kazi ya Injili, timiza huduma yako.”(2Tim.4:2,5). Kuna wakati mgumu Roho
Mtakatifu anahimiza kuhubiri na kufundisha Neno la Mungu, hakuna udhuru ni
kwenda kama Roho Mtakatifu anavyosukuma. Ili mradi Roho Mtakatifu amemsukuma
Mchungaji kukaripia, kukemea na kuonya hata wakatae unabaki kuwa ujumbe wa
Mungu. Mchungaji awe na kiasi anayejua kuvumilia mabaya hata kama ameumizwa.
Mchungaji analo sharti la kufanya kazi ya mhubiri wa Injili mpaka kufa.
Ualimu
Huduma
ya mwalimu wa Neno la Mungu ni muhimu kwa ajili ya afya na ustawi wa kundi .
Kanisa lisilo na walimu haliwezi kuimarika wala kukua. Mafundisho ni muhimu
maana tunazama ndani kabisa katika Neno la Mungu. Mwalimu anastawisha kweli
zenye thamani ndani ya maandiko matakatifu. Anahangaika bila kutulia kutafuta
chakula cha kundi liimarike. Mwalimu anapata Ufunuo wa rohoni kwa ajili ya
kufahamu mahitaji ya kundi analolihudumia. Baada ya mwinjilisti kufyeka msitu
na kuwaleta watu kwa kristo walimu wanawafundisha na kuwajenga. Mtu aliyekosa
huduma ya mwalimu kwa kufundishwa ni wepesi wa kuanguka maana katika wokovu
hana mizizi ya kutosha. Katika udongo mzuri anapanda na kunyweshea maji ya
kukuza mbegu. maji yakuzayo ambayo ni Neno la Mungu.
Kwahiyo, Huduma hizi zote tano zinajenga mwili
wa Kristo. Watu waliojaliwa kuwa nazo ni viungo katika mwili wa kristo. Sisi
tulio viungo vya kristo tunapaswa kuhudumiana kwa huduma hizo tano kila mmoja
kwa mwenzake.
SURA YA
KUMI NA MOJA
KARAMA
TISA ZA ROHO MTAKATIFU
Tukitaja
karama tunamaanisha kuwa ni kipawa ambacho Roho Mtakatifu anagawa kama
apendavyo ili utendaji wa kiroho katika mwili wa Kristo ufanyike, Kama Neno la
Mungu linavyosema“Maana mtu mmoja kwa
Roho apewa Neno la hekima na mwengine Neno la Maarifa, apendavyo Roho yeye
Yule. Mwingine imani katika Roho yeye Yule, na mwingine karama za kuponya
katika Roho Yule mmoja na mwingine matendo ya miujiza, na mwingine Unabii, na
mwingine kupambanua Roho, mwingine aina za Lugha na mwingine tafsiri za Lugha.”
(1Kor 12:8-10)
Kila
mmoja anapewa karama kama Roho Mtakatifu apendavyo. Karama ambazo nimefunuliwa
ili tujifunze huzitenda huyo Roho Mtakatifu mmoja peke yake.karama hizo ni hizi
zifuatazo
Neno la
hekima
Karama
hii inahusika katika kuhuisha, kuweka nuru au kugusisha Ufunuo wa Ki-Mungu
ndani ya maisha yetu. Ni mguso maalum ambao Roho Mtakatifu ameutoa. Katika
karama hii Roho Mtakatifu hutoa maono ya ndani na ufahamu wa jinsi ya kuendelea
katika hali fulani.Wakati watu wanahitaji kutenda jambo katika kumtumikia Mungu
wapo watu wanaoshauri ili kundi hilo lisije likaingia kwenye shida. Yesu katika
huduma yake alikuwa na karama hii. Kama tunavyosoma katika Neno la Mungu
“Basi utuambie, waonaje? Ni halali kumpa
kaisari kodi ama sivyo? Lakini Yesu akaufahamu uovu wao akasema, mbona mnanijaribu.
Naowakamletea dinari. Akawaambia ni ya nani sanamu hii, na anuani hii?
