[1/9, 10:57] JHC: πππΌ *KITABU CHA MWANZO SURA YA 17 -18*ππ
π†
*SURA YA 1⃣7⃣*
1 Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na kenda, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu.
2 Nami nitafanya agano langu kati ya mimi na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.
3 Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema,
4 Mimi, agano langu nimefanya nawe, nawe utakuwa baba wa mataifa mengi,
5 wala jina lako hutaitwa tena Abramu, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi.
6 Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, nami nitakufanya kuwa mataifa, na wafalme watatoka kwako.
7 Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.
8 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami nitakuwa Mungu wao.
9 Mungu akamwambia Ibrahimu, Nawe ulishike agano langu, wewe na uzao wako kwa vizazi vyao baada yako.
10 Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.
11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.
12 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.
13 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.
14 Na mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake, mtu yule atatengwa na watu wake; amelivunja agano langu.
15 Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara.
16 Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.
17 Ndipo Ibrahimu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?
18 Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.
19 Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.
20 Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.
21 Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.
22 Mungu akaacha kusema naye, akapanda kutoka kwa Ibrahimu.
23 Ibrahimu akamtwaa Ishmaeli mwanawe, na wote waliozaliwa nyumbani mwake, na wote walionunuliwa kwa fedha yake, wanaume wote wa watu wa nyumba ya Ibrahimu, akawatahiri nyama ya magovi yao siku ile ile, kama Mungu alivyomwambia.
24 Naye Ibrahimu alikuwa mwenye umri wa miaka tisini na kenda alipotahiriwa nyama ya govi lake.
25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.
26 Siku ile ile akatahiriwa Ibrahimu na Ishmaeli mwanawe.
27 Na watu wote wa nyumba yake, wazaliwa nyumbani, na wanunuliwa kwa fedha katika mkono wa mgeni, wakatahiriwa pamoja naye.
π
*SURA YA 1⃣8⃣*
1 BWANA akamtokea Ibrahimu karibu na mialoni ya Mamre, alipokuwa ameketi mlangoni pa hema yake mchana wakati wa hari.
2 Akainua macho yake akaona, na tazama, watu watatu wamesimama mbele yake. Naye alipowaona alipiga mbio kuwalaki kutoka mlangoni pa hema, akainama mpaka nchi,
3 akasema, Bwana wangu, kama nimeona fadhili machoni pako nakuomba usinipite sasa mimi mtumwa wako.
4 Na yaletwe basi maji kidogo mkanawe miguu, mkapumzike chini ya mti huu.
5 Nami nitaleta chakula kidogo, mkaburudishe moyo, baadaye mwendelee, iwapo mmemjia mtumwa wenu. Wakasema, Haya, fanya kama ulivyosema.
6 Basi Ibrahimu akaenda hima hemani kwa Sara, akasema, Himiza vipimo vitatu vya unga safi, uukande, ufanye mikate.
7 Ibrahimu akapiga mbio kwenda kundini, akaleta ndama wa ng’ombe aliye laini, mzuri, akampa mtumishi, naye akahimiza kuiandaa.
8 Akatwaa siagi na maziwa, na ndama aliyoiandaa, akawaandikia mbele yao, akasimama karibu nao chini ya mti, nao wakala.
9 Wakamwambia, Yu wapi Sara mkeo? Akasema, Yumo hemani.
10 Akamwambia, Hakika nitakurudia wakati huu huu mwakani, na tazama, Sara mkeo atapata mwana wa kiume. Sara akasikia mlangoni pa hema iliyokuwapo nyuma yake.
11 Basi Ibrahimu na Sara walikuwa wazee, na umri wao mkubwa, na Sara alikuwa amekoma katika desturi ya wanawake.
12 Kwa hiyo Sara akacheka moyoni mwake, akisema, Niwapo mkongwe, nitapata furaha, na bwana wangu mzee?
13 BWANA akamwambia Ibrahimu, Mbona Sara amecheka akisema, Mimi kweli nitazaa mwana, nami ni mzee?
14 Kuna neno gani lililo gumu la kumshinda BWANA? Kwa muhula wake nitakurudia, wakati huu huu mwakani, na Sara atapata mwana wa kiume.
15 Akakana Sara, akisema, Sikucheka, maana aliogopa. Naye akasema, Sivyo, umecheka.
16 Kisha watu hao wakaondoka huko wakaelekeza nyuso zao Sodoma. Ibrahimu akaenda pamoja nao awasindikize.
17 BWANA akanena, Je! Nimfiche Ibrahimu jambo nilifanyalo,
18 akiwa Ibrahimu atakuwa taifa kuu, hodari, na katika yeye mataifa yote ya dunia watabarikiwa?
19 Kwa maana nimemjua ya kwamba atawaamuru wanawe, na nyumba yake baada yake waishike njia ya BWANA, wafanye haki na hukumu, ili kwamba BWANA naye akamtimizie Ibrahimu ahadi zake.
20 BWANA akasema, Kwa kuwa kilio cha Sodoma na Gomora kimezidi, na dhambi zao zimeongezeka sana,
21 basi, nitashuka sasa nione kama wanayotenda ni kiasi cha kilio kilichonijia; na kama sivyo, nitajua.
22 Basi wale watu wakatoka huko wakaelekea Sodoma; lakini Ibrahimu alikuwa akali akisimama mbele za BWANA.
23 Ibrahimu akakaribia, akasema, Je! Utaharibu mwenye haki pamoja na mwovu?
24 Huenda wakawapo wenye haki hamsini katika mji, utaharibu, wala hutauacha mji kwa ajili ya hao hamsini wenye haki waliomo?
25 Hasha usifanye hivyo, ukamwue mwenye haki pamoja na mwovu, mwenye haki awe kama mwovu. Hasha; Mhukumu ulimwengu wote asitende haki?
26 BWANA akasema, Nikiona katika Sodoma wenye haki hamsini mjini, nitapaacha mahali pote kwa ajili yao.
27 Ibrahimu akajibu, akasema, Basi, nimeshika kusema na Bwana, nami ni mavumbi na majivu tu.
28 Huenda wakapunguka watano katika wale hamsini wenye haki, je! Utaharibu mji wote kwa kupungua watano? Akasema, Sitauharibu, nikiona humo arobaini na watano.
29 Akazidi tena kusema naye, akinena, Huenda wakaonekana humo arobaini? Akasema, Sitafanya kwa ajili ya hao arobaini.
30 Akasema, Bwana asiwe na hasira, nami nitasema, Huenda wakaonekana huko thelathini? Akasema, Sitafanya, nikiona humo thelathini.
31 Akasema, Tazama, nimeshika kusema na Bwana, huenda wakaonekana huko ishirini? Akasema, Sitaharibu kwa ajili ya hao ishirini.
32 Akasema, Bwana asiwe na hasira, nami nitasema mara hii tu, Huenda wakaonekana huko kumi? Akasema, Sitaharibu kwa ajili ya hao kumi.
33 Basi BWANA alipokwisha kuzungumza na Ibrahimu, akaenda zake; Ibrahimu naye akarudi mahali pake.
*MUNGU AKUBARIKI*
ππ†
©Jan 2019 Joyful House in Christ
[1/9, 18:12] JHC: Sura hizi Mbili tunaona mbo mengi. Ila tutazame mambo machache ya Muhimu hapa.
1:Bwana Anamwona Abramu Na Sarai mkewe bado hawajakamilika.
Katika Mwaka Wa 99 umri Wa Abram Mungu anamtokea Na Kumwambia Atengeneze, Atubu, ajitakase. _"Mimi ni Mungu Mwenyezi uende Mbele yangu ukawe mkamilifu''_
Tazama Kitu anachofanya Abram ni kwamba anaanguka Kifudifudi yaani ana surrender Kwa Bwana. Anatubu. Na Hapo Mungu anampa Jina jipya Na Anafanya agano naye. Dhambi inaweza Ikawa sababu ya Kuchelewesha Baraka zetu. Japo tunazungumza Na Mungu, Tunaomba lakini Bado Mungu akitutazama Anaona kunasehemu hatujakamilika Bado. Kuna kitu tunapaswa kufanya Ili kuzirithi Baraka lltulizoandikiwa.
2. Yeye Na Mkewe wanapewa majina mapya. Majina ya kuwa hai katika Bwana. Majina yaliyobeba Baraka. Ibrahimu yaani Baba Wa mataifa mengi. Na Sara yaani Mama Wa Mataifa Na Wafalme watatoka kwake. Kunahaja ya Kutakasa majina Yetu Na Kuyatamkia Baraka. Na kuyatenga Na laana au tabia za Mababu. Majina yanazungumza Maisha yako. Yamebeba hatima ya Maisha yako. Kama unaitwa Sikujua au Unaitwa HUZUNI/ MASUMBUKO bado ni wakati Wa Kutafakari. Aidha tutaona Vizuri jinsi tunavyoendelea kusoma Biblia jinsi kila Jina lilivyo Na Maana.
3. Ili ahadi ya Mungu itimie Mungu anaweka Vigezo anamwambia kwamba kila mwanamume anapaswa kutahiriwa. Hii ilikuwa Alama ya kutenganisha yupi ni Mwebrania yaani Mbarikiwa Wa Bwana Na yupi siye. Ambaye hakutahiriwa hata kama amezaliwa katika ukoo Wa Ibrahimu hawezi kuzirithi Baraka za Mungu Kwa Ibrahimu. Katika Maisha ya Sasa tunatambuliwa Kwa Ubatizo. Unapobatizwa unafanyika kuwa Mrithi Wa Ufalme Wa Mbinguni.
4. Wakati Wa Bwana ukifika kila Kizuizi hukaa pembeni. Wakati Wa Ibrahimu Na Sara mkewe kupata mtoto ulipofika Vizuizi vyote vilikaa pembeni. Havikuweza tena kuzuia. Hata mawazo Na utaalamu Wa kibinadamu kwamba Sasa Ibrahimu ni Mzee Wa miaka 99 Na Mkewe miaka 90 kwamba ameshakoma hichi hakikuweza kuzuia. Na Mungu akamfurahisha Sara katika wakati Wa uzeeni. Usiumie uaiteseke subiri wakati Wa Mungu mpendwa
Jumatano, 9 Januari 2019
Jumanne, 8 Januari 2019
KITABU CHA MWANZO 9-10
[1/7, 10:16] JHC: *KITABU CHA MWANZO SURA YA 9*
ππ
1 Mungu akambariki Nuhu na wanawe, akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi.
2 Kila mnyama wa katika nchi atawaogopa ninyi na kuwahofu, na kila ndege wa angani: pamoja na vitu vyote vilivyojaa katika ardhi, na samaki wote wa baharini; vimetiwa mikononi mwenu.
3 Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapeni hivi vyote.
4 Bali nyama pamoja na uhai, yaani, damu yake, msile.
5 Hakika damu yenu ya uhai wenu nitaitaka; na kwa mkono wa kila mnyama nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa ndugu ya mtu nitataka uhai wa mwanadamu.
6 Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu.
7 Nanyi zaeni, mkaongezeke; zaeni sana katika nchi, mkaongezeke ndani yake.
8 Mungu akamwambia Nuhu, na wanawe pamoja naye, akisema,
9 Mimi, tazama, nalithibitisha agano langu nanyi; tena na uzao wenu baada yenu;
10 tena na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, ndege, na mnyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu katika nchi pamoja nanyi; wote wanaotoka katika safina, hata kila kilicho hai katika nchi.
11 Na agano langu nitalithibitisha nanyi; wala kila chenye mwili hakitafutwa tena kwa maji ya gharika; wala hakutakuwa tena gharika, baada ya hayo, kuiharibu nchi.
12 Mungu akasema, Hii ndiyo ishara ya agano nifanyalo kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, kwa vizazi vyote hata milele;
13 Mimi nauweka upinde wangu winguni, nao utakuwa ni ishara ya agano kati yangu na nchi.
14 Hata itakuwa nikitanda mawingu juu ya nchi, upinde utaonekana winguni,
15 nami nitalikumbuka agano langu, lililoko kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili, wala maji hayatakuwa gharika tena kuwaharibu wote wenye mwili.
16 Basi huo upinde utakuwa winguni; nami nitauangalia nipate kulikumbuka agano la milele lililoko kati ya Mungu na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili kilichoko katika nchi.
17 Mungu akamwambia Nuhu, Hii ndiyo ishara ya agano nililoliweka kati yangu na wote wenye mwili walioko katika nchi.
18 Wana wa Nuhu waliotoka katika safina, ni Shemu, na Hamu, na Yafethi; na Hamu ndiye baba wa Kanaani.
19 Hawa watatu walikuwa wana wa Nuhu na kwa hao nchi yote ikaenea watu.
20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
22 Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
23 Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.
24 Nuhu akalevuka katika ulevi wake, akajua mwana wake mdogo alivyomtendea.
25 Akasema, Na alaaniwe Kanaani; Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake.
26 Akasema, Na atukuzwe BWANA Mungu wa Shemu; Na Kanaani awe mtumwa wake.
27 Mungu akamnafisishe Yafethi. Na akae katika hema za Shemu; Na Kanaani awe mtumwa wake.
28 Na Nuhu akaishi baada ya ile gharika miaka mia tatu na hamsini.
29 Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia kenda na hamsini, akafa.
©2019 JHC Reading Bible Campaign
[1/7, 14:27] JHC: *KITABU CHA MWANZO SURA YA 10*
1 Hivi ndivyo vizazi vya wana wa Nuhu, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Na kwao walizaliwa wana wa kiume baada ya gharika.
2 Wana wa Yafethi ni Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.
3 Na wana wa Gomeri ni Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.
4 Na wana wa Yavani ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
5 Kwa hao nchi za pwani za mataifa ziligawanyikana kuwa nchi zao, kila moja kwa lugha yake, kwa jamaa zao, kufuata mataifa yao.
6 Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.
7 Na wana wa Kushi ni Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama ni Sheba, na Dedani.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
9 Alikuwa hodari kuwinda wanyama mbele za BWANA. Kwa hiyo watu hunena, Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda wanyama mbele za BWANA.
10 Mwanzo wa ufalme wake ulikuwa Babeli na Ereku, na Akadi, na Kalne, katika nchi ya Shinari.
11 Akatoka katika nchi ile akaenda mpaka Ashuru, akajenga Ninawi, na Rehoboth-iri, na Kala;
12 na Reseni, kati ya Ninawi na Kala, nao ni mji mkubwa.
13 Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,
14 na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti na Wakaftori.
15 Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
16 na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi,
17 na Mhivi, na Mwarki, na Msini,
18 na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. Baadaye jamaa za Wakanaani walitawanyikana.
19 Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha.
20 Hao ndio wana wa Hamu, kufuata jamaa zao, kwa lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.
21 Naye Shemu ambaye ni baba wa wana wote wa Eberi, na ndugu mkubwa wa Yafethi, akazaliwa wana.
22 Wana wa Shemu ni Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu.
23 Na wana wa Aramu ni Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.
24 Arfaksadi akamzaa Sela, Sela akamzaa Eberi.
25 Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza ni Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye ni Yoktani.
26 Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera,
27 na Hadoramu, na Uzali, na Dikla,
28 na Obali, na Abimaeli, na Seba,
29 na Ofiri, na Havila, na Yobabi. Hao wote ndio wana wa Yoktani.
30 Makao yao yalikuwa kutoka Mesha kwa njia ya Sefari, mlima wa mashariki.
31 Hao ndio wana wa Shemu, kufuata jamaa zao, na lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.
32 Hizo ndizo jamaa za wana wa Nuhu, kufuata vizazi vyao, katika mataifa yao; na kwa hao mataifa yaligawanyika katika nchi baada ya gharika.
[1/8, 15:15] JHC: Hapa tunaona kizazi kipya kutoka katika mbegu ambayo Mungu aliokoa. Aliihifadhi kwenye Safina
[1/8, 15:22] JHC: Kizazi/mbegu hiki kinapewa maagizo. Kikazaliane Na kuijaza nchi. Lakini kuna mambo wanayopaswa kuyafanya Na mengine hawapaswi kuyafanya.
Ukweli ni kwamba kutokea wakati Wa Kuumbwa Kwa ulimwengu Mungu anaonekana kuruhusu mambo mabaya yaendelee kuwepo. Anayaacha tu. Kama alivyoacha ule mti Wa ujuzi Wa mema Na mabaya pale bustanini. Hii yote ni kama kipimo Na mtihani Kwa Mwanadamu kumpima ni Kwa namna gani mwanadamu atakuwa mtii Na kumhofu Mungu. Ni Kwa namna gani Mwanadamu atamweshimu Mungu hata kama kuna vitu vinavutia Kwa namna gani lakini Mungu anataka Mwanadamu awe tayari kuviacha ili amfuate Yeye peke Yake. Yaani Mungu anataka ifikie mahali Mwanadamu aseme Pombe, Zinaa, kuiba, rushwa, kisusio, mchepuko, ni vizuri Na vinatamanisha lakini Mungu ni mzuri zaidi, kumcha Mungu kunatamanisha zaidi. Tukifikia hapo Hakika Mungu hufurahi
[1/8, 15:35] JHC: Katika Sura hii ya 10 tunaona mambo makubwa ambayo yanabeba historia ya Nchi Na Mataifa Na maeneo mbalimbali makubwa tunayoyaona yakirudiwa kwenye biblia kama vile Misri, Kanaan Na Tarshishi, Na Sheba.
Katika mwisho Wa sura ya Tisa Na Ile ya Kumi ndipo utaona kwamba kwanini Mataifa haya yamekuwa Na tabia tofauti tofauti, mengine baadae yatakuwa Na njaa Na kukimbilia Kwa wengine kutafuta chakula shida ilianza pale wale watoto au mababa Watatu Shemu, Hamu Na Yafeth mmoja alipomkosea Baba Yake Na Wawili walipomsitiri Baba Yake. Baba yao Nuhu alitoa Mbaraka Na laana. Na hii ikabaki juu ya hata kipindi cha kuzaliwa Kristo. Kristo Na Taifa LA Israel Mungu alilichagua kutoka kwenye watoto wa SHEMU
ππ
1 Mungu akambariki Nuhu na wanawe, akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi.
2 Kila mnyama wa katika nchi atawaogopa ninyi na kuwahofu, na kila ndege wa angani: pamoja na vitu vyote vilivyojaa katika ardhi, na samaki wote wa baharini; vimetiwa mikononi mwenu.
3 Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapeni hivi vyote.
4 Bali nyama pamoja na uhai, yaani, damu yake, msile.
5 Hakika damu yenu ya uhai wenu nitaitaka; na kwa mkono wa kila mnyama nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa ndugu ya mtu nitataka uhai wa mwanadamu.
6 Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu.
7 Nanyi zaeni, mkaongezeke; zaeni sana katika nchi, mkaongezeke ndani yake.
8 Mungu akamwambia Nuhu, na wanawe pamoja naye, akisema,
9 Mimi, tazama, nalithibitisha agano langu nanyi; tena na uzao wenu baada yenu;
10 tena na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, ndege, na mnyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu katika nchi pamoja nanyi; wote wanaotoka katika safina, hata kila kilicho hai katika nchi.
11 Na agano langu nitalithibitisha nanyi; wala kila chenye mwili hakitafutwa tena kwa maji ya gharika; wala hakutakuwa tena gharika, baada ya hayo, kuiharibu nchi.
12 Mungu akasema, Hii ndiyo ishara ya agano nifanyalo kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, kwa vizazi vyote hata milele;
13 Mimi nauweka upinde wangu winguni, nao utakuwa ni ishara ya agano kati yangu na nchi.
14 Hata itakuwa nikitanda mawingu juu ya nchi, upinde utaonekana winguni,
15 nami nitalikumbuka agano langu, lililoko kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili, wala maji hayatakuwa gharika tena kuwaharibu wote wenye mwili.
16 Basi huo upinde utakuwa winguni; nami nitauangalia nipate kulikumbuka agano la milele lililoko kati ya Mungu na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili kilichoko katika nchi.
17 Mungu akamwambia Nuhu, Hii ndiyo ishara ya agano nililoliweka kati yangu na wote wenye mwili walioko katika nchi.
18 Wana wa Nuhu waliotoka katika safina, ni Shemu, na Hamu, na Yafethi; na Hamu ndiye baba wa Kanaani.
19 Hawa watatu walikuwa wana wa Nuhu na kwa hao nchi yote ikaenea watu.
20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
22 Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
23 Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.