Wakamwambia ni kaisari. Akawaambia mlipeni kaisari yaliyo ya kaisari, na Mungu
yaliyo ya Mungu”
(Mt 22:17-22).
Kwa
karama ya Neno la hekima Yesu aligundua mtego wa mashtaka aliotegewa. Hekima
namna hii ni muhimu katika kanisa. Bila kuwa na watu wenye karama ya Neno la
hekima tunaweza kuteswa tukadhani tunateswa kwa ajili ya kristo kumbe tumekosa
hekima toka kwa Mungu.
Vijana
Fulani walikwenda kuhubiri mahali Injili kwa watu wasio wakristo. Walijipanga
bila kuchukua kibali serekalini. Walidhani watafanikiwa. Walisambaratishwa kwa
kupigwa kwa mawe. Walifunguliwa mashtaka wamevunja sheria ya nchi. Walifungwa
wakidhani wanateseka kwaajili ya Kristo kumbe ni ujinga wao. Wangefuata utaratibu
wa kuomba kibali cha Mkutano hayo yasinge wapata. Wahubiri tujitahidi kuwa na
hekima tusidharau taratibu. Karama hii ya Neno la hekima inafanya kazi ndani ya
watu wenye huduma ya unabii na uchungaji.
Neno la
maarifa
Watu
wenye karama hii wanapata Ufunuo wa Ki-Mungu kuhusu kiwango Fulani cha elimu ya
Mungu. Ni mambo muhimu ambayo yanaonyesha kiroho mambo yasiyoonekana kwa macho
ya wanadamu. Ni taarifa ya mambo ya kina ambayo hayawezekani kwa wanadamu.
Uthibitisho wa Neno la maarifa ni mguso wa moja kwa moja au uhuisho wa akili ya
mpokeaji kwa akili ya Mungu ajuaye yote (Yn. 4:18). Ni hali inayoonekana kiroho
lakini kimwili haiwezekani.
Katika
Ufunuo huu hali ya mtu mwenye shida inahamia kwa mtu mwenye Neno la maarifa.
Taabu na maumivu ya mtu mwenye shida yanahamia kwake. Inakuwa hivi maumivu au
matatizo hayo hayakuumizi na yanakuja ghafla. Ukiona hivyo ujue kuna mtu mwenye
hiyo hali. Ndiyo maana wakati mwingine umesikia au utasikia watumishi wakisema
kuna mwenye maumivu kichwani, mgongoni, kifuani nk. hali ile anayoitaja
anaihisi yeye. Huduma zinazoambatana na karama hii ni uinjilisti, ualimu na
utume
Imani
“Na walipokuwa wamekaa wakati mwingi bila
kula chakula, Paulo akasimama katikati yao akasema; wanaume, iliwapasa
kunisikiliza mimi na kutokung’oa nanga huko Krete na kupata madhara haya na
hasara hii. Sasa naawapeni shauri, iweni na moyo mkuu, kwamaana hapana hata
nafsi mmoja miongoni mwenu atakayepotea ila Malekebu tu. Kwa maana usiku huu wa
leo Malaika wa Mungu Yule ambaye mimi ni wake, naye ndiye nimwabuduye,
alisimama karibu nami, akaniambia usiogope, Paulo huna budi kusimama mbele ya
Kaisari; tena, tazama, Mungu amekupa watu wote wanaosafiri pamoja nawe. Basi,
Wanaume changamkeni, kwasababu namwamini Mungu, yakwamba yatakuwa vilevile kama
nilivyoambiwa.”Mdo 27:21-25
Hii ni
karama itolewayo na Roho Mtakatifu kwenda kwa muumini kwa ajili ya hali
zisizowezekana. Inatumika kwa uweza wa Mungu siyo uweza wa Kibinadamu. Imani ni
ule uhakika wa kutimiza majukumu maalimu na kupambana na hali zinazotuzidi uwezo.
Kazi ya karama ya imani ni kutuhifadhi katika hali ya hatari. Unabii unaweza
kutolewa kutokana na lile Mungu analotaka watu walifanye au wasilifanye.
Uponyaji
Karama
za uponyaji ni uwezo wa Ki-Mungu wa kuhudumia uponyaji wa Kimwili na madhaifu.