24 Nuhu akalevuka katika ulevi wake, akajua mwana wake mdogo alivyomtendea.
25 Akasema, Na alaaniwe Kanaani; Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake.
26 Akasema, Na atukuzwe BWANA Mungu wa Shemu; Na Kanaani awe mtumwa wake.
27 Mungu akamnafisishe Yafethi. Na akae katika hema za Shemu; Na Kanaani awe mtumwa wake.
28 Na Nuhu akaishi baada ya ile gharika miaka mia tatu na hamsini.
29 Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia kenda na hamsini, akafa.
©2019 JHC Reading Bible Campaign
[1/7, 14:27] JHC: *KITABU CHA MWANZO SURA YA 10*
1 Hivi ndivyo vizazi vya wana wa Nuhu, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Na kwao walizaliwa wana wa kiume baada ya gharika.
2 Wana wa Yafethi ni Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.
3 Na wana wa Gomeri ni Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.
4 Na wana wa Yavani ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
5 Kwa hao nchi za pwani za mataifa ziligawanyikana kuwa nchi zao, kila moja kwa lugha yake, kwa jamaa zao, kufuata mataifa yao.
6 Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.
7 Na wana wa Kushi ni Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama ni Sheba, na Dedani.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
9 Alikuwa hodari kuwinda wanyama mbele za BWANA. Kwa hiyo watu hunena, Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda wanyama mbele za BWANA.
10 Mwanzo wa ufalme wake ulikuwa Babeli na Ereku, na Akadi, na Kalne, katika nchi ya Shinari.
11 Akatoka katika nchi ile akaenda mpaka Ashuru, akajenga Ninawi, na Rehoboth-iri, na Kala;
12 na Reseni, kati ya Ninawi na Kala, nao ni mji mkubwa.
13 Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,
14 na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti na Wakaftori.
15 Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
16 na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi,
17 na Mhivi, na Mwarki, na Msini,
18 na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. Baadaye jamaa za Wakanaani walitawanyikana.
19 Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha.
20 Hao ndio wana wa Hamu, kufuata jamaa zao, kwa lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.
21 Naye Shemu ambaye ni baba wa wana wote wa Eberi, na ndugu mkubwa wa Yafethi, akazaliwa wana.
22 Wana wa Shemu ni Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu.
23 Na wana wa Aramu ni Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.
24 Arfaksadi akamzaa Sela, Sela akamzaa Eberi.
25 Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza ni Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye ni Yoktani.
26 Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera,
27 na Hadoramu, na Uzali, na Dikla,
28 na Obali, na Abimaeli, na Seba,
29 na Ofiri, na Havila, na Yobabi. Hao wote ndio wana wa Yoktani.
30 Makao yao yalikuwa kutoka Mesha kwa njia ya Sefari, mlima wa mashariki.
31 Hao ndio wana wa Shemu, kufuata jamaa zao, na lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.
32 Hizo ndizo jamaa za wana wa Nuhu, kufuata vizazi vyao, katika mataifa yao; na kwa hao mataifa yaligawanyika katika nchi baada ya gharika.
[1/8, 15:15] JHC: Hapa tunaona kizazi kipya kutoka katika mbegu ambayo Mungu aliokoa. Aliihifadhi kwenye Safina
[1/8, 15:22] JHC: Kizazi/mbegu hiki kinapewa maagizo. Kikazaliane Na kuijaza nchi. Lakini kuna mambo wanayopaswa kuyafanya Na mengine hawapaswi kuyafanya.
Ukweli ni kwamba kutokea wakati Wa Kuumbwa Kwa ulimwengu Mungu anaonekana kuruhusu mambo mabaya yaendelee kuwepo. Anayaacha tu. Kama alivyoacha ule mti Wa ujuzi Wa mema Na mabaya pale bustanini. Hii yote ni kama kipimo Na mtihani Kwa Mwanadamu kumpima ni Kwa namna gani mwanadamu atakuwa mtii Na kumhofu Mungu. Ni Kwa namna gani Mwanadamu atamweshimu Mungu hata kama kuna vitu vinavutia Kwa namna gani lakini Mungu anataka Mwanadamu awe tayari kuviacha ili amfuate Yeye peke Yake. Yaani Mungu anataka ifikie mahali Mwanadamu aseme Pombe, Zinaa, kuiba, rushwa, kisusio, mchepuko, ni vizuri Na vinatamanisha lakini Mungu ni mzuri zaidi, kumcha Mungu kunatamanisha zaidi. Tukifikia hapo Hakika Mungu hufurahi
[1/8, 15:35] JHC: Katika Sura hii ya 10 tunaona mambo makubwa ambayo yanabeba historia ya Nchi Na Mataifa Na maeneo mbalimbali makubwa tunayoyaona yakirudiwa kwenye biblia kama vile Misri, Kanaan Na Tarshishi, Na Sheba.
Katika mwisho Wa sura ya Tisa Na Ile ya Kumi ndipo utaona kwamba kwanini Mataifa haya yamekuwa Na tabia tofauti tofauti, mengine baadae yatakuwa Na njaa Na kukimbilia Kwa wengine kutafuta chakula shida ilianza pale wale watoto au mababa Watatu Shemu, Hamu Na Yafeth mmoja alipomkosea Baba Yake Na Wawili walipomsitiri Baba Yake. Baba yao Nuhu alitoa Mbaraka Na laana. Na hii ikabaki juu ya hata kipindi cha kuzaliwa Kristo. Kristo Na Taifa LA Israel Mungu alilichagua kutoka kwenye watoto wa SHEMU
KITABU CHA MWANZO 11-12
[1/7, 15:43] JHC: *SURA YA 11*
1 Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
2 Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
3 Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
4 Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
6 BWANA akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
7 Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
8 Basi BWANA akawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi yote; wakaacha kuujenga ule mji.
9 Kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli; maana hapo ndipo BWANA alipoichafua lugha ya dunia yote; na kutoka huko BWANA akawatawanya waende usoni pa nchi yote.
10 Hivi ndivyo vizazi vya Shemu; Shemu alikuwa mtu wa miaka mia akamzaa Arfaksadi miaka miwili baada ya gharika.
11 Shemu akaishi baada ya kumzaa Arfaksadi miaka mia tano, akazaa wana, waume na wake.
12 Arfaksadi akaishi miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.
13 Arfaksadi akaishi baada ya kumzaa Sela miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, waume na wake.
14 Sela akaishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.
15 Sela akaishi baada ya kumzaa Eberi miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, waume na wake.
16 Eberi akaishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
17 Eberi akaishi baada ya kumzaa Pelegi miaka mia nne na thelathini, akazaa wana, waume na wake.
18 Pelegi akaishi miaka thelathini, akamzaa Reu.
19 Pelegi akaishi baada ya kumzaa Reu miaka mia mbili na kenda, akazaa wana, waume na wake.
20 Reu akaishi miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi.
21 Reu akaishi baada ya kumzaa Serugi miaka mia mbili na saba, akazaa wana, waume na wake.
22 Serugi akaishi miaka thelathini, akamzaa Nahori.
23 Serugi akaishi baada ya kumzaa Nahori miaka mia mbili, akazaa wana, waume na wake.
24 Nahori akaishi miaka ishirini na kenda, akamzaa Tera.
25 Nahori akaishi baada ya kumzaa Tera miaka mia na kumi na kenda, akazaa wana, waume na wake.
26 Tera akaishi miaka sabini, akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani.
27 Na hivi ndivyo vizazi vya Tera. Tera akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani. Harani akamzaa Lutu.
28 Harani akafa kabla ya baba yake Tera katika nchi aliyozaliwa, yaani, katika Uru wa Wakaldayo.
29 Abramu na Nahori wakajitwalia wake. Jina la mkewe Abramu aliitwa Sarai, na jina la mkewe Nahori aliitwa Milka, binti Harani, ambaye alikuwa baba wa Milka na wa Iska.
30 Na Sarai alikuwa tasa, hakuwa na mtoto.
31 Tera akamtwaa Abramu mwanawe, na Lutu mwana wa Harani, mwana wa mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka wote katika Uru wa Wakaldayo, waende nchi ya Kanaani, wakafika mpaka Harani wakakaa huko.
32 Siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na mitano; Tera akafa katika Harani.
[1/7, 20:46] JHC: *KITABU CHA MWANZO SURA YA 12*
1 BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;
2 nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
3 nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
5 Abramu akamchukua Sarai mkewe, na Lutu mwana wa nduguye, na vitu vyao vyote walivyokuwa wamejipatia na hao watu waliowapata huko Harani, wakatoka ili kwenda nchi ya Kanaani; nao wakaingia katika nchi ya Kanaani.
6 Abramu akapita katikati ya nchi mpaka mahali patakatifu pa Shekemu; mpaka mwaloni wa More. Na Wakanaani siku zile walikaa katika nchi hiyo.
7 BWANA akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye huko akamjengea madhabahu BWANA aliyemtokea.
8 Kisha akaondoka huko akaenda mpaka mlima ulio upande wa mashariki wa Betheli, akaipiga hema yake; alikuwa na Betheli upande wa magharibi, na Ai upande wa mashariki, akamjengea BWANA madhabahu huko, akaliitia jina la BWANA.
9 Naye Abramu akasafiri, akazidi kwenda pande za kusini.
10 Basi kulikuwa njaa katika nchi ile; Abramu akashuka Misri, akae huko kwa muda maana njaa ilikuwa nzito katika nchi.
11 Ikawa alipokuwa karibu kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe, Tazama, najua ya kuwa u mwanamke mzuri wa uso;
12 basi itakuwa, Wamisri watakapokuona watasema, Huyu ni mkewe; kisha wataniua mimi na wewe watakuacha hai.
13 Tafadhali useme, wewe u ndugu yangu, iwe heri kwangu kwa ajili yako, na nafsi yangu iishi kwa ajili yako.
14 Basi ikawa Abramu alipofika Misri, Wamisri wakamwona huyo mwanamke ya kwamba yeye ni mzuri sana.
15 Wakuu wa Farao wakamwona, nao wakamsifu kwa Farao; basi yule mwanamke akachukuliwa nyumbani mwa Farao.
16 Naye akamtendea Abramu mema kwa ajili yake; naye alikuwa na kondoo na ng’ombe, na punda waume, na watumwa, na wajakazi, na punda wake, na ngamia.
17 Lakini BWANA akampiga Farao na nyumba yake mapigo makuu, kwa ajili ya Sarai, mkewe Abramu.
18 Ndipo Farao akamwita Abramu, akasema, N’nini hili ulilonitendea? Mbona hukuniambia ya kuwa huyo ni mkeo?
19 Mbona ulisema, Huyo ni umbu langu, hata nikamtwaa kuwa mke wangu? Basi sasa, huyo mke wako umchukue, uende zako.
20 Farao akawaagiza watu kwa ajili yake, wakampeleka njiani, na mkewe, na kila alichokuwa nacho.
[1/8, 15:46] JHC: Sura ya 11 inazungumza juu ua Habari za Mnara Wa Babeli Na sababu ya uwepo Wa Lugha nyingi duniani.
Pia inawaonyesha Abramu, Harani Na Nahori ambao ni ndugu watoto Wa Baba mmoja ambaye ni Tera.
Si hivyo tu inaonyesha pia juu ya habari ya Safari ya kutoka Nchi iitwayo HURU WA KALDAYO KWENDA KANAANI.
safari hii ilianza kabla ya wito
[1/8, 16:04] JHC: Habari za Abramu na Baraka zake pamoja Na uzao wake zinaanza katika sura hii ya 12.
""Mungu atambariki ambarikie Na amlaanie atamlaani.'''
Baraka hii ni ya ajabu sana pia ni Baraka ambayo ilimhakikishia Abramu ulinzi Na Usalama popote apitapo.
Kwa yeyote atakayemgusa amegusa mboni ya jicho LA Mungu.
Hivyo kama amemjerui Abramu au kumchukulia chochote chake basi Mungu hatomwacha huyo adui salama.
Na hayo tunayaona yakianza kutimia kwenye kisa kilichoandikwa hapo cha Farao kumchukua Mke Wa Abramu. Kitu kilichotokea ni adhabu Kwa Farao Na nyumba Yake yote hadi alipomwachia yule Mke Wa watu. Na kuwaruhusu waondoke Kwa amani
1 Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
2 Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
3 Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
4 Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
6 BWANA akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
7 Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
8 Basi BWANA akawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi yote; wakaacha kuujenga ule mji.
9 Kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli; maana hapo ndipo BWANA alipoichafua lugha ya dunia yote; na kutoka huko BWANA akawatawanya waende usoni pa nchi yote.
10 Hivi ndivyo vizazi vya Shemu; Shemu alikuwa mtu wa miaka mia akamzaa Arfaksadi miaka miwili baada ya gharika.
11 Shemu akaishi baada ya kumzaa Arfaksadi miaka mia tano, akazaa wana, waume na wake.
12 Arfaksadi akaishi miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.
13 Arfaksadi akaishi baada ya kumzaa Sela miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, waume na wake.
14 Sela akaishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.
15 Sela akaishi baada ya kumzaa Eberi miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, waume na wake.
16 Eberi akaishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
17 Eberi akaishi baada ya kumzaa Pelegi miaka mia nne na thelathini, akazaa wana, waume na wake.
18 Pelegi akaishi miaka thelathini, akamzaa Reu.
19 Pelegi akaishi baada ya kumzaa Reu miaka mia mbili na kenda, akazaa wana, waume na wake.
20 Reu akaishi miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi.
21 Reu akaishi baada ya kumzaa Serugi miaka mia mbili na saba, akazaa wana, waume na wake.
22 Serugi akaishi miaka thelathini, akamzaa Nahori.
23 Serugi akaishi baada ya kumzaa Nahori miaka mia mbili, akazaa wana, waume na wake.
24 Nahori akaishi miaka ishirini na kenda, akamzaa Tera.
25 Nahori akaishi baada ya kumzaa Tera miaka mia na kumi na kenda, akazaa wana, waume na wake.
26 Tera akaishi miaka sabini, akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani.
27 Na hivi ndivyo vizazi vya Tera. Tera akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani. Harani akamzaa Lutu.
28 Harani akafa kabla ya baba yake Tera katika nchi aliyozaliwa, yaani, katika Uru wa Wakaldayo.
29 Abramu na Nahori wakajitwalia wake. Jina la mkewe Abramu aliitwa Sarai, na jina la mkewe Nahori aliitwa Milka, binti Harani, ambaye alikuwa baba wa Milka na wa Iska.
30 Na Sarai alikuwa tasa, hakuwa na mtoto.
31 Tera akamtwaa Abramu mwanawe, na Lutu mwana wa Harani, mwana wa mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka wote katika Uru wa Wakaldayo, waende nchi ya Kanaani, wakafika mpaka Harani wakakaa huko.
32 Siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na mitano; Tera akafa katika Harani.
[1/7, 20:46] JHC: *KITABU CHA MWANZO SURA YA 12*
1 BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;
2 nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
3 nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
5 Abramu akamchukua Sarai mkewe, na Lutu mwana wa nduguye, na vitu vyao vyote walivyokuwa wamejipatia na hao watu waliowapata huko Harani, wakatoka ili kwenda nchi ya Kanaani; nao wakaingia katika nchi ya Kanaani.
6 Abramu akapita katikati ya nchi mpaka mahali patakatifu pa Shekemu; mpaka mwaloni wa More. Na Wakanaani siku zile walikaa katika nchi hiyo.
7 BWANA akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye huko akamjengea madhabahu BWANA aliyemtokea.
8 Kisha akaondoka huko akaenda mpaka mlima ulio upande wa mashariki wa Betheli, akaipiga hema yake; alikuwa na Betheli upande wa magharibi, na Ai upande wa mashariki, akamjengea BWANA madhabahu huko, akaliitia jina la BWANA.
9 Naye Abramu akasafiri, akazidi kwenda pande za kusini.
10 Basi kulikuwa njaa katika nchi ile; Abramu akashuka Misri, akae huko kwa muda maana njaa ilikuwa nzito katika nchi.
11 Ikawa alipokuwa karibu kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe, Tazama, najua ya kuwa u mwanamke mzuri wa uso;
12 basi itakuwa, Wamisri watakapokuona watasema, Huyu ni mkewe; kisha wataniua mimi na wewe watakuacha hai.
13 Tafadhali useme, wewe u ndugu yangu, iwe heri kwangu kwa ajili yako, na nafsi yangu iishi kwa ajili yako.
14 Basi ikawa Abramu alipofika Misri, Wamisri wakamwona huyo mwanamke ya kwamba yeye ni mzuri sana.
15 Wakuu wa Farao wakamwona, nao wakamsifu kwa Farao; basi yule mwanamke akachukuliwa nyumbani mwa Farao.
16 Naye akamtendea Abramu mema kwa ajili yake; naye alikuwa na kondoo na ng’ombe, na punda waume, na watumwa, na wajakazi, na punda wake, na ngamia.
17 Lakini BWANA akampiga Farao na nyumba yake mapigo makuu, kwa ajili ya Sarai, mkewe Abramu.
18 Ndipo Farao akamwita Abramu, akasema, N’nini hili ulilonitendea? Mbona hukuniambia ya kuwa huyo ni mkeo?
19 Mbona ulisema, Huyo ni umbu langu, hata nikamtwaa kuwa mke wangu? Basi sasa, huyo mke wako umchukue, uende zako.
20 Farao akawaagiza watu kwa ajili yake, wakampeleka njiani, na mkewe, na kila alichokuwa nacho.
[1/8, 15:46] JHC: Sura ya 11 inazungumza juu ua Habari za Mnara Wa Babeli Na sababu ya uwepo Wa Lugha nyingi duniani.
Pia inawaonyesha Abramu, Harani Na Nahori ambao ni ndugu watoto Wa Baba mmoja ambaye ni Tera.
Si hivyo tu inaonyesha pia juu ya habari ya Safari ya kutoka Nchi iitwayo HURU WA KALDAYO KWENDA KANAANI.
safari hii ilianza kabla ya wito
[1/8, 16:04] JHC: Habari za Abramu na Baraka zake pamoja Na uzao wake zinaanza katika sura hii ya 12.
""Mungu atambariki ambarikie Na amlaanie atamlaani.'''
Baraka hii ni ya ajabu sana pia ni Baraka ambayo ilimhakikishia Abramu ulinzi Na Usalama popote apitapo.
Kwa yeyote atakayemgusa amegusa mboni ya jicho LA Mungu.
Hivyo kama amemjerui Abramu au kumchukulia chochote chake basi Mungu hatomwacha huyo adui salama.
Na hayo tunayaona yakianza kutimia kwenye kisa kilichoandikwa hapo cha Farao kumchukua Mke Wa Abramu. Kitu kilichotokea ni adhabu Kwa Farao Na nyumba Yake yote hadi alipomwachia yule Mke Wa watu. Na kuwaruhusu waondoke Kwa amani
KITABU CHA MWANZO 15-16
[1/8, 20:36] JHC: *KITABU CHA MWANZO SURA YA 15-16* _Shalom Wapendwa karibuni tumalizie sehemu ya leo ambapo leo tutakuwa tumesoma Sura ya 13-16. Mungu akubariki_†
†
1 Baada ya mambo hayo neno la BWANA likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, Mimi ni ngao yako, na thawabu yako kubwa sana.
2 Abramu akasema, Ee Bwana MUNGU, utanipa nini, nami naenda zangu hali sina mtoto, na atakayeimiliki nyumba yangu ni huyu Eliezeri, Mdameski?
3 Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtu aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.
4 Nalo neno la BWANA likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.
5 Akamleta nje, akasema, Tazama sasa mbinguni, kazihesabu nyota, kama ukiweza kuzihesabu. Akamwambia, Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.
6 Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki.
7 Kisha akamwambia, Mimi ni BWANA, niliyekuleta kutoka Uru wa Wakaldayo nikupe nchi hii ili uirithi.
8 Akasema, Ee Bwana MUNGU, nipateje kujua ya kwamba nitairithi?
9 Akamwambia, Unipatie ndama wa miaka mitatu, na mbuzi mke wa miaka mitatu, na kondoo mume wa miaka mitatu, na hua, na mwana njiwa.
10 Akampatia hao wote, akawapasua vipande viwili, akaweka kila kipande kuelekea mwenzake, ila ndege hakuwapasua.
11 Hata tai walipotua juu ya mizoga Abramu akawafukuza.
12 Na jua lilipokuwa likichwa usingizi mzito ulimshika Abramu, hofu ya giza kuu ikamwangukia.
13 BWANA akamwambia Abramu, Ujue hakika ya kwamba uzao wako utakuwa mgeni katika nchi isiyo yake, watawatumikia watu wale, nao watateswa muda wa miaka mia nne.
14 Hata na taifa lile, watakaowatumikia, nitawahukumu; baadaye watatoka na mali mengi.
15 Lakini wewe utakwenda kwa baba zako kwa amani, utazikwa katika uzee mwema.
16 Na kizazi cha nne kitarudi hapa, maana haujatimia uovu wa Waamori bado.
17 Ikawa, jua lilipokuchwa likawa giza, tazama, tanuru ya moshi na mwenge unaowaka ulipita kati ya vile vipande vya nyama.
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,
19 Mkeni, na Mkenizi, na Mkadmoni,
20 na Mhiti, na Mperizi, na Mrefai,
πΊ
*SURA YA* 1⃣6⃣
1 Basi Sarai mkewe Abramu hakumzalia mwana, naye alikuwa na mjakazi, Mmisri, jina lake Hajiri.
2 Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, BWANA amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
3 Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
4 Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.
5 Sarai akamwambia Abramu, Ubaya ulionipata na uwe juu yako; nimekupa mjakazi wangu kifuani mwako, naye alipoona kwamba amepata mimba, mimi nimekuwa duni machoni pake. BWANA na ahukumu kati ya mimi na wewe.
6 Naye Abramu akamwambia Sarai, Tazama, mjakazi wako yu mkononi mwako, mtendee lililo jema machoni pako. Sarai akamtesa, naye akakimbia kutoka mbele yake.
7 Malaika wa BWANA akamwona kwenye chemchemi ya maji katika jangwa, chemchemi iliyoko katika njia ya kuendea Shuri.
8 Akamwambia, Hajiri, wewe mjakazi wa Sarai, unatoka wapi, nawe unakwenda wapi? Akanena, Nakimbia mimi kutoka mbele ya bibi yangu Sarai.
9 Malaika wa BWANA akamwambia, Rudi kwa bibi yako, ukanyenyekee chini ya mikono yake.
10 Malaika wa BWANA akamwambia, Hakika nitauzidisha uzao wako, wala hautahesabika kwa jinsi utakavyokuwa mwingi.
11 Malaika wa BWANA akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana BWANA amesikia kilio cha mateso yako.
12 Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.
13 Akaliita jina la BWANA aliyesema naye, Wewe U Mungu uonaye, kwani alisema, Hata hapa nimemwona yeye anionaye?
14 Kwa hiyo kisima kile kiliitwa Beer-lahai-roi. Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi.
15 Hajiri akamzalia Abramu mwana wa kiume; Abramu akamwita jina lake Ishmaeli, yule mwanawe, ambaye Hajiri alimzaa.
16 Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka themanini na sita, hapo Hajiri alipomzalia Abramu Ishmaeli.
© Jan 2019 *Joyful House in Christ*
[1/8, 21:04] JHC: Embu tutazame Sura hizi mbili tena sura ya 15-16
*"USIOGOPE ABRAMU MIMI NI NGAO YAKO NA THAWABU YAKO KUBWA SANA''* 15: 1
Haleluya.
Sura ya 15 inaanza Kwa maneno mazuri Na yenye kumfariji Abramu, Yanamtia nguvu, Na kumhakikishia kwamba Mungu yupo ktk safari yake.
Abramu alikuwa Na hofu akitazama Mali Na utajiri Mkubwa aliokuwa nao aliingiwa Na wasiwasi kwamba ni nani atakayeuridhi? Na alikuwa bado hajapata mtoto Na Umri ushaenda sana.
[1/8, 21:15] JHC: Katika Sura ya 16 tunaona namna uvumilivu unahitajika katika kungoja ahadi ya Mungu. Ahadi ya Mungu usiitazame Kwa macho ya Kibinadamu. Hitaji uongozi Wa Roho Mtakatifu. Abramu waliona miaka 86 ni mingi hivyo wakatafuta shortcut ili wapate mtoto Na iumbe wanamkosea Mungu.
-Lakini tunaona pia unyanyasaji Mkubwa Sarai anaufanya Kwa mama Yake Ishamael. Na hadi anachukua hatua ya kukimbia. Inatupasa tufikiri kabla ya kutenda. Sarai ndiye aliyehitaji Mumewe awe Na mtoto Na akampatia Hajiri ili amwoe Na amzalie mtoto. Lakini baada ya Hajiri kupata mimba. Sarai anaona wivu Na iumnyanyasa. Loo Mungu aturehemu.
Wapendwa yapo mengi tunayapata katika kila eneo tunalosoma. Ila Mungu atubariki Kwa haya machache tuliyoyapata.
Nakukaribisha kesho tuendelee Na Sura ya 17-20.
ππΌππππ
Aidha speed yetu ni nzuri sana Chamuhimu usiache Kiporo jitahidi ratiba ya Leo uimalize ili kesho usiwe Na mzigo Mkubwa.
Barikiwaπππππ
†
1 Baada ya mambo hayo neno la BWANA likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, Mimi ni ngao yako, na thawabu yako kubwa sana.
2 Abramu akasema, Ee Bwana MUNGU, utanipa nini, nami naenda zangu hali sina mtoto, na atakayeimiliki nyumba yangu ni huyu Eliezeri, Mdameski?
3 Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtu aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.
4 Nalo neno la BWANA likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.
5 Akamleta nje, akasema, Tazama sasa mbinguni, kazihesabu nyota, kama ukiweza kuzihesabu. Akamwambia, Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.
6 Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki.
7 Kisha akamwambia, Mimi ni BWANA, niliyekuleta kutoka Uru wa Wakaldayo nikupe nchi hii ili uirithi.
8 Akasema, Ee Bwana MUNGU, nipateje kujua ya kwamba nitairithi?
9 Akamwambia, Unipatie ndama wa miaka mitatu, na mbuzi mke wa miaka mitatu, na kondoo mume wa miaka mitatu, na hua, na mwana njiwa.
10 Akampatia hao wote, akawapasua vipande viwili, akaweka kila kipande kuelekea mwenzake, ila ndege hakuwapasua.
11 Hata tai walipotua juu ya mizoga Abramu akawafukuza.
12 Na jua lilipokuwa likichwa usingizi mzito ulimshika Abramu, hofu ya giza kuu ikamwangukia.
13 BWANA akamwambia Abramu, Ujue hakika ya kwamba uzao wako utakuwa mgeni katika nchi isiyo yake, watawatumikia watu wale, nao watateswa muda wa miaka mia nne.
14 Hata na taifa lile, watakaowatumikia, nitawahukumu; baadaye watatoka na mali mengi.
15 Lakini wewe utakwenda kwa baba zako kwa amani, utazikwa katika uzee mwema.
16 Na kizazi cha nne kitarudi hapa, maana haujatimia uovu wa Waamori bado.
17 Ikawa, jua lilipokuchwa likawa giza, tazama, tanuru ya moshi na mwenge unaowaka ulipita kati ya vile vipande vya nyama.
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,
19 Mkeni, na Mkenizi, na Mkadmoni,
20 na Mhiti, na Mperizi, na Mrefai,
πΊ
*SURA YA* 1⃣6⃣
1 Basi Sarai mkewe Abramu hakumzalia mwana, naye alikuwa na mjakazi, Mmisri, jina lake Hajiri.
2 Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, BWANA amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
3 Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
4 Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.
5 Sarai akamwambia Abramu, Ubaya ulionipata na uwe juu yako; nimekupa mjakazi wangu kifuani mwako, naye alipoona kwamba amepata mimba, mimi nimekuwa duni machoni pake. BWANA na ahukumu kati ya mimi na wewe.
6 Naye Abramu akamwambia Sarai, Tazama, mjakazi wako yu mkononi mwako, mtendee lililo jema machoni pako. Sarai akamtesa, naye akakimbia kutoka mbele yake.
7 Malaika wa BWANA akamwona kwenye chemchemi ya maji katika jangwa, chemchemi iliyoko katika njia ya kuendea Shuri.
8 Akamwambia, Hajiri, wewe mjakazi wa Sarai, unatoka wapi, nawe unakwenda wapi? Akanena, Nakimbia mimi kutoka mbele ya bibi yangu Sarai.
9 Malaika wa BWANA akamwambia, Rudi kwa bibi yako, ukanyenyekee chini ya mikono yake.
10 Malaika wa BWANA akamwambia, Hakika nitauzidisha uzao wako, wala hautahesabika kwa jinsi utakavyokuwa mwingi.
11 Malaika wa BWANA akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana BWANA amesikia kilio cha mateso yako.
12 Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.
13 Akaliita jina la BWANA aliyesema naye, Wewe U Mungu uonaye, kwani alisema, Hata hapa nimemwona yeye anionaye?
14 Kwa hiyo kisima kile kiliitwa Beer-lahai-roi. Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi.
15 Hajiri akamzalia Abramu mwana wa kiume; Abramu akamwita jina lake Ishmaeli, yule mwanawe, ambaye Hajiri alimzaa.
16 Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka themanini na sita, hapo Hajiri alipomzalia Abramu Ishmaeli.
© Jan 2019 *Joyful House in Christ*
[1/8, 21:04] JHC: Embu tutazame Sura hizi mbili tena sura ya 15-16
*"USIOGOPE ABRAMU MIMI NI NGAO YAKO NA THAWABU YAKO KUBWA SANA''* 15: 1
Haleluya.
Sura ya 15 inaanza Kwa maneno mazuri Na yenye kumfariji Abramu, Yanamtia nguvu, Na kumhakikishia kwamba Mungu yupo ktk safari yake.
Abramu alikuwa Na hofu akitazama Mali Na utajiri Mkubwa aliokuwa nao aliingiwa Na wasiwasi kwamba ni nani atakayeuridhi? Na alikuwa bado hajapata mtoto Na Umri ushaenda sana.
[1/8, 21:15] JHC: Katika Sura ya 16 tunaona namna uvumilivu unahitajika katika kungoja ahadi ya Mungu. Ahadi ya Mungu usiitazame Kwa macho ya Kibinadamu. Hitaji uongozi Wa Roho Mtakatifu. Abramu waliona miaka 86 ni mingi hivyo wakatafuta shortcut ili wapate mtoto Na iumbe wanamkosea Mungu.
-Lakini tunaona pia unyanyasaji Mkubwa Sarai anaufanya Kwa mama Yake Ishamael. Na hadi anachukua hatua ya kukimbia. Inatupasa tufikiri kabla ya kutenda. Sarai ndiye aliyehitaji Mumewe awe Na mtoto Na akampatia Hajiri ili amwoe Na amzalie mtoto. Lakini baada ya Hajiri kupata mimba. Sarai anaona wivu Na iumnyanyasa. Loo Mungu aturehemu.
Wapendwa yapo mengi tunayapata katika kila eneo tunalosoma. Ila Mungu atubariki Kwa haya machache tuliyoyapata.
Nakukaribisha kesho tuendelee Na Sura ya 17-20.
ππΌππππ
Aidha speed yetu ni nzuri sana Chamuhimu usiache Kiporo jitahidi ratiba ya Leo uimalize ili kesho usiwe Na mzigo Mkubwa.
Barikiwaπππππ
KITABU CHA MWANZO 13-14
[1/8, 11:53] JHC: KITABU CHA MWANZO SURA YA 13 NA 14
1 Abramu akapanda kutoka Misri, yeye, na mkewe, na kila alichokuwa nacho, na Lutu pamoja naye, mpaka kusini.
2 Naye Abramu alikuwa ni tajiri sana kwa mifugo, kwa fedha, na kwa dhahabu.
3 Akaendelea kusafiri kutoka kusini mpaka Betheli, mahali pale palipokuwapo hema yake kwanza kati ya Betheli na Ai;
4 napo ndipo palipokuwa na madhabahu aliyofanya hapo kwanza; naye Abramu akaliitia jina la BWANA hapo.
5 Na Lutu aliyesafiri pamoja na Abramu, yeye naye alikuwa na makundi ya ng’ombe na kondoo, na hema.
6 Na ile nchi haikuwatosha, ili wakae pamoja; maana mali zao zilikuwa nyingi, hata wasiweze kukaa pamoja.
7 Kukawako ugomvi kati ya wachunga wanyama wa Abramu, na wachunga wanyama wa Lutu; na siku zile Wakanaani na Waperizi walikuwa wakikaa katika nchi.
8 Abramu akamwambia Lutu, Basi, usiwepo ugomvi, nakusihi, kati ya mimi na wewe, wala kati ya wachungaji wangu na wachungaji wako; maana sisi tu ndugu.
9 Je! Nchi hii yote haiko mbele yako? Basi ujitenge nami, nakusihi; ukienda upande wa kushoto, nitakwenda upande wa kuume; ukienda upande wa kuume, nitakwenda upande wa kushoto.
10 Lutu akainua macho yake, akaliona Bonde lote la Yordani, ya kwamba lote pia lina maji, kabla BWANA hajaharibu Sodoma na Gomora, lilikuwa kama bustani ya BWANA, kama nchi ya Misri hapo unapokwenda Soari.
11 Basi Lutu akajichagulia Bonde lote la Yordani; Lutu akasafiri kwenda upande wa mashariki; wakatengana wao kwa wao.
12 Abramu akakaa katika nchi ya Kanaani, na Lutu akakaa katika miji ya lile Bonde; akajongeza hema yake mpaka Sodoma.
13 Lakini watu wa Sodoma walikuwa wabaya, wenye kufanya dhambi nyingi sana juu ya BWANA.
14 BWANA akamwambia Abramu, alipokwisha kutengana na Lutu, Inua sasa macho yako, ukatazame kutoka hapo ulipo, upande wa kaskazini, na wa kusini na wa mashariki na wa magharibi;
15 maana nchi hii yote uionayo, nitakupa wewe na uzao wako hata milele.
16 Na uzao wako nitaufanya uwe kama mavumbi ya nchi; hata mtu akiweza kuyahesabu mavumbi ya nchi, uzao wako nao utahesabika.
17 Ondoka, ukatembee katika nchi hii katika mapana yake, na marefu yake, maana nitakupa wewe nchi hiyo.
18 Basi Abramu akajongeza hema yake, akaja akakaa kwenye mialoni ya Mamre, nayo ni miti iliyoko Hebroni, akamjengea BWANA madhabahu huko.
ππΌππΌππΌπΊπ♂
*SURA YA 14*
1 Ikawa siku za Amrafeli mfalme wa Shinari, na Arioko mfalme wa Elasari, na Kedorlaoma mfalme wa Elamu na Tidali mfalme wa Goimu,
2 walifanya vita na Bera mfalme wa Sodoma na Birsha mfalme wa Gomora, na Shinabu mfalme wa Adma, na Shemeberi mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela, ndio Soari.
3 Hawa wote wakakutana panapo bonde la Sidimu, kwenye Bahari ya Chumvi.
4 Miaka kumi na miwili walimtumikia Kedorlaoma, hata mwaka wa kumi na tatu wakaasi.
5 Na mwaka wa kumi na nne akaja Kedorlaoma na wafalme waliokuwa pamoja naye, wakawapiga Warefai katika Ashteroth-karnaimu, na Wazuzi katika Hamu, na Waemi katika Shawe-kiryathaimu,
6 na Wahori katika mlima wao Seiri, mpaka Elparani iliyo karibu na jangwa.
7 Kisha wakarudi wakaja mpaka Enmisfati, ndio Kadeshi, wakapiga nchi yote ya Waamaleki, na Waamori waliokaa Hasason-tamari.
8 Mfalme wa Sodoma, na mfalme wa Gomora, na mfalme wa Adma, na mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela, ndio Soari, wakatoka wakapanga vita panapo bonde la Sidimu;
9 wapigane na Kedorlaoma mfalme wa Elamu, na Tidali mfalme wa Goimu, na Amrafeli mfalme wa Shinari, na Arioko mfalme wa Elasari, wafalme wanne juu ya wale watano.
10 Na bonde la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya lami. Nao wafalme wa Sodoma na Gomora wakakimbia, wakaanguka huko, nao waliosalia wakakimbia milimani.
11 Wakachukua mali zote za Sodoma na Gomora na vyakula vyao vyote, wakaenda zao.
12 Wakamtwaa Lutu, mwana wa nduguye Abramu, aliyekaa huko Sodoma, na mali yake, wakaenda zao.
13 Mtu mmoja aliyeponyoka akaenda, akampasha habari Abramu Mwebrania; naye amekaa panapo mialoni ya Mamre, yule Mwamori, ndugu ya Eshkoli, na ndugu ya Aneri, na hao walikuwa wamepatana na Abramu.
14 Abramu aliposikia ya kwamba nduguye ametekwa mateka, akawapa silaha vijana wake, waliozaliwa katika nyumba yake, watu mia tatu na kumi na wanane, akawafuata mpaka Dani.
15 Akajipanga apigane nao usiku, yeye na watumwa wake, akawapiga, akawafukuza mpaka Hoba, ulioko upande wa kushoto wa Dameski.
16 Naye akarudisha mali zote, akamrudisha na Lutu nduguye na mali zake, na wanawake pia, na watu.
17 Abramu aliporudi kutoka kumpiga Kedorlaoma na wale wafalme waliokuwa pamoja naye, mfalme wa Sodoma akatoka amlaki katika bonde la Shawe, nalo ni Bonde la Mfalme.
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.
19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.
20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.
21 Mfalme wa Sodoma akamwambia Abramu, Nipe mimi hao watu, na hizo mali uchukue wewe.
22 Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, Nimeinua mkono wangu kwa BWANA, Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi,
23 ya kuwa sitatwaa uzi wala gidamu ya kiatu wala cho chote kilicho chako, usije ukasema, Nimemtajirisha Abramu;
24 isipokuwa hivyo walivyokula vijana, na sehemu za watu waliokwenda nami, yaani, Aneri, na Eshkoli, na Mamre; na watwae wao sehemu zao.
*Bwana akubariki Kwa kuungana nasi kusoma*
πππΌ
©2019 Joyful House in Christ
[1/8, 20:55] JHC: Bwana Yesu Asifiwe mpendwa wangu. Karibu tutafakari/ tucheuwe kidogo Yale tuliyosoma Siku ya Leo katika Sura hizi NNE za KITABU cha MWANZO.
Nianze Na Sura ya 13-14
-Tunaona Habari za Abramu akiwa ameshaingia kwenye Nchi ya Kanaani.
-Na anaiizunguka Nchi yote kusini, magharibi, mashariki Na Kaskazini.
Mungu anamwahidi kwamba Nchi hiyo atawapatia uzao Wa Abramu.
-Lakini ikumbukwe kwamba bado Tumbo la Sarai mkewe lilikuwa bado ni Tasa. Yaani hana mtoto bado.
- Mungu anamwonyesha Utajiri uliopo kwenye Nchi ile.
-Nchi iliyojaa Asali Na Maziwa.
Katika kuizunguka Nchi ile Na kuishi kwake Abramu pale akiwa pamoja Na Mjomba wake yaani Lutu mtoto Wa kaka Yake. Wote wanatajirika sana sana. Na baadae wakaona wasitembee pamoja watengane.
- Jambo jingine tunaloliona ni kwamba Mungu analeta Ushindi Na Wokovu kupitia Mkono Wa Abramu baada ya kwenda kumwokoa Ndugu Yake Kule alipokuwa ametekwa mateka.
-jambo kubwa tujifunze Kutoka Kwa Abramu ni Shukrani Na Kuthamini nguvu za Mungu juu ya kila tunalolifanya. Tusijichukulie utukufu. Abramu hakujichukulia utukufu hakujisifu kwamba yeye ndiye aliyewaokoa Lutu Na watu wengine Na Mali zao Bali ni Bwana.
Na anamtolea Bwana Sadaka ya Fungu LA Kumi.