Tukisema karama za uponyaji ni wingi tukimaanisha kwamba ni uwezo wa uponyaji
wa kimwili, kiroho kiakili hata kisaikolojia. Yesu Kristo anasema,
“Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio
kwa Jina langu watatoa pepo, watasema kwa lugha mpya watashika nyoka, hata
wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa. Wataweka mikono yao juu ya
wagonjwa nao watapata afya” (Mk 16:17-18).Kwa ishara ya kuweka
mikono juu wa wagonjwa wanapokea uzima. Ni nguvu ya Mungu ndiyo inayofanya kazi
siyo ujuzi wa muombaji. Karama hii inafanya kazi pamoja na mitume wainjilisti
na walimu.
Matendo
ya miujiza
Miujiza
ni jambo la Ki-Mungu. Karama hii humhitaji Mungu atende kazi kwa kupitia watu
fulani. Ni kutenda yasiyowezekana kwa akili za wanadamu.“Basi, angalia, mkono wa Bwana u juu yako, nawe utakuwa kipofu,
usilione jua kwa muda, mara kiwi kikamuangukia na giza, akazungukazunguka na
kumtafuta mtu wakumshika mkono na kmwongoza” (Mdo 13:11)Matendo ya miujiza
yanathibitisha Neno la Mungu.
Unabii
Ni
kuruhusiwa kunena chini ya uongozi wa moja kwa moja kutoka kwa Roho Mtakatifu.
Kimsingi waliojaliwa karama hii wanatangaza kwa hali ya kuinuliwa katika Ufunuo
wa kuhuishwa na akili ya Mungu. “Mtu huyu
alikuwa na mabinti wane mabikira, waliokuwa wakitabiri,Basi tulipokuwa tukikaa
huko siku nyingi, Nabii mmoja jina lake Agabo akashuka kutoka Uyahudi.
Alipotufikia aliutwaa mshipi wa Paulo, akajifunga miguu na mikono akasema, Roho
Mtakattifu asema hivi, Ndivyo Wayahudi wa Yerusalemu watakavyo mfunga mtu
mwenye mshipi huu, nao watamtia katika mikono ya watu wa mataifa.”(Mdo.21:9-11)
Kupambanua
roho
Ni
uwezo wa Ki-Mungu wa kutambua chanzo cha kiroho. Uwezo huo unafuatana na
Nenohisia au tendo ndani ya mtu au kundi la watu au nguvu za giza. Karama hii
inathibitika kwa wote waliojazwa Roho Mtakatifu“Lakini Petro akamwambia, Fedha yako na ipotelee mbali pamoja nawe,
kwakuwa umedhania yakuwa karama ya Mungu yapatikana kwa mali. Huna fungu wala
huna sehemu katika jambo hili kwakuwa moyo wako si mnyoofu mbele za Mungu.”(Mdo
8:20-21). Zipo aina nyingi za maroho tusipokuwa na watu wenye uwezo wa
kupambanua tutashindwa na Ibilisi maana atatutegea.
Kunena
kwa lugha
Yapo
Maneno ya Mungu yanayozungumzia kuhusu kunena kwa Lugha kama ifuatavyo: “Petro alivyokuwa akisema maneno hayo Roho
Mtakatifu akawashukia wote walio lisikia lile Neno na wale waliotahiriwa, walioamini,
wakashangaa, watu wote waliokuja na Petro, kwasababu mataifa nao wamemwagiwa
kipawa cha Roho Mtakatifu. Kwa maana waliwasikia wakisema kwa lugha na
kumuadhimisha Mungu.”(Mdo 10:45-46).
Bali yeye ahutubuye asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji na kuwatia
moyo. Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake bali ahutubuye hulijenga
kanisa.”(1Kor.14:3-4)
Kunena
kwa lugha ni uwezo wa Ki-Mungu wa kuwasiliana na Mungu kwa lugha zaidi ya moja
sliyoizoea. Karama hii inaweza kugusisha lugha za wanadamu au lugha za malaika.