Alitoa Kwa hiyari sio Kwa kulazimishwa kama wengi wanavyotaka mpaka walazimishwe.
Embu mpendwa tamani Leo kuwa Na Tabia kama ya Abramu
1 Abramu akapanda kutoka Misri, yeye, na mkewe, na kila alichokuwa nacho, na Lutu pamoja naye, mpaka kusini.
2 Naye Abramu alikuwa ni tajiri sana kwa mifugo, kwa fedha, na kwa dhahabu.
3 Akaendelea kusafiri kutoka kusini mpaka Betheli, mahali pale palipokuwapo hema yake kwanza kati ya Betheli na Ai;
4 napo ndipo palipokuwa na madhabahu aliyofanya hapo kwanza; naye Abramu akaliitia jina la BWANA hapo.
5 Na Lutu aliyesafiri pamoja na Abramu, yeye naye alikuwa na makundi ya ng’ombe na kondoo, na hema.
6 Na ile nchi haikuwatosha, ili wakae pamoja; maana mali zao zilikuwa nyingi, hata wasiweze kukaa pamoja.
7 Kukawako ugomvi kati ya wachunga wanyama wa Abramu, na wachunga wanyama wa Lutu; na siku zile Wakanaani na Waperizi walikuwa wakikaa katika nchi.
8 Abramu akamwambia Lutu, Basi, usiwepo ugomvi, nakusihi, kati ya mimi na wewe, wala kati ya wachungaji wangu na wachungaji wako; maana sisi tu ndugu.
9 Je! Nchi hii yote haiko mbele yako? Basi ujitenge nami, nakusihi; ukienda upande wa kushoto, nitakwenda upande wa kuume; ukienda upande wa kuume, nitakwenda upande wa kushoto.
10 Lutu akainua macho yake, akaliona Bonde lote la Yordani, ya kwamba lote pia lina maji, kabla BWANA hajaharibu Sodoma na Gomora, lilikuwa kama bustani ya BWANA, kama nchi ya Misri hapo unapokwenda Soari.
11 Basi Lutu akajichagulia Bonde lote la Yordani; Lutu akasafiri kwenda upande wa mashariki; wakatengana wao kwa wao.
12 Abramu akakaa katika nchi ya Kanaani, na Lutu akakaa katika miji ya lile Bonde; akajongeza hema yake mpaka Sodoma.
13 Lakini watu wa Sodoma walikuwa wabaya, wenye kufanya dhambi nyingi sana juu ya BWANA.
14 BWANA akamwambia Abramu, alipokwisha kutengana na Lutu, Inua sasa macho yako, ukatazame kutoka hapo ulipo, upande wa kaskazini, na wa kusini na wa mashariki na wa magharibi;
15 maana nchi hii yote uionayo, nitakupa wewe na uzao wako hata milele.
16 Na uzao wako nitaufanya uwe kama mavumbi ya nchi; hata mtu akiweza kuyahesabu mavumbi ya nchi, uzao wako nao utahesabika.
17 Ondoka, ukatembee katika nchi hii katika mapana yake, na marefu yake, maana nitakupa wewe nchi hiyo.
18 Basi Abramu akajongeza hema yake, akaja akakaa kwenye mialoni ya Mamre, nayo ni miti iliyoko Hebroni, akamjengea BWANA madhabahu huko.
ππΌππΌππΌπΊπ♂
*SURA YA 14*
1 Ikawa siku za Amrafeli mfalme wa Shinari, na Arioko mfalme wa Elasari, na Kedorlaoma mfalme wa Elamu na Tidali mfalme wa Goimu,
2 walifanya vita na Bera mfalme wa Sodoma na Birsha mfalme wa Gomora, na Shinabu mfalme wa Adma, na Shemeberi mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela, ndio Soari.
3 Hawa wote wakakutana panapo bonde la Sidimu, kwenye Bahari ya Chumvi.
4 Miaka kumi na miwili walimtumikia Kedorlaoma, hata mwaka wa kumi na tatu wakaasi.
5 Na mwaka wa kumi na nne akaja Kedorlaoma na wafalme waliokuwa pamoja naye, wakawapiga Warefai katika Ashteroth-karnaimu, na Wazuzi katika Hamu, na Waemi katika Shawe-kiryathaimu,
6 na Wahori katika mlima wao Seiri, mpaka Elparani iliyo karibu na jangwa.
7 Kisha wakarudi wakaja mpaka Enmisfati, ndio Kadeshi, wakapiga nchi yote ya Waamaleki, na Waamori waliokaa Hasason-tamari.
8 Mfalme wa Sodoma, na mfalme wa Gomora, na mfalme wa Adma, na mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela, ndio Soari, wakatoka wakapanga vita panapo bonde la Sidimu;
9 wapigane na Kedorlaoma mfalme wa Elamu, na Tidali mfalme wa Goimu, na Amrafeli mfalme wa Shinari, na Arioko mfalme wa Elasari, wafalme wanne juu ya wale watano.
10 Na bonde la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya lami. Nao wafalme wa Sodoma na Gomora wakakimbia, wakaanguka huko, nao waliosalia wakakimbia milimani.
11 Wakachukua mali zote za Sodoma na Gomora na vyakula vyao vyote, wakaenda zao.
12 Wakamtwaa Lutu, mwana wa nduguye Abramu, aliyekaa huko Sodoma, na mali yake, wakaenda zao.
13 Mtu mmoja aliyeponyoka akaenda, akampasha habari Abramu Mwebrania; naye amekaa panapo mialoni ya Mamre, yule Mwamori, ndugu ya Eshkoli, na ndugu ya Aneri, na hao walikuwa wamepatana na Abramu.
14 Abramu aliposikia ya kwamba nduguye ametekwa mateka, akawapa silaha vijana wake, waliozaliwa katika nyumba yake, watu mia tatu na kumi na wanane, akawafuata mpaka Dani.
15 Akajipanga apigane nao usiku, yeye na watumwa wake, akawapiga, akawafukuza mpaka Hoba, ulioko upande wa kushoto wa Dameski.
16 Naye akarudisha mali zote, akamrudisha na Lutu nduguye na mali zake, na wanawake pia, na watu.
17 Abramu aliporudi kutoka kumpiga Kedorlaoma na wale wafalme waliokuwa pamoja naye, mfalme wa Sodoma akatoka amlaki katika bonde la Shawe, nalo ni Bonde la Mfalme.
18 Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.
19 Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.
20 Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.
21 Mfalme wa Sodoma akamwambia Abramu, Nipe mimi hao watu, na hizo mali uchukue wewe.
22 Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, Nimeinua mkono wangu kwa BWANA, Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi,
23 ya kuwa sitatwaa uzi wala gidamu ya kiatu wala cho chote kilicho chako, usije ukasema, Nimemtajirisha Abramu;
24 isipokuwa hivyo walivyokula vijana, na sehemu za watu waliokwenda nami, yaani, Aneri, na Eshkoli, na Mamre; na watwae wao sehemu zao.
*Bwana akubariki Kwa kuungana nasi kusoma*
πππΌ
©2019 Joyful House in Christ
[1/8, 20:55] JHC: Bwana Yesu Asifiwe mpendwa wangu. Karibu tutafakari/ tucheuwe kidogo Yale tuliyosoma Siku ya Leo katika Sura hizi NNE za KITABU cha MWANZO.
Nianze Na Sura ya 13-14
-Tunaona Habari za Abramu akiwa ameshaingia kwenye Nchi ya Kanaani.
-Na anaiizunguka Nchi yote kusini, magharibi, mashariki Na Kaskazini.
Mungu anamwahidi kwamba Nchi hiyo atawapatia uzao Wa Abramu.
-Lakini ikumbukwe kwamba bado Tumbo la Sarai mkewe lilikuwa bado ni Tasa. Yaani hana mtoto bado.
- Mungu anamwonyesha Utajiri uliopo kwenye Nchi ile.
-Nchi iliyojaa Asali Na Maziwa.
Katika kuizunguka Nchi ile Na kuishi kwake Abramu pale akiwa pamoja Na Mjomba wake yaani Lutu mtoto Wa kaka Yake. Wote wanatajirika sana sana. Na baadae wakaona wasitembee pamoja watengane.
- Jambo jingine tunaloliona ni kwamba Mungu analeta Ushindi Na Wokovu kupitia Mkono Wa Abramu baada ya kwenda kumwokoa Ndugu Yake Kule alipokuwa ametekwa mateka.
-jambo kubwa tujifunze Kutoka Kwa Abramu ni Shukrani Na Kuthamini nguvu za Mungu juu ya kila tunalolifanya. Tusijichukulie utukufu. Abramu hakujichukulia utukufu hakujisifu kwamba yeye ndiye aliyewaokoa Lutu Na watu wengine Na Mali zao Bali ni Bwana.
Na anamtolea Bwana Sadaka ya Fungu LA Kumi.
Alitoa Kwa hiyari sio Kwa kulazimishwa kama wengi wanavyotaka mpaka walazimishwe.
Embu mpendwa tamani Leo kuwa Na Tabia kama ya Abramu
Jumapili, 6 Januari 2019
MALIZA KUSOMA BIBLIA NDANI YA MWAKA MMOJA (DAY 2 MWANZO 5-8)
[1/6, 14:51] JHC: Shalom Mpendwa hongera Kwa Ibada Na karibu tena Kwenye Faragha hii tusome Neno La Mungu Kwa Pamoja Leo tutasoma Kitabu cha Mwanzo sura ya 5 mpaka sura ya 8.
Usiache kusoma.
Tuanze Na Kumkaribisha Roho Mtakatifu.
Fuatiliza sala hii:
"Nakushukuru Ee Mungu Baba, Mwana Na Roho Mtakatifu kwakuwa umetulinda Na kutufikisha Siku ya Leo. Ee Roho Mtakatifu naomba uongozi wako ninaposoma Neno hili LA Mwanzo 5-8. Macho yangu yatiwe nuru nione Na nisikie sauti yako katika neno hill. Ni katika Jina LA Yesu Kristo nimeomba amen. πππΌ
[1/6, 15:16] JHC: 1 Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
3 Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake.
5 Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.
6 Sethi akaishi miaka mia na mitano, akamzaa Enoshi.
7 Sethi akaishi baada ya kumzaa Enoshi miaka mia nane na saba, akazaa wana, waume na wake.
8 Siku zote za Sethi ni miaka mia kenda na kumi na miwili, akafa.
9 Enoshi akaishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
10 Enoshi akaishi baada ya kumzaa Kenani miaka mia nane na kumi na mitano, akazaa wana, waume na wake.
11 Siku zote za Enoshi ni miaka mia kenda na mitano, akafa.
12 Kenani akaishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
13 Kenani akaishi baada ya kumzaa Mahalaleli miaka mia nane na arobaini, akazaa wana, waume na wake.
14 Siku zote za Kenani ni miaka mia kenda na kumi, akafa.
15 Mahalaleli akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
16 Mahalaleli akaishi baada ya kumzaa Yaredi miaka mia nane na thelathini, akazaa wana, waume na wake.
17 Siku zote za Mahalaleli ni miaka mia nane na tisini na mitano, akafa.
18 Yaredi akaishi miaka mia na sitini na miwili, akamzaa Henoko.
19 Yaredi akaishi baada ya kumzaa Henoko miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake.
20 Siku zote za Yaredi ni miaka mia kenda na sitini na miwili, akafa.
21 Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
22 Henoko akaenda pamoja na Mungu baada ya kumzaa Methusela miaka mia tatu, akazaa wana, waume na wake.
23 Siku zote za Henoko ni miaka mia tatu na sitini na mitano.
24 Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.
25 Methusela akaishi miaka mia na themanini na saba, akamzaa Lameki.
26 Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, waume na wake.
27 Siku zote za Methusela ni miaka mia kenda na sitini na kenda, akafa.
28 Lameki akaishi miaka mia na themanini na miwili, akazaa mwana.
29 Akamwita jina lake Nuhu, akinena, Huyu ndiye atakayetufariji kwa kazi yetu na kwa taabu ya mikono yetu katika nchi aliyoilaani BWANA.
30 Lameki akaishi baada ya kumzaa Nuhu miaka mia na tisini na mitano, akazaa wana, waume na wake.
31 Siku zote za Lameki ni miaka mia saba na sabini na saba, akafa.
32 Nuhu alikuwa mwenye miaka mia tano, Nuhu akawazaa Shemu, na Hamu, na Yafethi.
'Mwanzo 5:1-2-3-4-5-6-7-8-9-10-11-12-13-14-15-16-17-18-19-20-21-22-23-24-25-26-27-28-29-30-31-32'
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.nippt.swahili.bible.free&hl=en
[1/6, 15:20] JHC: Katika Sura hii tunaona kizazi cha Adamu.
=> baada ya Kaini kumwua Habili. Mungu akamjalia Adamu mtoto mwengine ambaye Kwa Huyo ndipo baraka za Mungu ziliambatana naye.
Hapa tunajifunza kitu: Kaini alitenda dhambi Na kizazi chake chote watoto hadi wajukuu waliingia kwenye laana. Dhambi ni aibu ya watu wowoteπ♂
[1/6, 15:46] JHC: Pia Tunamwona HENOKO ambaye aliishi miaka 365 Na kwakuwa alikuwa mcha Mungu. Mungu alimpa Neema ya kutoonja Mauti. Huyu ni Mwanadamu Wa Kwanza kunyakuliwa Na Mungu
[1/6, 17:22] JHC: , *KITABU CHA MWANZO SURA YA SITA*
1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.
5 BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.
6 BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo.
7 BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya.
8 Lakini Nuhu akapata neema machoni pa BWANA.
9 Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu.
10 Nuhu akazaa wana watatu wa kiume, Shemu, na Hamu, na Yafethi.
11 Dunia ikaharibika mbele za Mungu, dunia ikajaa dhuluma.
12 Mungu akaiona dunia, na tazama, imeharibika; maana kila mwenye mwili amejiharibia njia yake duniani.
13 Mungu akamwambia Nuhu, Mwisho wa kila mwenye mwili umekuja mbele zangu; kwa sababu wameijaza dunia dhuluma, basi nitawaharibu pamoja na dunia.
14 Ujifanyie safina ya mti wa mvinje; fanya na vyumba ndani ya safina, ukaifunike ndani na nje kwa lami.
15 Hivi ndivyo utakavyoifanya; mikono mia tatu urefu wa safina, mikono hamsini upana wake, na mikono thelathini kwenda juu kwake.
16 Uifanyie safina mwangaza, ukaumalize juu kiasi cha mkono mmoja; ukautie mlango wa safina katika ubavu wake; ukaifanyie dari tatu, ya chini, ya pili, na ya tatu.
17 Na tazama, nitaleta gharika ya maji juu ya nchi, niharibu kila kitu chenye mwili na pumzi ya uhai, kisiwepo chini ya mbingu; kila kilichoko duniani kitakufa.
18 Lakini nitafanya agano langu nawe kuwa thabiti; nawe utaingia katika safina, wewe, na wanao, na mkeo, na wake za wanao, pamoja nawe.
19 Na katika kila kilicho hai chenye mwili, wawili wa kila namna utawaleta ndani ya safina, kuwahifadhi pamoja nawe; wawe mume na mke.
20 Katika vyote virukavyo kwa jinsi yake, na kila namna ya mnyama kwa jinsi yake, kila kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake, wawili wa kila namna watakuja kwako ili uwahifadhi.
21 Ukajitwalie chakula cha kila namna kinacholika, ukakusanye, nacho kitakuwa ni chakula chenu na chao.
22 Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.
[1/6, 17:35] JHC: Sura hii ya Sita tunaona habari za Nuhu Na Safina.
Mambo machache kama sio mawili tuu tuyatazame hapa Kwa upekee.
1. Mungu hukasirishwa Na maovu ya mwanadamu (soma mstar.6) Bwana anahudhunika moyo akiona jinsi tunavyomwasi.
-uovu huleta maangamizi.
_Mungu alighadhibika Na kutaka kufutilia mbali umbaji wake kwasababu tu ya makosa ya Mwanadamu. Tambua Mwanadamu kwamba wewe ni Wa Muhimu sana_
2. Kwasababu ya MTU mmoja NUHU Aliyekuwa mwema Na mcha Mungu, familia Na baadhi ya viumbe wachache waliokoka katika ghadhabu ya Mungu. Na hawa wakawa mbegu ya kuanzisha kizazi kipya/ulimwengu mpya.
Tambua mpendwa - Hata kama kwenye familia yako hawamchi Mungu wewe mmoja unatosha kwaajili ya ukombozi. Usikate tamaa endelea kumtumainia Mungu.
Mungu akubariki mpendwa wangu unayeendelea kufuatilia Kwa ukaribu sana
[1/6, 18:24] JHC: ππΌ *KITABU CHA MWANZO SURA YA SABA*
πππΌ
1 BWANA akamwambia Nuhu, Ingia wewe na jamaa yako yote katika safina; kwa maana nimekuona wewe u mwenye haki mbele zangu katika kizazi hiki.
2 Katika wanyama wote walio safi ujitwalie saba saba, mume na mke; na katika wanyama wasio safi wawili wawili, mume na mke.
3 Tena katika ndege wa angani saba saba, mume na mke; ili kuhifadhi hai mbegu juu ya uso wa nchi yote.
4 Kwa maana baada ya siku saba nitainyeshea dunia mvua, siku arobaini mchana na usiku; na kila kilicho hai nilichokifanya juu ya uso wa nchi nitakifutilia mbali.
5 Nuhu akafanya kama vile BWANA alivyomwamuru.
6 Naye Nuhu alikuwa mtu wa miaka mia sita hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.
7 Nuhu akaingia katika safina, yeye, na wanawe, na mkewe, na wake za wanawe pamoja naye; kwa sababu ya maji ya gharika.
8 Na katika wanyama walio safi, na wanyama wasio safi, na ndege, navyo vyote vitambaavyo juu ya nchi,
9 wakaingia katika safina alimo Nuhu, wawili wawili, mume na mke, kama vile Mungu alivyomwamuru Nuhu.
10 Ikawa baada ya siku hizo saba, maji ya gharika yakawa juu ya nchi.
11 Katika mwaka wa mia sita wa maisha ya Nuhu, mwezi wa pili, siku ya kumi na saba ya mwezi, siku ile chemchemi zote za vilindi vikuu zilibubujika kwa nguvu, madirisha ya mbinguni yakafunguka.
12 Mvua ikanyesha juu ya nchi, siku arobaini mchana na usiku.
13 Siku ile ile Nuhu akaingia katika safina, yeye, na Shemu na Hamu na Yafethi, wana wa Nuhu, na mkewe Nuhu, na wake watatu wa wanawe pamoja naye;
14 wao na kila mnyama wa mwitu kwa jinsi yake, na kila mnyama wa kufugwa kwa jinsi yake, na kila kitambaacho, chenye kutambaa juu ya nchi, kwa jinsi yake, na kirukacho kwa jinsi yake, kila ndege wa namna yo yote.
15 Waliingia katika safina alimo Nuhu, wawili wawili, wa kila chenye mwili kilicho na pumzi ya uhai ndani yake.
16 Na walioingia, waliingia mume na mke, wa kila kitu chenye mwili, kama vile alivyomwamuru Mungu; BWANA akamfungia.
17 Ile gharika ilikuwako juu ya nchi siku arobaini; nayo maji yakazidi, yakaieleza safina, ikaelea juu ya nchi.
18 Maji yakapata nguvu, yakazidi sana juu ya nchi; na ile safina ikaelea juu ya uso wa maji.
19 Maji yakapata nguvu sana sana juu ya nchi; na milima mirefu yote iliyokuwako chini ya mbingu ikafunikizwa.
20 Maji yakapata nguvu, hata ikafunikwa milima kiasi cha mikono kumi na mitano.
21 Wakafa wote wenye mwili waendao juu ya nchi, na ndege, na wanyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu, na kila kitambaacho chenye kutambaa juu ya nchi, na kila mwanadamu;
22 kila kitu chenye pumzi ya roho ya uhai puani mwake kikafa, kila kilichokuwako katika nchi kavu.
23 Kila kilicho hai juu ya uso wa nchi kikafutiliwa mbali tangu mwanadamu hata mnyama wa kufugwa, na kitambaacho, na ndege wa angani; vilifutiliwa mbali katika nchi, akabaki Nuhu tu, na hao walio pamoja naye katika safina.