Karama hii hupatikana kwa waamini wote. Hii ni karama pekee inayotusaidia
katika kujijenga kiroho. Ukinena kwa lugha mpya unaongeza chaji za kiroho ndani
yako. Ni msukumo ambao unatoka ndani yetu tuliookoka ili kuteketeza na kuanguasha
ngome na utawala wa ibilisi.
Tafsiri
za lugha
Karama
hii pia ni ya Ki-Mungu. Ufunuo wake umekuja wenyewe. Inahusika katika kutafsiri
tamko linalokuja kwa lugha mpya kwa lugha inayoeleweka kwa watu waliopo. Huku
kutafsiri lugha hakuhusiani na lugha za kawaida bali huja moja kwa moja kutoka
kwa Mungu“Yamkini ziko sauti za namna
nyingi Duniani, wala hakuna moja isiyo namaana. Basi nisipoijua maana ya ile
sauti nitakuwa kama mjinga kwake yeye anenaye: naye anenaye atakuwa mjina
kwangu. Kwasababu hiyo yeye anenaye kwa Lugha na aombe apewe tafsiri. Maana
nikiomba kwa lugha, Roho yangu huomba, lakini akili zangu hazina matunda.”(1Kor
14:10-11, 13-14)Karama hii inaambatana na manabii.
Kwahiyo, Kama wewe ni kiungo katika mwili wa
kristo na unayo kiu ya kupata karama hizi basi Roho Mtakatifu
atatukirimia.Karama hizi zote nilizozifafanua zipo kwa ajili ya kujenga mwili
wa kristo
SURA YA
KUMI NA MBILI
VIPAWA
NANE VYA UTENDAJI KATIKA ROHO MTAKATIFU
Katika
utendaji wa huduma na karama nilizokwisha eleza kila mmoja amepewa vipawa
vyake. Vipawa mtu anazaliwa na kukua akiwa navyo. Tunaweza kuviita ni vipawa
vya umbaji ambavyo havijaboreshwa na Roho Mtakatifu au mafundisho. Watu wengine
hata kama hawajamfahamu Yesu Kristo, kuwa ni Bwana na mwokozi wao, wanayomambo
ambayo wanafanya. Yanatofautiana kati ya mtu na mtu. Tuvione vipawa hivyo
katika Neno la Mungu lisemalo “Basi kwa
kuwa tuna karama zilizo mbali mbali, kwa kadiri ya neema tuliyopewa; ikiwa
Unabii tutoe unabii kwa kadiri ya Imani. Ikiwa huduma yetu; mwenye kufundisha
kwake. Mwenye kuonya katika kuonya kwake; mwenye kurehemu, kwa furaha.”
(Rum.12:6-8). “Uzoefu unaonyesha
kwamba vipawa mtu anazaliwa navyo. Vinajitokeza katika kuendelea kukua.
Wakatianashangaa anafanya akiona ni kawaida, vinaitwa vipawa vya umbaji. Vipo
vipawa ambavyo tunatengenezewa kupitia mafunzo mbalimbali. Hata kwa uwezo wa
Roho Mtakatifu.” (Bagandashwa,2016)Vipawa ambavyo nitavielezea ni kuhudumu,
Kufundisha, kuonya, kukarimu, kusimamia, kurehemu na kuimba.
Kipawa
cha unabii
Kipawa
hiki kinahusika katika kunena chini ya ulaini wa Roho Mtakatifu. Ki-Msingi ni
kipawa cha utendaji chini ya utawala wa Roho Mtakatifu. Kina msukumo wa
kutangaza akili ya Mungu chini ya uvuvio wa kuhuisha. (1Kor 14:13).Kipawa hiki kazi yake kuwatia moyo waliovunjika moyo
na kukatatamaa, waliojeruhiwa na kuumizwa ili wapate nguvu tena.
Kipawa
cha kuhudumu
Kipawa
hiki kinahusu msukumo wa kutumikia ili kukidhi haja iliyopo. Kwa kawaida watu
wenye kipawa hiki ni wasaidizi wenye utayari wa kutumika na kuwajibika. Watu
wenye kipawa hiki wakifanya jambo likifanikiwa wanatosheka, wanardidhika na
kupata amani. Watu hawa wanakuwa ni wa baraka kwa uongozi kwa ajili ya kazi yao
ya kujitolea.