24 Maji yakapata nguvu juu ya nchi siku mia na hamsini.
©JHC 2019
[1/6, 20:57] JHC: *KITABU CHA MWANZO SURA YA NANE*
✍ππ♂
1 Na Mungu akamkumbuka Nuhu, na kila kilicho hai, na wanyama wote waliokuwamo pamoja naye katika safina; Mungu akavumisha upepo juu ya nchi, maji yakapungua;
2 chemchemi za vilindi zikafungwa, pia na madirisha ya mbinguni, mvua kutoka mbinguni ikazuiliwa;
3 maji yakadumu kuondoka katika nchi; na mwisho wa siku mia na hamsini maji yakapunguka.
4 Mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya mwezi, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.
5 Maji yakapunguka-punguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.
6 Ikawa baada ya siku arobaini, Nuhu akalifungua dirisha la safina, alilolifanya;
7 akatoa kunguru, naye akatoka akaenda huko na huko, hata maji yakakauka juu ya nchi.
8 Kisha akatoa njiwa, aone kwamba maji yamepunguka usoni pa nchi;
9 bali yule njiwa hakuona mahali pa kutua kwa wayo wa mguu wake, akamrudia Nuhu safinani, maana maji yalikuwa juu ya uso wa nchi yote; naye akanyosha mkono, akamtwaa, akamwingiza mle safinani.
10 Akangoja na siku saba tena; kisha akamtoa yule njiwa katika safina mara ya pili,
11 njiwa akamjia jioni, na tazama, alikuwa na jani bichi la mzeituni kinywani mwake, ambalo amelitunda, basi Nuhu akajua ya kwamba maji yamepunguka juu ya nchi.
12 Akangoja na siku saba tena, akamtoa yule njiwa; naye asimrudie tena kamwe.
13 Ikawa mwaka wa mia sita na moja, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, maji yalikauka juu ya nchi. Nuhu akaondoa kifuniko cha safina, naye akaona, na tazama, uso wa nchi umekauka.
14 Na mwezi wa pili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, nchi ilikuwa kavu.
15 Mungu akamwambia Nuhu, akisema,
16 Toka katika safina, wewe, na mkeo, na wanao, na wake za wanao pamoja nawe.
17 Utoe pamoja nawe kila kilicho hai kilichomo pamoja nawe, chenye mwili, ndege, na mnyama, na kila kitambaacho, chenye kutambaa juu ya nchi; wajae katika nchi, wawe na uzazi, wakaongezeke katika nchi.
18 Basi Nuhu akatoka, yeye, na wanawe, na mkewe, na wake za wanawe pamoja naye;
19 kila mnyama, na kila kitambaacho, na kila ndege, kila kinachokwenda juu ya nchi kwa kabila zao, wakatoka katika safina.
20 Nuhu akamjengea BWANA madhabahu; akatwaa katika kila mnyama aliye safi, na katika kila ndege aliye safi, akavitoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu.
21 BWANA akasikia harufu ya kumridhisha; BWANA akasema moyoni, Sitailaani nchi tena baada ya hayo kwa sababu ya wanadamu, maana mawazo ya moyo wa mwanadamu ni mabaya tangu ujana wake; wala sitapiga tena baada ya hayo kila kilicho hai kama nilivyofanya.
22 Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa hari, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.
'Mwanzo 8:1-2-3-4-5-6-7-8-9-10-11-12-13-14-15-16-17-18-19-20-21-22'
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.nippt.swahili.bible.free&hl=en
©2019 JHC READING BIBLE CAMPAINGπππ
[1/6, 21:04] JHC: Tunajifunza Mengi katika Sura hii ila machache ninayotaka kuya highlight ni Haya:
1. WOKOVU NI WA MMOJA SIO KUNDI. Mungu anaangalia moyo unaohitaji kukombolewa Na anaandaa njia ya kuuokoa Hata mbele za adui zako.
2. Hata katikati ya ghadhabu Yake ameandaa sehemu salama ya Wale wote wanaomcha Na kuzitii amri zake. NUHU alikuwa salama humu humu duniani ndani ya Safina wakati Dunia inaharibiwa yote.
3. Safina Yetu ni Yesu Kristo. Tukiingia ndani Yake tupo salama hata paje kitu gani kiwezacho kuzuru/ kuharibu ulimwengu wote lakini ndani ya Kristo tupo salama. Hata ije mauti iwezayo kuuangamiza mwili huu lakini walio Katika Kristo wataishi milele.
Usiache kusoma.
Tuanze Na Kumkaribisha Roho Mtakatifu.
Fuatiliza sala hii:
"Nakushukuru Ee Mungu Baba, Mwana Na Roho Mtakatifu kwakuwa umetulinda Na kutufikisha Siku ya Leo. Ee Roho Mtakatifu naomba uongozi wako ninaposoma Neno hili LA Mwanzo 5-8. Macho yangu yatiwe nuru nione Na nisikie sauti yako katika neno hill. Ni katika Jina LA Yesu Kristo nimeomba amen. πππΌ
[1/6, 15:16] JHC: 1 Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya;
2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.
3 Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.
4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake.
5 Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.
6 Sethi akaishi miaka mia na mitano, akamzaa Enoshi.
7 Sethi akaishi baada ya kumzaa Enoshi miaka mia nane na saba, akazaa wana, waume na wake.
8 Siku zote za Sethi ni miaka mia kenda na kumi na miwili, akafa.
9 Enoshi akaishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
10 Enoshi akaishi baada ya kumzaa Kenani miaka mia nane na kumi na mitano, akazaa wana, waume na wake.
11 Siku zote za Enoshi ni miaka mia kenda na mitano, akafa.
12 Kenani akaishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
13 Kenani akaishi baada ya kumzaa Mahalaleli miaka mia nane na arobaini, akazaa wana, waume na wake.
14 Siku zote za Kenani ni miaka mia kenda na kumi, akafa.
15 Mahalaleli akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
16 Mahalaleli akaishi baada ya kumzaa Yaredi miaka mia nane na thelathini, akazaa wana, waume na wake.
17 Siku zote za Mahalaleli ni miaka mia nane na tisini na mitano, akafa.
18 Yaredi akaishi miaka mia na sitini na miwili, akamzaa Henoko.
19 Yaredi akaishi baada ya kumzaa Henoko miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake.
20 Siku zote za Yaredi ni miaka mia kenda na sitini na miwili, akafa.
21 Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
22 Henoko akaenda pamoja na Mungu baada ya kumzaa Methusela miaka mia tatu, akazaa wana, waume na wake.
23 Siku zote za Henoko ni miaka mia tatu na sitini na mitano.
24 Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.
25 Methusela akaishi miaka mia na themanini na saba, akamzaa Lameki.
26 Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, waume na wake.
27 Siku zote za Methusela ni miaka mia kenda na sitini na kenda, akafa.
28 Lameki akaishi miaka mia na themanini na miwili, akazaa mwana.
29 Akamwita jina lake Nuhu, akinena, Huyu ndiye atakayetufariji kwa kazi yetu na kwa taabu ya mikono yetu katika nchi aliyoilaani BWANA.
30 Lameki akaishi baada ya kumzaa Nuhu miaka mia na tisini na mitano, akazaa wana, waume na wake.
31 Siku zote za Lameki ni miaka mia saba na sabini na saba, akafa.
32 Nuhu alikuwa mwenye miaka mia tano, Nuhu akawazaa Shemu, na Hamu, na Yafethi.
'Mwanzo 5:1-2-3-4-5-6-7-8-9-10-11-12-13-14-15-16-17-18-19-20-21-22-23-24-25-26-27-28-29-30-31-32'
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.nippt.swahili.bible.free&hl=en
[1/6, 15:20] JHC: Katika Sura hii tunaona kizazi cha Adamu.
=> baada ya Kaini kumwua Habili. Mungu akamjalia Adamu mtoto mwengine ambaye Kwa Huyo ndipo baraka za Mungu ziliambatana naye.
Hapa tunajifunza kitu: Kaini alitenda dhambi Na kizazi chake chote watoto hadi wajukuu waliingia kwenye laana. Dhambi ni aibu ya watu wowoteπ♂
[1/6, 15:46] JHC: Pia Tunamwona HENOKO ambaye aliishi miaka 365 Na kwakuwa alikuwa mcha Mungu. Mungu alimpa Neema ya kutoonja Mauti. Huyu ni Mwanadamu Wa Kwanza kunyakuliwa Na Mungu
[1/6, 17:22] JHC: , *KITABU CHA MWANZO SURA YA SITA*
1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.
5 BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.
6 BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo.
7 BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya.
8 Lakini Nuhu akapata neema machoni pa BWANA.
9 Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu.
10 Nuhu akazaa wana watatu wa kiume, Shemu, na Hamu, na Yafethi.
11 Dunia ikaharibika mbele za Mungu, dunia ikajaa dhuluma.
12 Mungu akaiona dunia, na tazama, imeharibika; maana kila mwenye mwili amejiharibia njia yake duniani.
13 Mungu akamwambia Nuhu, Mwisho wa kila mwenye mwili umekuja mbele zangu; kwa sababu wameijaza dunia dhuluma, basi nitawaharibu pamoja na dunia.
14 Ujifanyie safina ya mti wa mvinje; fanya na vyumba ndani ya safina, ukaifunike ndani na nje kwa lami.
15 Hivi ndivyo utakavyoifanya; mikono mia tatu urefu wa safina, mikono hamsini upana wake, na mikono thelathini kwenda juu kwake.
16 Uifanyie safina mwangaza, ukaumalize juu kiasi cha mkono mmoja; ukautie mlango wa safina katika ubavu wake; ukaifanyie dari tatu, ya chini, ya pili, na ya tatu.
17 Na tazama, nitaleta gharika ya maji juu ya nchi, niharibu kila kitu chenye mwili na pumzi ya uhai, kisiwepo chini ya mbingu; kila kilichoko duniani kitakufa.
18 Lakini nitafanya agano langu nawe kuwa thabiti; nawe utaingia katika safina, wewe, na wanao, na mkeo, na wake za wanao, pamoja nawe.
19 Na katika kila kilicho hai chenye mwili, wawili wa kila namna utawaleta ndani ya safina, kuwahifadhi pamoja nawe; wawe mume na mke.
20 Katika vyote virukavyo kwa jinsi yake, na kila namna ya mnyama kwa jinsi yake, kila kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake, wawili wa kila namna watakuja kwako ili uwahifadhi.
21 Ukajitwalie chakula cha kila namna kinacholika, ukakusanye, nacho kitakuwa ni chakula chenu na chao.
22 Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.
[1/6, 17:35] JHC: Sura hii ya Sita tunaona habari za Nuhu Na Safina.
Mambo machache kama sio mawili tuu tuyatazame hapa Kwa upekee.
1. Mungu hukasirishwa Na maovu ya mwanadamu (soma mstar.6) Bwana anahudhunika moyo akiona jinsi tunavyomwasi.
-uovu huleta maangamizi.
_Mungu alighadhibika Na kutaka kufutilia mbali umbaji wake kwasababu tu ya makosa ya Mwanadamu. Tambua Mwanadamu kwamba wewe ni Wa Muhimu sana_
2. Kwasababu ya MTU mmoja NUHU Aliyekuwa mwema Na mcha Mungu, familia Na baadhi ya viumbe wachache waliokoka katika ghadhabu ya Mungu. Na hawa wakawa mbegu ya kuanzisha kizazi kipya/ulimwengu mpya.
Tambua mpendwa - Hata kama kwenye familia yako hawamchi Mungu wewe mmoja unatosha kwaajili ya ukombozi. Usikate tamaa endelea kumtumainia Mungu.
Mungu akubariki mpendwa wangu unayeendelea kufuatilia Kwa ukaribu sana
[1/6, 18:24] JHC: ππΌ *KITABU CHA MWANZO SURA YA SABA*
πππΌ
1 BWANA akamwambia Nuhu, Ingia wewe na jamaa yako yote katika safina; kwa maana nimekuona wewe u mwenye haki mbele zangu katika kizazi hiki.
2 Katika wanyama wote walio safi ujitwalie saba saba, mume na mke; na katika wanyama wasio safi wawili wawili, mume na mke.
3 Tena katika ndege wa angani saba saba, mume na mke; ili kuhifadhi hai mbegu juu ya uso wa nchi yote.
4 Kwa maana baada ya siku saba nitainyeshea dunia mvua, siku arobaini mchana na usiku; na kila kilicho hai nilichokifanya juu ya uso wa nchi nitakifutilia mbali.
5 Nuhu akafanya kama vile BWANA alivyomwamuru.
6 Naye Nuhu alikuwa mtu wa miaka mia sita hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.
7 Nuhu akaingia katika safina, yeye, na wanawe, na mkewe, na wake za wanawe pamoja naye; kwa sababu ya maji ya gharika.
8 Na katika wanyama walio safi, na wanyama wasio safi, na ndege, navyo vyote vitambaavyo juu ya nchi,
9 wakaingia katika safina alimo Nuhu, wawili wawili, mume na mke, kama vile Mungu alivyomwamuru Nuhu.
10 Ikawa baada ya siku hizo saba, maji ya gharika yakawa juu ya nchi.
11 Katika mwaka wa mia sita wa maisha ya Nuhu, mwezi wa pili, siku ya kumi na saba ya mwezi, siku ile chemchemi zote za vilindi vikuu zilibubujika kwa nguvu, madirisha ya mbinguni yakafunguka.
12 Mvua ikanyesha juu ya nchi, siku arobaini mchana na usiku.
13 Siku ile ile Nuhu akaingia katika safina, yeye, na Shemu na Hamu na Yafethi, wana wa Nuhu, na mkewe Nuhu, na wake watatu wa wanawe pamoja naye;
14 wao na kila mnyama wa mwitu kwa jinsi yake, na kila mnyama wa kufugwa kwa jinsi yake, na kila kitambaacho, chenye kutambaa juu ya nchi, kwa jinsi yake, na kirukacho kwa jinsi yake, kila ndege wa namna yo yote.
15 Waliingia katika safina alimo Nuhu, wawili wawili, wa kila chenye mwili kilicho na pumzi ya uhai ndani yake.
16 Na walioingia, waliingia mume na mke, wa kila kitu chenye mwili, kama vile alivyomwamuru Mungu; BWANA akamfungia.
17 Ile gharika ilikuwako juu ya nchi siku arobaini; nayo maji yakazidi, yakaieleza safina, ikaelea juu ya nchi.
18 Maji yakapata nguvu, yakazidi sana juu ya nchi; na ile safina ikaelea juu ya uso wa maji.
19 Maji yakapata nguvu sana sana juu ya nchi; na milima mirefu yote iliyokuwako chini ya mbingu ikafunikizwa.
20 Maji yakapata nguvu, hata ikafunikwa milima kiasi cha mikono kumi na mitano.
21 Wakafa wote wenye mwili waendao juu ya nchi, na ndege, na wanyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu, na kila kitambaacho chenye kutambaa juu ya nchi, na kila mwanadamu;
22 kila kitu chenye pumzi ya roho ya uhai puani mwake kikafa, kila kilichokuwako katika nchi kavu.
23 Kila kilicho hai juu ya uso wa nchi kikafutiliwa mbali tangu mwanadamu hata mnyama wa kufugwa, na kitambaacho, na ndege wa angani; vilifutiliwa mbali katika nchi, akabaki Nuhu tu, na hao walio pamoja naye katika safina.
24 Maji yakapata nguvu juu ya nchi siku mia na hamsini.
©JHC 2019
[1/6, 20:57] JHC: *KITABU CHA MWANZO SURA YA NANE*
✍ππ♂
1 Na Mungu akamkumbuka Nuhu, na kila kilicho hai, na wanyama wote waliokuwamo pamoja naye katika safina; Mungu akavumisha upepo juu ya nchi, maji yakapungua;
2 chemchemi za vilindi zikafungwa, pia na madirisha ya mbinguni, mvua kutoka mbinguni ikazuiliwa;
3 maji yakadumu kuondoka katika nchi; na mwisho wa siku mia na hamsini maji yakapunguka.
4 Mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya mwezi, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.
5 Maji yakapunguka-punguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.
6 Ikawa baada ya siku arobaini, Nuhu akalifungua dirisha la safina, alilolifanya;
7 akatoa kunguru, naye akatoka akaenda huko na huko, hata maji yakakauka juu ya nchi.
8 Kisha akatoa njiwa, aone kwamba maji yamepunguka usoni pa nchi;
9 bali yule njiwa hakuona mahali pa kutua kwa wayo wa mguu wake, akamrudia Nuhu safinani, maana maji yalikuwa juu ya uso wa nchi yote; naye akanyosha mkono, akamtwaa, akamwingiza mle safinani.
10 Akangoja na siku saba tena; kisha akamtoa yule njiwa katika safina mara ya pili,
11 njiwa akamjia jioni, na tazama, alikuwa na jani bichi la mzeituni kinywani mwake, ambalo amelitunda, basi Nuhu akajua ya kwamba maji yamepunguka juu ya nchi.
12 Akangoja na siku saba tena, akamtoa yule njiwa; naye asimrudie tena kamwe.
13 Ikawa mwaka wa mia sita na moja, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, maji yalikauka juu ya nchi. Nuhu akaondoa kifuniko cha safina, naye akaona, na tazama, uso wa nchi umekauka.
14 Na mwezi wa pili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, nchi ilikuwa kavu.
15 Mungu akamwambia Nuhu, akisema,
16 Toka katika safina, wewe, na mkeo, na wanao, na wake za wanao pamoja nawe.
17 Utoe pamoja nawe kila kilicho hai kilichomo pamoja nawe, chenye mwili, ndege, na mnyama, na kila kitambaacho, chenye kutambaa juu ya nchi; wajae katika nchi, wawe na uzazi, wakaongezeke katika nchi.
18 Basi Nuhu akatoka, yeye, na wanawe, na mkewe, na wake za wanawe pamoja naye;
19 kila mnyama, na kila kitambaacho, na kila ndege, kila kinachokwenda juu ya nchi kwa kabila zao, wakatoka katika safina.
20 Nuhu akamjengea BWANA madhabahu; akatwaa katika kila mnyama aliye safi, na katika kila ndege aliye safi, akavitoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu.
21 BWANA akasikia harufu ya kumridhisha; BWANA akasema moyoni, Sitailaani nchi tena baada ya hayo kwa sababu ya wanadamu, maana mawazo ya moyo wa mwanadamu ni mabaya tangu ujana wake; wala sitapiga tena baada ya hayo kila kilicho hai kama nilivyofanya.
22 Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa hari, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.
'Mwanzo 8:1-2-3-4-5-6-7-8-9-10-11-12-13-14-15-16-17-18-19-20-21-22'
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.nippt.swahili.bible.free&hl=en
©2019 JHC READING BIBLE CAMPAINGπππ
[1/6, 21:04] JHC: Tunajifunza Mengi katika Sura hii ila machache ninayotaka kuya highlight ni Haya:
1. WOKOVU NI WA MMOJA SIO KUNDI. Mungu anaangalia moyo unaohitaji kukombolewa Na anaandaa njia ya kuuokoa Hata mbele za adui zako.
2. Hata katikati ya ghadhabu Yake ameandaa sehemu salama ya Wale wote wanaomcha Na kuzitii amri zake. NUHU alikuwa salama humu humu duniani ndani ya Safina wakati Dunia inaharibiwa yote.
3. Safina Yetu ni Yesu Kristo. Tukiingia ndani Yake tupo salama hata paje kitu gani kiwezacho kuzuru/ kuharibu ulimwengu wote lakini ndani ya Kristo tupo salama. Hata ije mauti iwezayo kuuangamiza mwili huu lakini walio Katika Kristo wataishi milele.
MALIZA KUSOMA BIBLIA KWA MWAKA MMOJA TU (DAY 1 MWANZO 1-4)
[1/5, 10:10] JHC: *MWANZO SURA YA PILI*
1 Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote.
2 Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.
3 Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.
4 Hivyo ndivyo vizazi vya mbingu na nchi zilipoumbwa. Siku ile BWANA Mungu alipoziumba mbingu na nchi
5 hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana BWANA Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi;
6 ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi.
7 BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
8 BWANA Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya.
9 BWANA Mungu akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa; na mti wa uzima katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.
10 Ukatoka mto katika Edeni wa kuitilia bustani maji, na kutokea hapo ukagawanyika kuwa vichwa vinne.
11 Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu;
12 na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham.
13 Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi.
14 Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli; ndio unaopita mbele ya Ashuru. Na mto wa nne ni Frati.
15 BWANA Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.
16 BWANA Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
18 BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
19 BWANA Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake.
20 Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.
21 BWANA Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
π
©JHC 2019 Reading Bible Campaing
[1/5, 16:19] JHC: *KITABU CHA MWANZO SURA YA TATU*
[1/5, 16:21] JHC: 1 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya BWANA Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?
2 Mwanamke akamwambia nyoka, Matunda ya miti ya bustanini twaweza kula;
3 lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.
4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
6 Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.
7 Wakafumbuliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wa uchi, wakashona majani ya mtini, wakajifanyia nguo.
8 Kisha wakasikia sauti ya BWANA Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, BWANA Mungu asiwaone.
9 BWANA Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?
10 Akasema, Nalisikia sauti yako bustanini, nikaogopa kwa kuwa mimi ni uchi; nikajificha.
11 Akasema, Ni nani aliyekuambia ya kuwa u uchi? Je! Umekula wewe matunda ya mti niliyokuagiza usiyale?
12 Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.
13 BWANA Mungu akamwambia mwanamke, Nini hili ulilolifanya? Mwanamke akasema, Nyoka alinidanganya, nikala.
14 BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako;
15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.
16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;
18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;
19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
20 Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.
21 BWANA Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.
22 BWANA Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele;
23 kwa hiyo BWANA Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa.
24 Basi akamfukuza huyo mtu, akaweka Makerubi, upande wa mashariki wa bustani ya Edeni, na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia ya mti wa uzima.
[1/5, 16:30] JHC: Katika sura hii ndipo tunaona anguko la Mwanadamu Na namna alivyomwasi Mungu.
Mpango mzima Wa Baraka Na maisha ya Raha ndipo ulipoingia Upimwenguni.
Kwasababu ya Dhambi mwanadamu akawa mtumwa badala ya kuwa mrithi Na mtawala.
Mwanadamu akatawaliwa Na Ibilisi Na Dhambi pamoja Na Kifo vikawa juu yake
[1/5, 21:19] JHC: KITABU CHA MWANZO SURA YA NNE4⃣
1 Adamu akamjua Hawa mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Kaini, akasema, Nimepata mtoto mwanamume kwa BWANA.
2 Akaongeza akamzaa ndugu yake, Habili. Habili alikuwa mchunga kondoo, na Kaini alikuwa mkulima ardhi.
3 Ikawa hatimaye Kaini akaleta mazao ya ardhi, sadaka kwa BWANA.
4 Habili naye akaleta wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona za wanyama. BWANA akamtakabali Habili na sadaka yake;
5 bali Kaini hakumtakabali, wala sadaka yake. Kaini akaghadhibika sana, uso wake ukakunjamana.
6 BWANA akamwambia Kaini, Kwa nini una ghadhabu? Na kwa nini uso wako umekunjamana?
7 Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, walakini yapasa uishinde.
8 Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]. Ikawa walipokuwapo uwandani, Kaini akamwinukia Habili nduguye, akamwua.
9 BWANA akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?
10 Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi.
11 Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako;
12 utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani.
13 Kaini akamwambia BWANA, Adhabu yangu imenikulia kubwa, haichukuliki.
14 Tazama, umenifukuza leo katika uso wa ardhi, nitasitirika mbali na uso wako, nami nitakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani; hata itakuwa kila anionaye ataniua.
15 BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo ye yote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga.
16 Kaini akatoka mbele za uso wa BWANA, akakaa katika nchi ya Nodi, mbele ya Edeni.
17 Kaini akamjua mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Henoko; akajenga mji akauita Henoko, kwa jina la mwanawe.
18 Henoko akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli; Mehuyaeli akamzaa Methushaeli; Methushaeli akamzaa Lameki.
19 Lameki akajitwalia wake wawili, jina la wa kwanza ni Ada, na jina la wa pili ni Sila.
20 Ada akamzaa Yabali; huyo ndiye baba yao wakaao katika hema na kufuga wanyama.
21 Na jina la nduguye aliitwa Yubali; huyo ndiye baba yao wapigao kinubi na filimbi.
22 Sila naye akamzaa Tubal-kaini, mfua kila chombo cha kukatia, cha shaba na cha chuma; na umbu lake Tubal-kaini alikuwa Naama.
23 Lameki akawaambia wake zake, Sikieni sauti yangu, Ada na Sila; Enyi wake za Lameki, sikilizeni usemi wangu; Maana nimemwua mtu kwa kunitia jeraha; Kijana kwa kunichubua;
24 Kama Kaini akilipiwa kisasi mara saba, Hakika Lameki atalipiwa mara sabini na saba.
25 Adamu akamjua mke wake tena; akazaa mwana mwanamume, akamwita jina lake Sethi; maana alisema, Mungu ameniwekea uzao mwingine mahali pa Habili; kwa sababu Kaini alimwua.
26 Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la BWANA.
[1/5, 21:23] JHC: -Tazama sasa Ulimwengu unageuka kuwa Wa Dhambi ya mauaji.
Na Mauti inaanza kuchukua nafasi yake kama vile Neno la Mungu lilivyosema kwamba _".... Hakika utakufa''_
Mungu akikuonya kitu tambua hata kama madhara usipoyaona muda HUU utayaona baadae. Adamu aliona madhara ya Dhambi ile Kwa watoto wake.
Tazama pia katika sura hii ya NNE tunajifunza juu ya madhara ya *WIVU*
[1/5, 21:25] JHC: Wivu usipoweza kuutawala unaweza kukupelekea kutenda dhambi. Jifunze kujitawala Na kunyenyekea. Yapo mengi mengine tunayojifunza MF. Madhara ya kutoisikiliza sauti ya Mungu :Kaini hakusikiliza sauti ya Mungu.
[1/5, 21:31] JHC: Kwa Leo tutakuwa tunejifunza maeneo kadha Wa kadha ktk sura hizi NNE za MWANZO za kitabu hiki cha MWANZO.
Hasa:
1.Jinsi Ulimwengu ulivyoumbwa
2. Mwanadamu ameumbwa siku ya sita ili avitawale vyote
3. Dhambi ya Asili.
4. Madhara ya dhambi ya Asili.
Kama unaswali uliza kabla kesho hatujaendelea.
KARIBU KESHO KWAAJILI YA RATIBA HII.
JITAHIDI USOME PAMOJA NASI PASIPOKUCHOKA NA HASA RUDIA YALEYALE TUYATUMAYO HUMU. SURA NNE NNE ZA KILA KITABU.
hata kama habari hiyo unaijua lakini Neno la Mungu ni jipya kila siku.
©JHC 2019 *reading Bible campaign*
1 Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote.
2 Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.
3 Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.
4 Hivyo ndivyo vizazi vya mbingu na nchi zilipoumbwa. Siku ile BWANA Mungu alipoziumba mbingu na nchi
5 hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana BWANA Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi;
6 ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi.
7 BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
8 BWANA Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya.
9 BWANA Mungu akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa; na mti wa uzima katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.
10 Ukatoka mto katika Edeni wa kuitilia bustani maji, na kutokea hapo ukagawanyika kuwa vichwa vinne.
11 Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu;
12 na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham.
13 Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi.
14 Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli; ndio unaopita mbele ya Ashuru. Na mto wa nne ni Frati.
15 BWANA Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.
16 BWANA Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
18 BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
19 BWANA Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake.
20 Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.
21 BWANA Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
π
©JHC 2019 Reading Bible Campaing
[1/5, 16:19] JHC: *KITABU CHA MWANZO SURA YA TATU*
[1/5, 16:21] JHC: 1 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya BWANA Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?
2 Mwanamke akamwambia nyoka, Matunda ya miti ya bustanini twaweza kula;
3 lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa.
4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
6 Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.
7 Wakafumbuliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wa uchi, wakashona majani ya mtini, wakajifanyia nguo.
8 Kisha wakasikia sauti ya BWANA Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, BWANA Mungu asiwaone.
9 BWANA Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?
10 Akasema, Nalisikia sauti yako bustanini, nikaogopa kwa kuwa mimi ni uchi; nikajificha.
11 Akasema, Ni nani aliyekuambia ya kuwa u uchi? Je! Umekula wewe matunda ya mti niliyokuagiza usiyale?
12 Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.
13 BWANA Mungu akamwambia mwanamke, Nini hili ulilolifanya? Mwanamke akasema, Nyoka alinidanganya, nikala.
14 BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako;
15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.
16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;
18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;
19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
20 Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.
21 BWANA Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.
22 BWANA Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele;
23 kwa hiyo BWANA Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa.
24 Basi akamfukuza huyo mtu, akaweka Makerubi, upande wa mashariki wa bustani ya Edeni, na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia ya mti wa uzima.
[1/5, 16:30] JHC: Katika sura hii ndipo tunaona anguko la Mwanadamu Na namna alivyomwasi Mungu.
Mpango mzima Wa Baraka Na maisha ya Raha ndipo ulipoingia Upimwenguni.
Kwasababu ya Dhambi mwanadamu akawa mtumwa badala ya kuwa mrithi Na mtawala.
Mwanadamu akatawaliwa Na Ibilisi Na Dhambi pamoja Na Kifo vikawa juu yake
[1/5, 21:19] JHC: KITABU CHA MWANZO SURA YA NNE4⃣
1 Adamu akamjua Hawa mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Kaini, akasema, Nimepata mtoto mwanamume kwa BWANA.
2 Akaongeza akamzaa ndugu yake, Habili. Habili alikuwa mchunga kondoo, na Kaini alikuwa mkulima ardhi.
3 Ikawa hatimaye Kaini akaleta mazao ya ardhi, sadaka kwa BWANA.
4 Habili naye akaleta wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona za wanyama. BWANA akamtakabali Habili na sadaka yake;
5 bali Kaini hakumtakabali, wala sadaka yake. Kaini akaghadhibika sana, uso wake ukakunjamana.
6 BWANA akamwambia Kaini, Kwa nini una ghadhabu? Na kwa nini uso wako umekunjamana?
7 Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, walakini yapasa uishinde.
8 Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]. Ikawa walipokuwapo uwandani, Kaini akamwinukia Habili nduguye, akamwua.
9 BWANA akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?
10 Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi.
11 Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako;
12 utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani.
13 Kaini akamwambia BWANA, Adhabu yangu imenikulia kubwa, haichukuliki.
14 Tazama, umenifukuza leo katika uso wa ardhi, nitasitirika mbali na uso wako, nami nitakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani; hata itakuwa kila anionaye ataniua.
15 BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo ye yote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga.
16 Kaini akatoka mbele za uso wa BWANA, akakaa katika nchi ya Nodi, mbele ya Edeni.
17 Kaini akamjua mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Henoko; akajenga mji akauita Henoko, kwa jina la mwanawe.
18 Henoko akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli; Mehuyaeli akamzaa Methushaeli; Methushaeli akamzaa Lameki.
19 Lameki akajitwalia wake wawili, jina la wa kwanza ni Ada, na jina la wa pili ni Sila.
20 Ada akamzaa Yabali; huyo ndiye baba yao wakaao katika hema na kufuga wanyama.
21 Na jina la nduguye aliitwa Yubali; huyo ndiye baba yao wapigao kinubi na filimbi.
22 Sila naye akamzaa Tubal-kaini, mfua kila chombo cha kukatia, cha shaba na cha chuma; na umbu lake Tubal-kaini alikuwa Naama.
23 Lameki akawaambia wake zake, Sikieni sauti yangu, Ada na Sila; Enyi wake za Lameki, sikilizeni usemi wangu; Maana nimemwua mtu kwa kunitia jeraha; Kijana kwa kunichubua;
24 Kama Kaini akilipiwa kisasi mara saba, Hakika Lameki atalipiwa mara sabini na saba.
25 Adamu akamjua mke wake tena; akazaa mwana mwanamume, akamwita jina lake Sethi; maana alisema, Mungu ameniwekea uzao mwingine mahali pa Habili; kwa sababu Kaini alimwua.
26 Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la BWANA.
[1/5, 21:23] JHC: -Tazama sasa Ulimwengu unageuka kuwa Wa Dhambi ya mauaji.
Na Mauti inaanza kuchukua nafasi yake kama vile Neno la Mungu lilivyosema kwamba _".... Hakika utakufa''_
Mungu akikuonya kitu tambua hata kama madhara usipoyaona muda HUU utayaona baadae. Adamu aliona madhara ya Dhambi ile Kwa watoto wake.
Tazama pia katika sura hii ya NNE tunajifunza juu ya madhara ya *WIVU*
[1/5, 21:25] JHC: Wivu usipoweza kuutawala unaweza kukupelekea kutenda dhambi. Jifunze kujitawala Na kunyenyekea. Yapo mengi mengine tunayojifunza MF. Madhara ya kutoisikiliza sauti ya Mungu :Kaini hakusikiliza sauti ya Mungu.
[1/5, 21:31] JHC: Kwa Leo tutakuwa tunejifunza maeneo kadha Wa kadha ktk sura hizi NNE za MWANZO za kitabu hiki cha MWANZO.
Hasa:
1.Jinsi Ulimwengu ulivyoumbwa
2. Mwanadamu ameumbwa siku ya sita ili avitawale vyote
3. Dhambi ya Asili.
4. Madhara ya dhambi ya Asili.
Kama unaswali uliza kabla kesho hatujaendelea.
KARIBU KESHO KWAAJILI YA RATIBA HII.
JITAHIDI USOME PAMOJA NASI PASIPOKUCHOKA NA HASA RUDIA YALEYALE TUYATUMAYO HUMU. SURA NNE NNE ZA KILA KITABU.
hata kama habari hiyo unaijua lakini Neno la Mungu ni jipya kila siku.
©JHC 2019 *reading Bible campaign*
KITABU CHA MWANZO SURA YA KWANZA
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
5 Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.
6 Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.
7 Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.
8 Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.
9 Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.
10 Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
11 Mungu akasema, Nchi na itoe majani, mche utoao mbegu, na mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu ya nchi; ikawa hivyo.
12 Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
13 Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu.
14 Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;
15 tena iwe ndiyo mianga katika anga la mbingu itie nuru juu ya nchi; ikawa hivyo.
16 Mungu akafanya mianga miwili mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.
17 Mungu akaiweka katika anga la mbingu, itie nuru juu ya nchi
18 na kuutawala mchana na usiku na kutenga nuru na giza; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
19 Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya nne.
20 Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na kitu kiendacho chenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.
21 Mungu akaumba nyangumi wakubwa, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho, ambavyo maji yalijawa navyo kwa wingi kwa jinsi zao, na kila ndege arukaye, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
22 Mungu akavibarikia, akisema, Zaeni, mkaongezeke, mkayajaze maji ya baharini, ndege na wazidi katika nchi.
23 Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.
24 Mungu akasema, Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake, mnyama wa kufugwa, nacho kitambaacho, na wanyama wa mwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo.
25 Mungu akafanya mnyama wa mwitu kwa jinsi zake, na mnyama wa kufugwa kwa jinsi zake, na kila kitu kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
29 Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;
30 na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.
'Mwanzo 1:1-2-3-4-5-6-7-8-9-10-11-12-13-14-15-16-17-18-19-20-21-22-23-24-25-26-27-28-29-30'
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.nippt.swahili.bible.free&hl=en
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
5 Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.
6 Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.
7 Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.
8 Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.
9 Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.
10 Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
11 Mungu akasema, Nchi na itoe majani, mche utoao mbegu, na mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu ya nchi; ikawa hivyo.
12 Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
13 Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu.
14 Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;
15 tena iwe ndiyo mianga katika anga la mbingu itie nuru juu ya nchi; ikawa hivyo.
16 Mungu akafanya mianga miwili mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.
17 Mungu akaiweka katika anga la mbingu, itie nuru juu ya nchi
18 na kuutawala mchana na usiku na kutenga nuru na giza; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
19 Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya nne.
20 Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na kitu kiendacho chenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.
21 Mungu akaumba nyangumi wakubwa, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho, ambavyo maji yalijawa navyo kwa wingi kwa jinsi zao, na kila ndege arukaye, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
22 Mungu akavibarikia, akisema, Zaeni, mkaongezeke, mkayajaze maji ya baharini, ndege na wazidi katika nchi.
23 Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.
24 Mungu akasema, Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake, mnyama wa kufugwa, nacho kitambaacho, na wanyama wa mwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo.
25 Mungu akafanya mnyama wa mwitu kwa jinsi zake, na mnyama wa kufugwa kwa jinsi zake, na kila kitu kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
29 Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;
30 na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.
'Mwanzo 1:1-2-3-4-5-6-7-8-9-10-11-12-13-14-15-16-17-18-19-20-21-22-23-24-25-26-27-28-29-30'
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.nippt.swahili.bible.free&hl=en
JHC 2019 READING BIBLE CAMPAIGN (maliza Biblia Kwa mwaka mmoja bila kuchoka)
Mpango Wa kusoma Biblia Kwa mwaka mzima tutafuata mpango HUU
Mshindwe wenyewe. Ratiba ya kusoma biblia mwaka mzima.
365 days BIBLE READING PLAN!