Kipawa
cha kufundisha
Ni
msukumo wa kutafiti na uwezo wa kuwaelezea watu wengine kweli zinazopatikana
katika Neno la Mungu. Ni watu wanaotoa mafunzo ya Neno la Mungu kwa wengine. Ni
wasaidizi katika Shule ya Jumapili, Mikutano ya nyumbani na usafi wa kanisa.
Kutokana na thamani ya kipawa hiki wanaweza kuingia katika huduma ya ualimu “Basi myahudi mmoja, jina lake Apolo, mzalia
wa Iskanderia, mtu wa Elimu, akafika Efeso; naye alikuwa hodari katika
maandiko. Mtu huyo alikuwa amefundishwa njia ya Bwana; na kwakuwa Roho yake
ilikuwa ikimwaka, alianza kunena na kufundisha kwa usahihi habari za Yesu; naye
alijua ubatizo wa Yohana tu.”(Mdo18:24-25).
Apolo alikuwa mtu aliyesoma anayehitaji kujifunza mambo mengi. Alichunguza,
alisoma, alisikiliza na kupekua Neno la Mungu akawa hodari wa maandiko. Naye
alipata nafasi ya kufundisha. Kwa
wengine kipawa hiki kinaanza na kukua polepole hadi kufikia uhodari na ufundi
wa maandiko. Biblia inasema roho yake ilimuaka, maana yake amepata msukumo usio
wa kawaida kufundisha Neno la Mungu kwa usahihi. Wenye kipawa hiki wakifunuliwa
kuwa watu hawajui, watapata msukumo wa kuwafundisha kutokana mahitaji yao.
Kufundisha huku hutokana na msukumo maalumu wa mtu binafsi.
Kipawa
cha kuonya
Kuonya
ni kusihi, kuusia,kutia nguvu,kufariji na kutuliza. Kumtia mtu moyo ni hali
inayotokana na mtu aliyekata tamaa. Mtu mwenye kipawa hiki anauwezo wa
kuwakilisha ushauri kwa kutia moyo na kutoa maonyo na maelekezo sahihi kwa watu
wengine. Mwenye kipawa hiki anaomzigo kwaajili ya kusaidia watu wengine kuonya
ni tendo la kuzaa matunda
Kipawa
cha kukarimu
Mkarimu
ni mtu mwenye kipawa cha utoaji. Anafurahia kuchangia kwa kutoa fedha au mali
kwa ajili ya kazi ya Mungu. Watu wa namna hii wanamsukumo wa kutoa mali zao
bila kujali kupungukiwa. Mkarimu siku zote hatapungukiwa bali atakuwa mtu wa
baraka nyingi kutoka kwa Mungu“Na Yusufu
aliyeitwa na Mitume Barnaba,(maana yake mwana wa faraja), Mlawi, asili yake ni
mtu wa Kipro, alikuwa na shamba, akaliuza, akaileta fedha, akaiweka miguuni mwa
mitume.”(Mdo 4:36-37)
Kipawa
cha kusimamia
Mwenye
kipawa hiki anamsukumo wa pekee wa kuongoza wengine kwa kutimiliza mapenzi ya
Mungu. Wanauwezo wa kushauri na kuongoza wengine katika kustawisha maeneo
mbalimbali ya huduma. Kipawa cha uongozi ni muhimu kwa utendaji wa kazi ya
Mungu. Tusome Neno la Mungu lisemalo “NaMungu ameweka wengine katika Kanisa, wa
kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu miujiza, kasha karama za kuponya
wagonjwa, na masaidiano na maongozi, na aina z lugha.” (1kor 12:28) Katika
mstari huu wa Biblia lengo hasa ni maneno haya “masaidiano na maongozi” ndiyo
yanayoendeana na kipawa cha kusimamia.
Ni budi
kipawa hiki kiwepo katika uongozi wa kanisa la mahali pamoja. (Dhehebu). Ni
muhimu kwa huduma ya kiuchungaji na kitume (Mdo
2:14). Wanakuwa na mzigo ili mambo yasiharibike.