• Day 1 - Genesis (Mwanzo) 1-4
• Day 2 - Genesis 5-8
• Day 3 - Genesis 9-12
• Day 4 - Genesis 13-17
*Tayari siku 1-4 ishapita sasa itabidi tuendeleee mbele*
π✍ _ Mwanzo sura ya (1-17) tutazituma tuu huku mchana Wa Leo alafu jioni tutaendelea mbele Na ratiba ya Leo. Tenga muda usome. Sehemu usiyoielewa iandike mahali alafu ikifika alhamisi siku ya maswali Na majibu tutajadili Kwa pamoja. NB: _Kumbuka kuandika Na Mstari husika_
π *Leo*• Day 5 - Genesis 18-20
• Day 6 - Genesis 21-23
• Day 7 - Genesis 24-25
• Day 8 - Genesis 26-28
• Day 9 - Genesis 29-31
• Day 10 - Genesis 32-35
• Day 11 - Genesis 36-38
• Day 12 - Genesis 39-41
• Day 13 - Genesis 42-43
• Day 14 - Genesis 44-46
• Day 15 - Genesis 47-50
• Day 16 - Exodus 1-4
• Day 17 - Exodus 5-7
• Day 18 - Exodus 8-10
• Day 19 - Exodus 11-13
• Day 20 - Exodus 14-16
• Day 21 - Exodus 17-20
• Day 22 - Exodus 21-23
• Day 23 - Exodus 24-27
• Day 24 - Exodus 28-30
• Day 25 - Exodus 31-34
• Day 26 - Exodus 35-37
• Day 27 - Exodus 38-40
• Day 28 - Leviticus 1-4
• Day 29 - Leviticus 5-7
• Day 30 - Leviticus 8-10
• Day 31 - Leviticus 11-13
• Day 32 - Leviticus 14-15
• Day 33 - Leviticus 16-18
• Day 34 - Leviticus 19-21
• Day 35 - Leviticus 22-23
• Day 36 - Leviticus 24-25
• Day 37 - Leviticus 26-27
• Day 38 - Numbers 1-2
• Day 39 - Numbers 3-4
• Day 40 - Numbers 5-6
• Day 41 - Numbers 7
• Day 42 - Numbers 8-10
• Day 43 - Numbers 11-13
• Day 44 - Numbers 14-15
• Day 45 - Numbers 16-18
• Day 46 - Numbers 19-21
• Day 47 - Numbers 22-24
• Day 48 - Numbers 25-26
• Day 49 - Numbers 27-29
• Day 50 - Numbers 30-32
• Day 51 - Numbers 33-36
• Day 52 - Deuteronomy 1-2
• Day 53 - Deuteronomy 3-4
• Day 54 - Deuteronomy 5-8
• Day 55 - Deuteronomy 9-11
• Day 56 - Deuteronomy 12-15
• Day 57 - Deuteronomy 16-19
• Day 58 - Deuteronomy 20-22
• Day 59 - Deuteronomy 23-25
• Day 60 - Deuteronomy 26-27
• Day 61 - Deuteronomy 28-29
• Day 62 - Deuteronomy 30-32
• Day 63 - Deuteronomy 33-34
• Day 64 - Joshua 1-4
• Day 65 - Joshua 5-7
• Day 66 - Joshua 8-10
• Day 67 - Joshua 11-13
• Day 68 - Joshua 14-17
• Day 69 - Joshua 18-20
• Day 70 - Joshua 21-22
• Day 71 - Joshua 23-24
• Day 72 - Judges 1-3
• Day 73 - Judges 4-5
• Day 74 - Judges 6-8
• Day 75 - Judges 9-10
• Day 76 - Judges 11-13
• Day 77 - Judges 14-16
• Day 78 - Judges 17-19
• Day 79 - Judges 20-21
• Day 80 - Ruth 1-4
• Day 81 - 1 Samuel 1-3
• Day 82 - 1 Samuel 4-7
• Day 83 - 1 Samuel 8-12
• Day 84 - 1 Samuel 13-14
• Day 85 - 1 Samuel 15-16
• Day 86 - 1 Samuel 17-18
• Day 87 - 1 Samuel 19-21
• Day 88 - 1 Samuel 22-24
• Day 89 - 1 Samuel 25-27
• Day 90 - 1 Samuel 28-31
• Day 91 - 2 Samuel 1-3
• Day 92 - 2 Samuel 4-7
• Day 93 - 2 Samuel 8-11
• Day 94 - 2 Samuel 12-13
• Day 95 - 2 Samuel 14-16
• Day 96 - 2 Samuel 17-19
• Day 97 - 2 Samuel 20-22
• Day 98 - 2 Samuel 23-24
• Day 99 - 1 Kings 1-2
• Day 100 - 1 Kings 3-5
• Day 101 - 1 Kings 6-7
• Day 102 - 1 Kings 8-9
• Day 103 - 1 Kings 10-12
• Day 104 - 1 Kings 13-15
• Day 105 - 1 Kings 16-18
• Day 106 - 1 Kings 19-20
• Day 107 - 1 Kings 21-22
• Day 108 - 2 Kings 1-3
• Day 109 - 2 Kings 4-5
• Day 110 - 2 Kings 6-8
• Day 111 - 2 Kings 9-10
• Day 112 - 2 Kings 11-13
• Day 113 - 2 Kings 14-16
• Day 114 - 2 Kings 17-18
• Day 115 - 2 Kings 19-21
• Day 116 - 2 Kings 22-23
• Day 117 - 2 Kings 24-25
• Day 118 - 1 Chronicles 1-2
• Day 119 - 1 Chronicles 3-4
• Day 120 - 1 Chronicles 5-6
• Day 121 - 1 Chronicles 7-9
• Day 122 - 1 Chronicles 10-12
• Day 123 - 1 Chronicles 13-16
• Day 124 - 1 Chronicles 17-19
• Day 125 - 1 Chronicles 20-23
• Day 126 - 1 Chronicles 24-26
• Day 127 - 1 Chronicles 27-29
• Day 128 - 2 Chronicles 1-4
• Day 129 - 2 Chronicles 5-7
• Day 130 - 2 Chronicles 8-11
• Day 131 - 2 Chronicles 12-16
• Day 132 - 2 Chronicles 17-20
• Day 133 - 2 Chronicles 21-24
• Day 134 - 2 Chronicles 25-28
• Day 135 - 2 Chronicles 29-31
• Day 136 - 2 Chronicles 32-34
• Day 137 - 2 Chronicles 35-36
• Day 138 - Ezra 1-4
• Day 139 - Ezra 5-7
• Day 140 - Ezra 8-10
• Day 141 - Nehemiah 1-3
• Day 142 - Nehemiah 4-7
• Day 143 - Nehemiah 8-10
• Day 144 - Nehemiah 11-13
• Day 145 - Esther 1-5
• Day 146 - Esther 6-10
• Day 147 - Job 1-4
• Day 148 - Job 5-8
• Day 149 - Job 9-12
• Day 150 - Job 13-16
• Day 151 - Job 17-20
• Day 152 - Job 21-24
• Day 153 - Job 25-30
• Day 154 - Job 31-34
• Day 155 - Job 35-38
• Day 156 - Job 39-42
• Day 157 - Psalms 1-8
• Day 158 - Psalms 9-17
• Day 159 - Psalms 18-21
• Day 160 - Psalms 22-27
• Day 161 - Psalms 28-33
• Day 162 - Psalms 34-37
• Day 163 - Psalms 38-42
• Day 164 - Psalms 43-49
• Day 165 - Psalms 50-55
• Day 166 - Psalms 56-61
• Day 167 - Psalms 62-68
• Day 168 - Psalms 69-72
• Day 169 - Psalms 73-77
• Day 170 - Psalms 78-80
• Day 171 - Psalms 81-88
• Day 172 - Psalms 89-94
• Day 173 - Psalms 95-103
• Day 174 - Psalms 104-106
• Day 175 - Psalms 107-111
• Day 176 - Psalms 112-118
• Day 177 - Psalm 119
• Day 178 - Psalms 120-133
• Day 179 - Psalms 134-140
• Day 180 - Psalms 141-150
• Day 181 - Proverbs 1-3
• Day 182 - Proverbs 4-7
• Day 183 - Proverbs 8-11
• Day 184 - Proverbs 12-14
• Day 185 - Proverbs 15-17
• Day 186 - Proverbs 18-20
• Day 187 - Proverbs 21-23
• Day 188 - Proverbs 24-26
• Day 189 - Proverbs 27-29
• Day 190 - Proverbs 30-31
• Day 191 - Ecclesiastes 1-4
• Day 192 - Ecclesiastes 5-8
• Day 193 - Ecclesiastes 9-12
• Day 194 - Song of Solomon 1-4
• Day 195 - Song of Solomon 5-8
• Day 196 - Isaiah 1-3
• Day 197 - Isaiah 4-8
• Day 198 - Isaiah 9-11
• Day 199 - Isaiah 12-14
• Day 200 - Isaiah 15-19
• Day 201 - Isaiah 20-24
• Day 202 - Isaiah 25-28
• Day 203 - Isaiah 29-31
• Day 204 - Isaiah 32-34
• Day 205 - Isaiah 35-37
• Day 206 - Isaiah 38-40
• Day 207 - Isaiah 41-43
• Day 208 - Isaiah 44-46
• Day 209 - Isaiah 47-49
• Day 210 - Isaiah 50-52
• Day 211 - Isaiah 53-56
• Day 212 - Isaiah 57-59
• Day 213 - Isaiah 60-63
• Day 214 - Isaiah 64-66
• Day 215 - Jeremiah 1-3
• Day 216 - Jeremiah 4-5
• Day 217 - Jeremiah 6-8
• Day 218 - Jeremiah 9-11
• Day 219 - Jeremiah 12-14
• Day 220 - Jeremiah 15-17
• Day 221 - Jeremiah 18-21
• Day 222 - Jeremiah 22-24
• Day 223 - Jeremiah 25-27
• Day 224 - Jeremiah 28-30
• Day 225 - Jeremiah 31-32
• Day 226 - Jeremiah 33-36
• Day 227 - Jeremiah 37-39
• Day 228 - Jeremiah 40-43
• Day 229 - Jeremiah 44-46
• Day 230 - Jeremiah 47-48
• Day 231 - Jeremiah 49
• Day 232 - Jeremiah 50
• Day 233 - Jeremiah 51-52
• Day 234 - Lamentations 1-2
• Day 235 - Lamentations 3-5
• Day 236 - Ezekiel 1-4
• Day 237 - Ezekiel 5-8
• Day 238 - Ezekiel 9-12
• Day 239 - Ezekiel 13-15
• Day 240 - Ezekiel 16-17
• Day 241 - Ezekiel 18-20
• Day 242 - Ezekiel 21-22
• Day 243 - Ezekiel 23-24
• Day 244 - Ezekiel 25-27
• Day 245 - Ezekiel 28-30
• Day 246 - Ezekiel 31-32
• Day 247 - Ezekiel 33-35
• Day 248 - Ezekiel 36-38
• Day 249 - Ezekiel 39-40
• Day 250 - Ezekiel 41-43
• Day 251 - Ezekiel 44-46
• Day 252 - Ezekiel 47-48
• Day 253 - Daniel 1-3
• Day 254 - Daniel 4-5
• Day 255 - Daniel 6-8
• Day 256 - Daniel 9-12
• Day 257 - Hosea 1-4
• Day 258 - Hosea 5-9
• Day 259 - Hosea 10-14
• Day 260 - Joel 1-3
• Day 261 - Amos 1-4
• Day 262 - Amos 5-9
• Day 263 - Obadiah 1
• Day 264 - Jonah 1-4
• Day 265 - Micah 1-4
• Day 266 - Micah 5-7
• Day 267 - Nahum 1-3
• Day 268 - Habakkuk 1-3
• Day 269 - Zephaniah 1-3
• Day 270 - Haggai 1-2
• Day 271 - Zechariah 1-5
• Day 272 - Zechariah 6-10
• Day 273 - Zechariah 11-14
• Day 274 - Malachi 1-4
• Day 275 - Matthew 1-4
• Day 276 - Matthew 5-6
• Day 277 - Matthew 7-9
• Day 278 - Matthew 10-11
• Day 279 - Matthew 12-13
• Day 280 - Matthew 14-17
• Day 281 - Matthew 18-20
• Day 282 - Matthew 21-22
• Day 283 - Matthew 23-24
• Day 284 - Matthew 25-26
• Day 285 - Matthew 27-28
• Day 286 - Mark 1-3
• Day 287 - Mark 4-5
• Day 288 - Mark 6-7
• Day 289 - Mark 8-9
• Day 290 - Mark 10-11
• Day 291 - Mark 12-13
• Day 292 - Mark 14
• Day 293 - Mark 15-16
• Day 294 - Luke 1-2
• Day 295 - Luke 3-4
• Day 296 - Luke 5-6
• Day 297 - Luke 7-8
• Day 298 - Luke 9-10
• Day 299 - Luke 11-12
• Day 300 - Luke 13-15
• Day 301 - Luke 16-18
• Day 302 - Luke 19-20
• Day 303 - Luke 21-22
• Day 304 - Luke 23-24
• Day 305 - John 1-2
• Day 306 - John 3-4
• Day 307 - John 5-6
• Day 308 - John 7-8
• Day 309 - John 9-10
• Day 310 - John 11-12
• Day 311 - John 13-15
• Day 312 - John 16-17
• Day 313 - John 18-19
• Day 314 - John 20-21
• Day 315 - Acts 1-3
• Day 316 - Acts 4-5
• Day 317 - Acts 6-7
• Day 318 - Acts 8-9
• Day 319 - Acts 10-11
• Day 320 - Acts 12-13
• Day 321 - Acts 14-15
• Day 322 - Acts 16-17
• Day 323 - Acts 18-19
• Day 324 - Acts 20-21
• Day 325 - Acts 22-23
• Day 326 - Acts 24-26
• Day 327 - Acts 27-28
• Day 328 - Romans 1-3
• Day 329 - Romans 4-7
• Day 330 - Romans 8-10
• Day 331 - Romans 11-14
• Day 332 - Romans 15-16
• Day 333 - 1 Corinthians 1-4
• Day 334 - 1 Corinthians 5-9
• Day 335 - 1 Corinthians 10-13
• Day 336 - 1 Corinthians 14-16
• Day 337 - 2 Corinthians 1-4
• Day 338 - 2 Corinthians 5-9
• Day 339 - 2 Corinthians 10-13
• Day 340 - Galatians 1-3
• Day 341 - Galatians 4-6
• Day 342 - Ephesians 1-3
• Day 343 - Ephesians 4-6
• Day 344 - Philippians 1-4
• Day 345 - Colossians 1-4
• Day 346 - 1 Thessalonians 1-5
• Day 347 - 2 Thessalonians 1-3
• Day 348 - 1 Timothy 1-6
• Day 349 - 2 Timothy 1-4
• Day 350 - Philemon 1; Titus 1-3
• Day 351 - Hebrews 1-4
• Day 352 - Hebrews 5-8
• Day 353 - Hebrews 9-10
• Day 354 - Hebrews 11-13
• Day 355 - James 1-5
• Day 356 - 1 Peter 1-5; 2 Peter 1-3
• Day 357 - 1 John 1-5
• Day 358 - 2 John 1; 3 John 1; Jude 1
• Day 359 - Revelation 1-3
• Day 360 - Revelation 4-7
• Day 361 - Revelation 8-11
• Day 362 - Revelation 12-14
• Day 363 - Revelation 15-17
• Day 364 - Revelation 18-19
• Day 365 - Revelation 20-22
©2019 Joyful House in Christ
Mshindwe wenyewe. Ratiba ya kusoma biblia mwaka mzima.
365 days BIBLE READING PLAN!
• Day 1 - Genesis (Mwanzo) 1-4
• Day 2 - Genesis 5-8
• Day 3 - Genesis 9-12
• Day 4 - Genesis 13-17
*Tayari siku 1-4 ishapita sasa itabidi tuendeleee mbele*
π✍ _ Mwanzo sura ya (1-17) tutazituma tuu huku mchana Wa Leo alafu jioni tutaendelea mbele Na ratiba ya Leo. Tenga muda usome. Sehemu usiyoielewa iandike mahali alafu ikifika alhamisi siku ya maswali Na majibu tutajadili Kwa pamoja. NB: _Kumbuka kuandika Na Mstari husika_
π *Leo*• Day 5 - Genesis 18-20
• Day 6 - Genesis 21-23
• Day 7 - Genesis 24-25
• Day 8 - Genesis 26-28
• Day 9 - Genesis 29-31
• Day 10 - Genesis 32-35
• Day 11 - Genesis 36-38
• Day 12 - Genesis 39-41
• Day 13 - Genesis 42-43
• Day 14 - Genesis 44-46
• Day 15 - Genesis 47-50
• Day 16 - Exodus 1-4
• Day 17 - Exodus 5-7
• Day 18 - Exodus 8-10
• Day 19 - Exodus 11-13
• Day 20 - Exodus 14-16
• Day 21 - Exodus 17-20
• Day 22 - Exodus 21-23
• Day 23 - Exodus 24-27
• Day 24 - Exodus 28-30
• Day 25 - Exodus 31-34
• Day 26 - Exodus 35-37
• Day 27 - Exodus 38-40
• Day 28 - Leviticus 1-4
• Day 29 - Leviticus 5-7
• Day 30 - Leviticus 8-10
• Day 31 - Leviticus 11-13
• Day 32 - Leviticus 14-15
• Day 33 - Leviticus 16-18
• Day 34 - Leviticus 19-21
• Day 35 - Leviticus 22-23
• Day 36 - Leviticus 24-25
• Day 37 - Leviticus 26-27
• Day 38 - Numbers 1-2
• Day 39 - Numbers 3-4
• Day 40 - Numbers 5-6
• Day 41 - Numbers 7
• Day 42 - Numbers 8-10
• Day 43 - Numbers 11-13
• Day 44 - Numbers 14-15
• Day 45 - Numbers 16-18
• Day 46 - Numbers 19-21
• Day 47 - Numbers 22-24
• Day 48 - Numbers 25-26
• Day 49 - Numbers 27-29
• Day 50 - Numbers 30-32
• Day 51 - Numbers 33-36
• Day 52 - Deuteronomy 1-2
• Day 53 - Deuteronomy 3-4
• Day 54 - Deuteronomy 5-8
• Day 55 - Deuteronomy 9-11
• Day 56 - Deuteronomy 12-15
• Day 57 - Deuteronomy 16-19
• Day 58 - Deuteronomy 20-22
• Day 59 - Deuteronomy 23-25
• Day 60 - Deuteronomy 26-27
• Day 61 - Deuteronomy 28-29
• Day 62 - Deuteronomy 30-32
• Day 63 - Deuteronomy 33-34
• Day 64 - Joshua 1-4
• Day 65 - Joshua 5-7
• Day 66 - Joshua 8-10
• Day 67 - Joshua 11-13
• Day 68 - Joshua 14-17
• Day 69 - Joshua 18-20
• Day 70 - Joshua 21-22
• Day 71 - Joshua 23-24
• Day 72 - Judges 1-3
• Day 73 - Judges 4-5
• Day 74 - Judges 6-8
• Day 75 - Judges 9-10
• Day 76 - Judges 11-13
• Day 77 - Judges 14-16
• Day 78 - Judges 17-19
• Day 79 - Judges 20-21
• Day 80 - Ruth 1-4
• Day 81 - 1 Samuel 1-3
• Day 82 - 1 Samuel 4-7
• Day 83 - 1 Samuel 8-12
• Day 84 - 1 Samuel 13-14
• Day 85 - 1 Samuel 15-16
• Day 86 - 1 Samuel 17-18
• Day 87 - 1 Samuel 19-21
• Day 88 - 1 Samuel 22-24
• Day 89 - 1 Samuel 25-27
• Day 90 - 1 Samuel 28-31
• Day 91 - 2 Samuel 1-3
• Day 92 - 2 Samuel 4-7
• Day 93 - 2 Samuel 8-11
• Day 94 - 2 Samuel 12-13
• Day 95 - 2 Samuel 14-16
• Day 96 - 2 Samuel 17-19
• Day 97 - 2 Samuel 20-22
• Day 98 - 2 Samuel 23-24
• Day 99 - 1 Kings 1-2
• Day 100 - 1 Kings 3-5
• Day 101 - 1 Kings 6-7
• Day 102 - 1 Kings 8-9
• Day 103 - 1 Kings 10-12
• Day 104 - 1 Kings 13-15
• Day 105 - 1 Kings 16-18
• Day 106 - 1 Kings 19-20
• Day 107 - 1 Kings 21-22
• Day 108 - 2 Kings 1-3
• Day 109 - 2 Kings 4-5
• Day 110 - 2 Kings 6-8
• Day 111 - 2 Kings 9-10
• Day 112 - 2 Kings 11-13
• Day 113 - 2 Kings 14-16
• Day 114 - 2 Kings 17-18
• Day 115 - 2 Kings 19-21
• Day 116 - 2 Kings 22-23
• Day 117 - 2 Kings 24-25
• Day 118 - 1 Chronicles 1-2
• Day 119 - 1 Chronicles 3-4
• Day 120 - 1 Chronicles 5-6
• Day 121 - 1 Chronicles 7-9
• Day 122 - 1 Chronicles 10-12
• Day 123 - 1 Chronicles 13-16
• Day 124 - 1 Chronicles 17-19
• Day 125 - 1 Chronicles 20-23
• Day 126 - 1 Chronicles 24-26
• Day 127 - 1 Chronicles 27-29
• Day 128 - 2 Chronicles 1-4
• Day 129 - 2 Chronicles 5-7
• Day 130 - 2 Chronicles 8-11
• Day 131 - 2 Chronicles 12-16
• Day 132 - 2 Chronicles 17-20
• Day 133 - 2 Chronicles 21-24
• Day 134 - 2 Chronicles 25-28
• Day 135 - 2 Chronicles 29-31
• Day 136 - 2 Chronicles 32-34
• Day 137 - 2 Chronicles 35-36
• Day 138 - Ezra 1-4
• Day 139 - Ezra 5-7
• Day 140 - Ezra 8-10
• Day 141 - Nehemiah 1-3
• Day 142 - Nehemiah 4-7
• Day 143 - Nehemiah 8-10
• Day 144 - Nehemiah 11-13
• Day 145 - Esther 1-5
• Day 146 - Esther 6-10
• Day 147 - Job 1-4
• Day 148 - Job 5-8
• Day 149 - Job 9-12
• Day 150 - Job 13-16
• Day 151 - Job 17-20
• Day 152 - Job 21-24
• Day 153 - Job 25-30
• Day 154 - Job 31-34
• Day 155 - Job 35-38
• Day 156 - Job 39-42
• Day 157 - Psalms 1-8
• Day 158 - Psalms 9-17
• Day 159 - Psalms 18-21
• Day 160 - Psalms 22-27
• Day 161 - Psalms 28-33
• Day 162 - Psalms 34-37
• Day 163 - Psalms 38-42
• Day 164 - Psalms 43-49
• Day 165 - Psalms 50-55
• Day 166 - Psalms 56-61
• Day 167 - Psalms 62-68
• Day 168 - Psalms 69-72
• Day 169 - Psalms 73-77
• Day 170 - Psalms 78-80
• Day 171 - Psalms 81-88
• Day 172 - Psalms 89-94
• Day 173 - Psalms 95-103
• Day 174 - Psalms 104-106
• Day 175 - Psalms 107-111
• Day 176 - Psalms 112-118
• Day 177 - Psalm 119