Kipawa
cha kurehemu
Wenye
kipawa cha rehema huonekana kuwa na hisia kali ya huruma kwa wale wanaopata
matatizo au mateso kutokana na kuumizwa. Huruma yao huwaongoza katika matendo
ya huruma, hutia msaada na faraja kwa wahitaji .Chimbuko la rehema ni Mungu
wetu“Bwana amejaa huruma na neema. Haoni
hasira upesi ni mwingi wa fadhili.”(Zab.103:8)“Basi, iweni na huruma, kama Baba
yenu alivyo na huruma. Msihukumu nanyi hamatahukumiwa, msilaumu nanyi
hamtalaumiwa achilieni nanyi mtaachiliwa”(Luka 6:36-37);).Sisi watoto wa Mungu tuliokombolewa tunatakiwa
tuwe na rehema. Tuone uchungu mzito wenzetu wakiteseka. “Heri wenye rehema; maana hao watapata rehema.” (Mt 5:7) kwa mujibu
wa mahubiri ya Yesu anasema wamebarikiwa watu ambao wanawahurumia watu wengine.
Watu wenye kipawa cha kurehemu nao Mungu atawarehemu, sawa sawa na rehema zao.
Hebu tusome pamoja Neno hilimaana hukumu haina huruma yake yeye asiyeona
huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.”(Yak.2:1)
Kipawa
cha kuimba
Wenye
kipawa hiki wanamsukumo maalumu wa kumsifu na kumtukuza Mungu. Kutoa sifa kwa
kuimba kunakigusa kiti cha enzi cha Mungu. Wenye kipawa hiki huchangamsha,
huleta uamsho kanisani wakati wote wa makusanyiko. Kuimba ni njia ya kuhubiri
ukuu na Mamlaka ya Mungu.
Kwahiyo, vipawa vyote nane kila mmoja
aliyeokoka amepewa baadhi. Maana yake huwezi kuwa navipawa vyote. Ili tuujenge
ufalme wa Mungu duniani tumuombe Mungu atusaidie kufufua vipawa vilivyokufa.
Hata wewe rafiki yangu ambaye hujampa Yesu maisha, Utakapofanya hivyo na wewe
utakirimiwa vipawa. Tuamke ili tuitende kazi ya
Mungu maadamu ni mchana. “Mwimbieni
Bwana wimbo mpya. Kwa maana ametenda mambo ya ajabu. Mkono wa kuume wake
mwenyewe, mkono wake Mtakatifu umemtendea wokovu. Mfanyieni Bwana shangwe,
dunia yote. Mtumikieni Bwana kwa furaha. Njoni mbele zake kwa kuimba.”
(98:1,99:1). Mfalme Daudi anawahimiza watu wote wamwimbie Bwana.
Tunaimba kwasababu Mungu ametenda mambo ya ajabu. Tunaaowajibu wakuzipaza sauti
zetu mbele za Mungu. Tunapoimba tunatimiza majukumu yetu ya kumtumikia Mungu.
Kuimba ni kuburudisha nafsi zetu na za wengine. Kuimba ni sehemu ya maisha ya
mkristo. Zipo sababu kadhaa zinazotufanya tuimbe wimbo katika kipawa. Kuimba ni
sehemu moiawapo katika Ibada.Mungu anazipenda sifa tunazompazia kwa sauti zetu.
Tunapoimba tunammgusa Mungu. Tunajitahidi kumpendeza Mungu tunapoimba.
Tunammshuuhudia Yesu Kristo kwaajili ya Matendo yake makuu. Kuimba sio hiyari
ni lazima kwa watu wenye kipawa hicho. Nyimbo zinaushushusha uwepo wa Mungu na
kuleta utukufu wa Mungu.
AHSANTE SANA KWA KUSOMA KITABU HIKI.
USIACHE
KUKIOMBEA TAYARI KIPO KINAKAMILIKA TAYARI KWA KUWEKWA DUKANI. Usikose Kupata
kitabu kizima chenye sura zote Kumi na Tatu. Utajifunza Mengi katika hayo yote
utamtukuza Mungu
Mungu Akubariki!!
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)