• Day 178 - Psalms 120-133
• Day 179 - Psalms 134-140
• Day 180 - Psalms 141-150
• Day 181 - Proverbs 1-3
• Day 182 - Proverbs 4-7
• Day 183 - Proverbs 8-11
• Day 184 - Proverbs 12-14
• Day 185 - Proverbs 15-17
• Day 186 - Proverbs 18-20
• Day 187 - Proverbs 21-23
• Day 188 - Proverbs 24-26
• Day 189 - Proverbs 27-29
• Day 190 - Proverbs 30-31
• Day 191 - Ecclesiastes 1-4
• Day 192 - Ecclesiastes 5-8
• Day 193 - Ecclesiastes 9-12
• Day 194 - Song of Solomon 1-4
• Day 195 - Song of Solomon 5-8
• Day 196 - Isaiah 1-3
• Day 197 - Isaiah 4-8
• Day 198 - Isaiah 9-11
• Day 199 - Isaiah 12-14
• Day 200 - Isaiah 15-19
• Day 201 - Isaiah 20-24
• Day 202 - Isaiah 25-28
• Day 203 - Isaiah 29-31
• Day 204 - Isaiah 32-34
• Day 205 - Isaiah 35-37
• Day 206 - Isaiah 38-40
• Day 207 - Isaiah 41-43
• Day 208 - Isaiah 44-46
• Day 209 - Isaiah 47-49
• Day 210 - Isaiah 50-52
• Day 211 - Isaiah 53-56
• Day 212 - Isaiah 57-59
• Day 213 - Isaiah 60-63
• Day 214 - Isaiah 64-66
• Day 215 - Jeremiah 1-3
• Day 216 - Jeremiah 4-5
• Day 217 - Jeremiah 6-8
• Day 218 - Jeremiah 9-11
• Day 219 - Jeremiah 12-14
• Day 220 - Jeremiah 15-17
• Day 221 - Jeremiah 18-21
• Day 222 - Jeremiah 22-24
• Day 223 - Jeremiah 25-27
• Day 224 - Jeremiah 28-30
• Day 225 - Jeremiah 31-32
• Day 226 - Jeremiah 33-36
• Day 227 - Jeremiah 37-39
• Day 228 - Jeremiah 40-43
• Day 229 - Jeremiah 44-46
• Day 230 - Jeremiah 47-48
• Day 231 - Jeremiah 49
• Day 232 - Jeremiah 50
• Day 233 - Jeremiah 51-52
• Day 234 - Lamentations 1-2
• Day 235 - Lamentations 3-5
• Day 236 - Ezekiel 1-4
• Day 237 - Ezekiel 5-8
• Day 238 - Ezekiel 9-12
• Day 239 - Ezekiel 13-15
• Day 240 - Ezekiel 16-17
• Day 241 - Ezekiel 18-20
• Day 242 - Ezekiel 21-22
• Day 243 - Ezekiel 23-24
• Day 244 - Ezekiel 25-27
• Day 245 - Ezekiel 28-30
• Day 246 - Ezekiel 31-32
• Day 247 - Ezekiel 33-35
• Day 248 - Ezekiel 36-38
• Day 249 - Ezekiel 39-40
• Day 250 - Ezekiel 41-43
• Day 251 - Ezekiel 44-46
• Day 252 - Ezekiel 47-48
• Day 253 - Daniel 1-3
• Day 254 - Daniel 4-5
• Day 255 - Daniel 6-8
• Day 256 - Daniel 9-12
• Day 257 - Hosea 1-4
• Day 258 - Hosea 5-9
• Day 259 - Hosea 10-14
• Day 260 - Joel 1-3
• Day 261 - Amos 1-4
• Day 262 - Amos 5-9
• Day 263 - Obadiah 1
• Day 264 - Jonah 1-4
• Day 265 - Micah 1-4
• Day 266 - Micah 5-7
• Day 267 - Nahum 1-3
• Day 268 - Habakkuk 1-3
• Day 269 - Zephaniah 1-3
• Day 270 - Haggai 1-2
• Day 271 - Zechariah 1-5
• Day 272 - Zechariah 6-10
• Day 273 - Zechariah 11-14
• Day 274 - Malachi 1-4
• Day 275 - Matthew 1-4
• Day 276 - Matthew 5-6
• Day 277 - Matthew 7-9
• Day 278 - Matthew 10-11
• Day 279 - Matthew 12-13
• Day 280 - Matthew 14-17
• Day 281 - Matthew 18-20
• Day 282 - Matthew 21-22
• Day 283 - Matthew 23-24
• Day 284 - Matthew 25-26
• Day 285 - Matthew 27-28
• Day 286 - Mark 1-3
• Day 287 - Mark 4-5
• Day 288 - Mark 6-7
• Day 289 - Mark 8-9
• Day 290 - Mark 10-11
• Day 291 - Mark 12-13
• Day 292 - Mark 14
• Day 293 - Mark 15-16
• Day 294 - Luke 1-2
• Day 295 - Luke 3-4
• Day 296 - Luke 5-6
• Day 297 - Luke 7-8
• Day 298 - Luke 9-10
• Day 299 - Luke 11-12
• Day 300 - Luke 13-15
• Day 301 - Luke 16-18
• Day 302 - Luke 19-20
• Day 303 - Luke 21-22
• Day 304 - Luke 23-24
• Day 305 - John 1-2
• Day 306 - John 3-4
• Day 307 - John 5-6
• Day 308 - John 7-8
• Day 309 - John 9-10
• Day 310 - John 11-12
• Day 311 - John 13-15
• Day 312 - John 16-17
• Day 313 - John 18-19
• Day 314 - John 20-21
• Day 315 - Acts 1-3
• Day 316 - Acts 4-5
• Day 317 - Acts 6-7
• Day 318 - Acts 8-9
• Day 319 - Acts 10-11
• Day 320 - Acts 12-13
• Day 321 - Acts 14-15
• Day 322 - Acts 16-17
• Day 323 - Acts 18-19
• Day 324 - Acts 20-21
• Day 325 - Acts 22-23
• Day 326 - Acts 24-26
• Day 327 - Acts 27-28
• Day 328 - Romans 1-3
• Day 329 - Romans 4-7
• Day 330 - Romans 8-10
• Day 331 - Romans 11-14
• Day 332 - Romans 15-16
• Day 333 - 1 Corinthians 1-4
• Day 334 - 1 Corinthians 5-9
• Day 335 - 1 Corinthians 10-13
• Day 336 - 1 Corinthians 14-16
• Day 337 - 2 Corinthians 1-4
• Day 338 - 2 Corinthians 5-9
• Day 339 - 2 Corinthians 10-13
• Day 340 - Galatians 1-3
• Day 341 - Galatians 4-6
• Day 342 - Ephesians 1-3
• Day 343 - Ephesians 4-6
• Day 344 - Philippians 1-4
• Day 345 - Colossians 1-4
• Day 346 - 1 Thessalonians 1-5
• Day 347 - 2 Thessalonians 1-3
• Day 348 - 1 Timothy 1-6
• Day 349 - 2 Timothy 1-4
• Day 350 - Philemon 1; Titus 1-3
• Day 351 - Hebrews 1-4
• Day 352 - Hebrews 5-8
• Day 353 - Hebrews 9-10
• Day 354 - Hebrews 11-13
• Day 355 - James 1-5
• Day 356 - 1 Peter 1-5; 2 Peter 1-3
• Day 357 - 1 John 1-5
• Day 358 - 2 John 1; 3 John 1; Jude 1
• Day 359 - Revelation 1-3
• Day 360 - Revelation 4-7
• Day 361 - Revelation 8-11
• Day 362 - Revelation 12-14
• Day 363 - Revelation 15-17
• Day 364 - Revelation 18-19
• Day 365 - Revelation 20-22
©2019 Joyful House in Christ
GHARAMA YA DHAMBI
ππ *GOOD MORNING JHC*πππΌ
_Tar. 7/1/2019 Neno fupi la Asubuhi_
Kichwa: *GHARAMA YA UOVU*
_Heri ya Mwaka Mpya wana Joyful House In Christ._
Mwanzo 3: _14 _"BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; 15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino 16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. 17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako; 18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni 19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.''_
Gharama: Neno hili linasimama ikionyesho uzito Wa kitu Fulani . kwasababu unahitaji/kwasababu umefanya kitu Fulani hivyo unapaswa kulipa au kutembea katika hali Fulani.
✍✍
Twende sawa hapa:
Katika somo tulilosoma tunaona dhambi kubwa Na ya kwanza Mwanadamu aliyoitenda pale bustanini Na hii ikasababisha mpango mzima alioupanga Mungu Wa Mwanadamu kuishi maisha ya furaha Na ushindi. Kula bila kukitolea jasho chakula kile, kuzaa pasipo Na uchungu mkali, kuishi Kwa upendo Na amani pamoja Na viumbe wengine pasipo kuviogopa wala kudhurika.
Haya yote yalibadilika pale tu dhambi ilipotendeka. Adamu alipokula tunda la mti aliokatazwa asile.
Tunaona Mwanadamu baada ya dhambi ile hukumu ikatolewa Nayo ni ya kulipa gharama ya dhambi. Kwasababu alitenda dhambi kifo kikaingia, kuzaa Kwa uchungu, uadui kati ya mnyama Na mwanadamu ukawepo. Yote hii ni gharama ya Dhambi.
Katika maisha yetu, kuna hali au maisha ya baraka Na ushindi ambayo tulipaswa kuyaishi. Tulipaswa kuyafikia lakini kwasababu ya dhambi tunazo tenda zimekuwa kikwazo Na zikatuletea laana badala ya Baraka.
*Mshaara Wa Dhambi ni mauti*
Biashara yako ilipaswa kuwa ya viwango vya juu lakini upo hapohapo tu uendelei Na inawezekana ukiiangalia inashuka badala ya kuendelea tafakari ni wapi ulianguka, ni wapi ulimkosea Mungu ukatubu.
*Dhambi zetu zinatutenga mbali Na USO Wa Mungu*
Mpendwa kama unahitaji USO Wa Mungu uwe nawe katika maisha yako yote Naye akupe raha, akupe furaha,. Kama unahitaji mwaka huu 2019 uwe mwaka Wa kuinuliwa kwako Na kutoka katika hali ngumu uliyokuwa Nayo Kwa muda mrefu lamda ni ugonjwa au ulihitaji mtoto nk. Kama unahitaji ulinzi Wa Mungu katika kazi, biashara Na familia yako kubali leo kuacha yote ya Shetani Na Kumfuata Mungu. Mkiri Kristo kuwa Bwana Na Mwokozi Wa Maisha yako. Acha Dhambi Nate Bwana hato kuacha.
Barikiwa mpendwa
✍ Mwandaaji Wa somo Leo _Mtumishi Johnson Pokeaeli_
ππΌπ
©Jan 2019 Joyful House in Christ
_Tar. 7/1/2019 Neno fupi la Asubuhi_
Kichwa: *GHARAMA YA UOVU*
_Heri ya Mwaka Mpya wana Joyful House In Christ._
Mwanzo 3: _14 _"BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; 15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino 16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. 17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako; 18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni 19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.''_
Gharama: Neno hili linasimama ikionyesho uzito Wa kitu Fulani . kwasababu unahitaji/kwasababu umefanya kitu Fulani hivyo unapaswa kulipa au kutembea katika hali Fulani.
✍✍
Twende sawa hapa:
Katika somo tulilosoma tunaona dhambi kubwa Na ya kwanza Mwanadamu aliyoitenda pale bustanini Na hii ikasababisha mpango mzima alioupanga Mungu Wa Mwanadamu kuishi maisha ya furaha Na ushindi. Kula bila kukitolea jasho chakula kile, kuzaa pasipo Na uchungu mkali, kuishi Kwa upendo Na amani pamoja Na viumbe wengine pasipo kuviogopa wala kudhurika.
Haya yote yalibadilika pale tu dhambi ilipotendeka. Adamu alipokula tunda la mti aliokatazwa asile.
Tunaona Mwanadamu baada ya dhambi ile hukumu ikatolewa Nayo ni ya kulipa gharama ya dhambi. Kwasababu alitenda dhambi kifo kikaingia, kuzaa Kwa uchungu, uadui kati ya mnyama Na mwanadamu ukawepo. Yote hii ni gharama ya Dhambi.
Katika maisha yetu, kuna hali au maisha ya baraka Na ushindi ambayo tulipaswa kuyaishi. Tulipaswa kuyafikia lakini kwasababu ya dhambi tunazo tenda zimekuwa kikwazo Na zikatuletea laana badala ya Baraka.
*Mshaara Wa Dhambi ni mauti*
Biashara yako ilipaswa kuwa ya viwango vya juu lakini upo hapohapo tu uendelei Na inawezekana ukiiangalia inashuka badala ya kuendelea tafakari ni wapi ulianguka, ni wapi ulimkosea Mungu ukatubu.
*Dhambi zetu zinatutenga mbali Na USO Wa Mungu*
Mpendwa kama unahitaji USO Wa Mungu uwe nawe katika maisha yako yote Naye akupe raha, akupe furaha,. Kama unahitaji mwaka huu 2019 uwe mwaka Wa kuinuliwa kwako Na kutoka katika hali ngumu uliyokuwa Nayo Kwa muda mrefu lamda ni ugonjwa au ulihitaji mtoto nk. Kama unahitaji ulinzi Wa Mungu katika kazi, biashara Na familia yako kubali leo kuacha yote ya Shetani Na Kumfuata Mungu. Mkiri Kristo kuwa Bwana Na Mwokozi Wa Maisha yako. Acha Dhambi Nate Bwana hato kuacha.
Barikiwa mpendwa
✍ Mwandaaji Wa somo Leo _Mtumishi Johnson Pokeaeli_
ππΌπ
©Jan 2019 Joyful House in Christ
GHARAMA YA DHAMBI
ππ *GOOD MORNING JHC*πππΌ
_Tar. 7/1/2019 Neno fupi la Asubuhi_
Kichwa: *GHARAMA YA UOVU*
_Heri ya Mwaka Mpya wana Joyful House In Christ._
Mwanzo 3: _14 _"BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; 15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino 16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. 17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako; 18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni 19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.''_
Gharama: Neno hili linasimama ikionyesho uzito Wa kitu Fulani . kwasababu unahitaji/kwasababu umefanya kitu Fulani hivyo unapaswa kulipa au kutembea katika hali Fulani.
✍✍
Twende sawa hapa:
Katika somo tulilosoma tunaona dhambi kubwa Na ya kwanza Mwanadamu aliyoitenda pale bustanini Na hii ikasababisha mpango mzima alioupanga Mungu Wa Mwanadamu kuishi maisha ya furaha Na ushindi. Kula bila kukitolea jasho chakula kile, kuzaa pasipo Na uchungu mkali, kuishi Kwa upendo Na amani pamoja Na viumbe wengine pasipo kuviogopa wala kudhurika.
Haya yote yalibadilika pale tu dhambi ilipotendeka. Adamu alipokula tunda la mti aliokatazwa asile.
Tunaona Mwanadamu baada ya dhambi ile hukumu ikatolewa Nayo ni ya kulipa gharama ya dhambi. Kwasababu alitenda dhambi kifo kikaingia, kuzaa Kwa uchungu, uadui kati ya mnyama Na mwanadamu ukawepo. Yote hii ni gharama ya Dhambi.
Katika maisha yetu, kuna hali au maisha ya baraka Na ushindi ambayo tulipaswa kuyaishi. Tulipaswa kuyafikia lakini kwasababu ya dhambi tunazo tenda zimekuwa kikwazo Na zikatuletea laana badala ya Baraka.
*Mshaara Wa Dhambi ni mauti*
Biashara yako ilipaswa kuwa ya viwango vya juu lakini upo hapohapo tu uendelei Na inawezekana ukiiangalia inashuka badala ya kuendelea tafakari ni wapi ulianguka, ni wapi ulimkosea Mungu ukatubu.
*Dhambi zetu zinatutenga mbali Na USO Wa Mungu*
Mpendwa kama unahitaji USO Wa Mungu uwe nawe katika maisha yako yote Naye akupe raha, akupe furaha,. Kama unahitaji mwaka huu 2019 uwe mwaka Wa kuinuliwa kwako Na kutoka katika hali ngumu uliyokuwa Nayo Kwa muda mrefu lamda ni ugonjwa au ulihitaji mtoto nk. Kama unahitaji ulinzi Wa Mungu katika kazi, biashara Na familia yako kubali leo kuacha yote ya Shetani Na Kumfuata Mungu. Mkiri Kristo kuwa Bwana Na Mwokozi Wa Maisha yako. Acha Dhambi Nate Bwana hato kuacha.
Barikiwa mpendwa
✍ Mwandaaji Wa somo Leo _Mtumishi Johnson Pokeaeli_
ππΌπ
©Jan 2019 Joyful House in Christ
_Tar. 7/1/2019 Neno fupi la Asubuhi_
Kichwa: *GHARAMA YA UOVU*
_Heri ya Mwaka Mpya wana Joyful House In Christ._
Mwanzo 3: _14 _"BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; 15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino 16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. 17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako; 18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni 19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.''_
Gharama: Neno hili linasimama ikionyesho uzito Wa kitu Fulani . kwasababu unahitaji/kwasababu umefanya kitu Fulani hivyo unapaswa kulipa au kutembea katika hali Fulani.
✍✍
Twende sawa hapa:
Katika somo tulilosoma tunaona dhambi kubwa Na ya kwanza Mwanadamu aliyoitenda pale bustanini Na hii ikasababisha mpango mzima alioupanga Mungu Wa Mwanadamu kuishi maisha ya furaha Na ushindi. Kula bila kukitolea jasho chakula kile, kuzaa pasipo Na uchungu mkali, kuishi Kwa upendo Na amani pamoja Na viumbe wengine pasipo kuviogopa wala kudhurika.
Haya yote yalibadilika pale tu dhambi ilipotendeka. Adamu alipokula tunda la mti aliokatazwa asile.
Tunaona Mwanadamu baada ya dhambi ile hukumu ikatolewa Nayo ni ya kulipa gharama ya dhambi. Kwasababu alitenda dhambi kifo kikaingia, kuzaa Kwa uchungu, uadui kati ya mnyama Na mwanadamu ukawepo. Yote hii ni gharama ya Dhambi.
Katika maisha yetu, kuna hali au maisha ya baraka Na ushindi ambayo tulipaswa kuyaishi. Tulipaswa kuyafikia lakini kwasababu ya dhambi tunazo tenda zimekuwa kikwazo Na zikatuletea laana badala ya Baraka.
*Mshaara Wa Dhambi ni mauti*
Biashara yako ilipaswa kuwa ya viwango vya juu lakini upo hapohapo tu uendelei Na inawezekana ukiiangalia inashuka badala ya kuendelea tafakari ni wapi ulianguka, ni wapi ulimkosea Mungu ukatubu.
*Dhambi zetu zinatutenga mbali Na USO Wa Mungu*
Mpendwa kama unahitaji USO Wa Mungu uwe nawe katika maisha yako yote Naye akupe raha, akupe furaha,. Kama unahitaji mwaka huu 2019 uwe mwaka Wa kuinuliwa kwako Na kutoka katika hali ngumu uliyokuwa Nayo Kwa muda mrefu lamda ni ugonjwa au ulihitaji mtoto nk. Kama unahitaji ulinzi Wa Mungu katika kazi, biashara Na familia yako kubali leo kuacha yote ya Shetani Na Kumfuata Mungu. Mkiri Kristo kuwa Bwana Na Mwokozi Wa Maisha yako. Acha Dhambi Nate Bwana hato kuacha.
Barikiwa mpendwa
✍ Mwandaaji Wa somo Leo _Mtumishi Johnson Pokeaeli_
ππΌπ
©Jan 2019 Joyful House in Christ
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)